Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Uzi wa "wazinzi" na "waasherati".

Watu mnaona "sifa" kuelezea zinaa? Mnaona ni ufahari kusimulia uasherati wenu?
Hata MUNGU hamwogopi, mnafikiri mtaishi milele kwenye hii dunia?

MUNGU aliwaweka hapa duniani mfanye zinaa???
Mnajua ni kwanini mlipewa uhai mlio nao?

Imeandikwa hivi :
"kila neno atakaloongea mwanadamu liwe jema au baya ataleta hesabu yake mbele ya kiti cha hukumu". Kwa maneno yako utahukumiwa na kwa maneno yako utahesabiwa haki.

Mwenye masikio na asikie.
Duuh mwisho unaweza jikuta motoni na watu wa masihara
Kula raha mbinguni ni kwa wachache sana na wewe haupo huo ndo ukweli ndugu
 
YESU KRISTO alikuja duniani kwa ajili ya wale waliopotea na siyo kwa ajili ya wenye haki.

Na mimi nimeingia kwenye huu uzi kwa ajili ya kuwahubiria ninyi "wazinzi" na "waasherati" habari Njema ya Ufalme wa MUNGU.

BABA MUNGU anawapenda sana na ndiyo maana alimtoa Mwanae YESU KRISTO afe kifo cha aibu na mateso kwa ajili yenu ninyi. MUNGU anawapenda sana, wala hawachukii. Mnachotakiwa kufanya ni kubadilisha tu mitazamo yenu na kuacha uchafu huu na kuwa WATIIFU kwake.
MUNGU anataka kuwapa ninyi wazinzi na waasherati ufalme wake wa mbinguni lakini hawezi kuwapa ikiwa hamtaacha tabia zenu chafu.

Jamani, ikimbieni zinaa maana wazinzi na waasherati hawatauona kamwe ufalme wa MUNGU. Lakini mkitubu na kuacha hakika mtasamehewa kabisa na kukaribishwa kwenye ufalme wa MUNGU.
Oya Yesu alivyoshuka kuzima si angemuhubiri shetani aokoke au wewe waonaje
 
Na wakti huohuo, LAZIMA IKIFIKA HIYO SAA TATU AKUTAFUTE MWENYEWE
kwa sababu umeshamfanya kua mtumwa wako kihisia, sasa anawaza, akichezea huo muda, ndo hatokupata tena
Na ndio alinitafuta mwenyewe. Halafu nilijisahau kabisa kwakuwa nilikuwa busy sana hasa na simu kutokana na aina ya kazi yangu.
 
Nilishaacha huo uovu na nikatubu dhambi zangu na BABA MUNGU akanisamehe kabisa.

Kwakuwa nilitubu na kuacha sioni tena fahari kusimulia jinsi nilivyofanya uzinzi na uasherati. Nikifanya hivyo nitakuwa nampatia Shetani umaarufu.

Hata wewe ukitubu na kuacha, MUNGU atakusamehe pia.
Simulia mwisho ndo uhubiri hakika wataokoka
 
Uzi wa "wazinzi" na "waasherati".

Watu mnaona "sifa" kuelezea zinaa? Mnaona ni ufahari kusimulia uasherati wenu?
Hata MUNGU hamwogopi, mnafikiri mtaishi milele kwenye hii dunia?

MUNGU aliwaweka hapa duniani mfanye zinaa???
Mnajua ni kwanini mlipewa uhai mlio nao?

Imeandikwa hivi :
"kila neno atakaloongea mwanadamu liwe jema au baya ataleta hesabu yake mbele ya kiti cha hukumu". Kwa maneno yako utahukumiwa na kwa maneno yako utahesabiwa haki.

Mwenye masikio na asikie.
Kwa hiyo inabidi wasinene matendo yao ili wawe salama?
 
