onlyalvira
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 1,494
- 3,101
Dah mkuu hyo yako hatariii,so ulimpa buku 2hata jina humjuiNilikuwa nmechoka sana maisha yamenipiga, stress kama zote, mfukoni nina elfu tatu mia tano tu,
Nikaenda kukaa kwenye reli ya SGR ilikuwa mida ya jioni, huko huwa kuna upepo mzuri, pia pembeni kuna kituo cha dala dala, kwahiyo unakuwa unawaona wote wanaoshuka na kupanda kwenye dala dala
Nmekaa hapo sina hili wala lile ghafla kapita ostadhati mmoja anaelekea kupanda dala dala, nkajaribu kumuita akaja kweli, nkamsalimia akaitikia, nkamuambia kaa hapa tuongee, asee kweli akakaa, nkamuuliza unatoka wapi na unakwenda wapi usiku huu, akasema anaelekea kwao katoka kwa dada yake ila nauli kapoteza,
Haraka sana nkaukumbuka huu uzi nikamuambia twende nyumbani kuna elfu mbili ukachukue uendelee na safari yako, tukaenda akaingia hadi geto, nkampa ila nkaanza kumshika akawa kama anakataa, nkaanza kumbembeleza kama dakika kumi hivi akagoma basi nkamwambia twende nikusindikize, ile nanyanyuka kanishika mkono kanikumbatia, nami sikulaza damu nkavuta kinga zilikuwa kwenye begi nkajilia vyangu, then nkamsindikiza,
Mpaka leo sijawahi kuonana naye tena.