au
Kuna kipindi nilikuwa napitia changamoto za kifamilia kiasi ambacho nilianza kupungua mwili. Kwa kawaida mimi ni mnene kiasi. Kutokana na changamoto hizi nikajikuta ninapungua mwili.
Siku moja nikiwa katika matembezi kariakoo, nikakutana na binti mmoja ambaye tuliwahi kuishi naye huko miaka ya nyuma. Huyu niliwahi kumtongoza akiwa msichana mbichi kabisa, alinichomolea na tukabaki kama marafiki. Mara nyingi tulipenda kuitana kwa jina la ‘’jirani’’ au ‘’neighbour’’.
Aliponiona alifurahi na kuniambia kuwa ameshaolewa kwa sasa ila anaishi hapa hapa jijini. Katika mazungumzo ya hapa na pale akanipongeza kwa kupungua mwili huku akinitania kuwa alinikataa miaka ile kwa sababu ya unene ila kwa mwili nilionao sasa, angenikubali. Tulifurahi kuonana na tukapeana namba kwa mawasiliano.
Ijumaa nikiwa kwenye mihangaiko yangu, akanitumia meseji ‘’vipi jirani upo poa’’? nikamjibu kuwa nipo salama kabisa. Baada ya chatting za hapa na pale, nikaona ngoja nijaribu bahati yangu. Nikamwandikia ujumbe ‘’jirani naleta ombi langu kwa mara ya pili’’? Akajibu ‘’ huogopi, mimi mke wa mtu sasa hivi? Nikamjibu ‘’jirani, ombi langu lipo palepale’’, akawa kimya kwa muda kisha akajibu ‘’naomba tuonane jumanne’’. Nikamwambia sawa. Huku nikiwaza maana jumanne ni siku ya kazi hivyo nikaona bora nijipange kupata udhuru siku ya jumanne. Lakini akaniomba tukutane eneo ambalo ni tulivu lakini linalofika kirahisi.
Siku ya tukio, niliwaza nimpeleke kwenye hoteli za Sinza lakini idara yangu ya usalama ikasita, nikawaza Kigamboni napo nikasita maana mke wa mtu akikutwa nay eye sio mkaazi wa kigamboni ni hatari. Majira ya saa mbili nikakumbuka chimbo langu lililo mtaa usiopungua watu – Mtaa wa Kongo hapo Kariakoo. Kuna hoteli pale inaitwa COLUMBUS, yaani pale mlango wa kuingilia kumejificha vya kutosha na kule ndani hakuna mikinganyo maana kuna restaurant hivyo wataalamu huwa tunaanzia kwenye chakula huku ukiwa umeshaweka oda ya chumba ili kuweka usalama vizuri.
Uzuri wa eneo hili ni kuwa hata ukikutana na mtu hamna maswali maana ni eneo la kufanya manunuzi ya nguo na vitu vingine.
Majira ya saa tatu na nusu, nikakutana na bibie mtaa wa Kongo. Nilitangulia na kufanya booking, nikiwa nakunywa soda ya stoney tangawizi pale restaurant, mke wa mtu aliingia na kukaa kwenye meza tofauti kabisa na mimi. Huku tukiwa tunachati, mhudumu akaja kuniletea funguo, nikamwambia namba ya chumba, nilitangulia chumbani na baada ya muda naye akaja.
Pamoja na hatari zote za kutoka na mke wa mtu, ila kuwa na mke wa mtu hotelini au guest house inakufanya ujione shujaa sana. Ila mimi kwa sasa nimeshaaacha hii tabia.
Nikiwa chumbani, jirani akaingia huku akitabasamu. Kauli ya kwanza tu huku akiwa amenikumbatia akaniambia, ‘’una masaa kumi ya kunifanya utakacho, mimi ni wako’’. Nikambana kwa ukaribu zaidi, huku nikiminya matako yaliyojaa vyema chini ya kiuno chembamba. Binti aligugumia huku akijilaza kwenye shingo yangu, nilimgeuza taratibu na kuanza kula mate. Huyu dada anapenda kissing sana maana alikuwa ananyonya na kuvuta huku akigugumia na kutoa maneno ya kimahaba.
Nilimsogeza kwenye kochi lilikuwemo chumbani, huku nikiendelea kumpunguza nguo. Kama alikuwa anajua nilichokuwa nataka, aliishika kochi na kunipa doggy. Nikaanza kuichezea kwa vidole huku mkono mooja ukiwa mgongoni kwake. Hakuweza kuvumilia, akaniambia ‘’neighbour ingiza, nipe neighbour’’. Nikaona leo ngoja nisahau matatizo ya kifamilia, nikachomeka, alianza kuzngusha kiuno huku akiniletea mzigo wote. Nikiwa naendelea nikaona maji yanaruka huku, akilalamika ‘’nisamehe jamani, nisamehe jamani’’. Niliendelea kujisevia huku kelele na sauti za mahaba zikinipa mzuka wa hali ya juu. Baada ya muda nikamaliza round ya kwanza. Tukahamia kitandani ambako sasa tukaanza kujuliana hali na kukumbushana maisha ya mtaai kwetu miaka hiyo ya zamani huku tukiwa uchi, alikuwa amelala kiubavu ila shingo na kichwa amelaza kwenye bega langu, huku mkono wangu ukipapasa mgongo wake na matako yake.
Tulienda kuoga, huko nako katika kuogeshana na kunyonyana tukajikuta tunaanza raundi ya pili. Huyu mwanamke ni wale wanawake ambao anakunyonya kwa ustadi kana kwamba hana meno mdomoni huku anakuangalia kwa mahaba. Sijui meno huwa yanaenda wapi.
Baada ya msosi wa mchana, ambapo huyu mtoto wa kike alinipa mahaba mazito kwa kunilisha huku na kunipa denda mara kwa mara; tukajikuta tumeanza tena. Hapa tukachakatana huku akibadili staili mbalimbali ili anipe raha. Katikati ya kumchakata akaendelea kunipa ile kauli yake ‘’nifanye utakacho, leo mimi ni wako’’. Tulimaliza kupumzika huku tukianza ukurasa mpywa wa kugegedana. Ilipofika saa kumi tukaagana kwa huku kila mtu akiwa na furaha tele.
kuna tundu la mtandao pendwa hukuingiza, ndiyo maana alikua anasisitiza "nifanye nitakavyo"
 
KAKA TAFADHALI NAOMBA USINIPIGIE SIMU.

Niliamka asubuhi na mapema nikajiandaa kwenda kwenye kibarua changu ambacho kimsingi ni hands to mouth tu. Lakini nitafanyaje! HKL imeniacha na Visasili na Vigano tu, imeshindwa kuniongoza vyema kuufikia uchumi wa kuweka akiba.

Baada ya kumaliza kujiandaa, nilianza mwendo wa kuelekea kituo cha daladala ili nipate kujisogeza kibaruani. Na hapo ndipo nilipo muona binti mrefu, umbo wastani mwenye rangi nyeupe akielekea ninako elekea. Kwa namna alivyokuwa ameniacha ilikuwa ni ngumu kumfikia, maana alikuwa anatembea kwa Kasi, nikajua tu huyu ni wale form six waliopita JKT Mafinga!

Niliamua kupiga mluzi kama naimba wimbo wa Kwaresma. Nimekosaaa, nimekosaaa, nimekosa baba, nimekosaaa nihurumie...x2 (unaweza kuupiga mluzi kwa nguvu kidogo ili mtu aliye mbali nawe akusikie). Basi yule dada aligeuka na ghafla akaanza kupunguza spidi! Nafikir alihisi aibu mtoto wa kike kutembea kama yuko mchakamchaka shule ya msingi Busagami. Mi niliendelea na mluzi wangu, huko nikiongeza spidi ili niweze kumfikia kabla hatujaifikia lami na kupanda daladala.

Mara paaap, huyu hapa! Dada mambo? Poa! Wengine nyumbani? Hawajambo! Samahani, alisimama! Bila kusema lolote, nilimtazama usoni mpaka chini, afu jicho langu likaishia machoni mwake, hadi akanishangaa! Wew, umekuaj mbona unaniangalia hivo na kama umehamaki? Unanifahamu? Umetumwa? Yaani mpka nimeogopa!!

Nilimwita dada, akaitika bee! Nikampa mkono wangu, akasita then akanipa, nikamwambia wewe mzuri sana dada! Yaani ni mzuri! Afu tukaanza kutembea! Nikaguna!! Mmmmh! Mbona unaguna! Aliniuliza nikamwambia dada wewe, ni mzuri! Akasema mbona hata wewe ni mzuri, nikamwambia ahsante. Niseme tu ukweli umenigusa! Akanambia pole! Nikasema ahsante!

Ilibid nimwangalie tena kwa kumkazia macho, then akakwepesha! Nikamuuliza jina akanambia anaitwa M, mi nae nikamtajia la kwangu. Afu nikamwambia, M ni kweli tangu Mwaka wa 2015 umeanza nimeona Wanawake wengi wazuri, lakn ni kwenye TV tu.

Najiapiza kwa mbingu kwamba ana kwa ana wewe ndo mwanamke mzuri namba moja ambaye nimekutana nae tangu Mwaka umeanza! Akachekaaaa, afu akasema wanaume bwn! Mara tukaona daladala inakuja, nikamuomba namba akagoma! Omba akagoma. Basi daladala ikafika, tukapanda yeye akapata siti mbele mi nyuma kabisa!

Lakn akiwa mbele alikuwa anageuka kuniangalia afu akikuta nami namwangalia anarudisha uso mbele. Watu wakaanza kujaa, tukashindwa kuonana sasa. Nilijitahid kuchezesha shingo nimwone wapi, duuh! Hata akishuka labda nimuone dirishani lkn vinginevyo ni ngumu.

Tumefika sehemu wakashuka watu wengi kidogo, hapo nikaanza kumuona! Nilikuwa na kibegi changu, nikatoa note book na kalamu nikaandika namba yangu kwenye moja ya karatasi, then nikaichana ili atakaposhuka, nami nishuke afu nimpe kikaratasi nilichoandika namba yangu na jina langu.

Kweli tumefika kituo fulani akashuka, nami fasta nikashuka! Nikamfuata anakoelekea! Wanaume sisi kwa kweli! Basi tu. Nikampa kikaratasi akakataa, bembeleza akakataa.

Nimeshukia njiani kwa ajili yake lkn bado anakataa! Basi alikuwa na mkoba wake wa wazi, umenining'inia nikachomeka kikaratasi changu mle! Akasema unapoteza nguvu zako na muda wako bure tu, hiki nakichana soon.

Mi sikumjibu kitu, nikaanza kurudi kwenye kituo cha daladala tena, ili niendelee na Safari yangu. Nikiwa narudi, nilikuwa nageuka kuona kama anakichukua akichane, niliona kama hajajishughulisha nacho. Then, nageuka nakuta nae kageuka kunitizama. Huyooo, akapotea nami huyooo kwenye daladala upya, nakuanza Safari ya kuelekea kibaruani!

Day 1 nill, Day 2 nill, One week- nill,
2nd week- nill! Nikajua lishenzi lilichana! Msichana mzuri kama yule anakuaje na roho ya kikatili namna ile! Mi kuhangaika nae kote hajui kuwa nina upendo kwake jamani. Potelea mbali, kwani nin bhn! Basi nikaamini imeshakula kwangu.

Mungu si rikiboy nakumbuka ilikuwa siku ya Ijumaa, wiki ya nne, nikapokea meseji, mi M, TAFADHALI NAOMBA USINIPIGIE SIMU. Hahahahaha, Wanawake bhn! Sasa wew hutaki nikupigie, alafu unanitumia namba yako ya simu tena. Jamani, basi nikajua tu hapa tunda linaenda kuliwa!

Sikumjibu kitu, nilikaa tu kimya kama siku 2. Then, J3 nikamtumia ujumbe, nikamwambia rfk yangu kama ni mpenzi wa kuku karibu, mi niko hapa .....napoteza poteza muda! Ukiwa uko mbali chukua boda tu nitacover! Wakati mwema!

Alichukua kama nusu saa hivi kujibu, akanambia siko mbali maana nakaa jirani tu na maeneo tuliyoonania siku ile. Nipe one hour nitakujibu. Nikasema okay!

Hata dk 30 hazikufika, akanambia nimefika! Nikatoka nikamchukua hadi kwenye eneo fulani la mafichoficho hapo kwenye hicho kijiwe! Tukaita wa jikoni na na wa bar! Tukahudumiwa, hakuwa mnywaji wa pombe, mi pia! Tukala na kupiga stori nyingi nyingi tu. Zikiwemo mishe zetu na mahusiano. Unakaa na Nani, nimepanga pale tu. Nafanyia town, na mambo kibao. Mi pia nikampa hekaya zangu.

Baada ya kila kitu, kukamilika nikalipa, nikamwambia kwangu unajua ni nyuma ya hii bar tu. Haaa kumbe ni hapo tu. Twende upaone, hapana siku nyingine bn. Tukabishana pale mwishowe nikaja nae getho, saa 2 usiku hapo.

Tumefika getho, akaanza kunisema! Mmmh na wewe ona vitu ulivyopanga jamn. Nikamwambia tangu nimepanga hapa wew ndo mwanamke wa kwanza kuingia humu. Yaani moyo wangu sijui umekuaminije hivi. Tangu siku nimekuona moyo wangu ulinambia huyu ndiye mwenyewe. Nakupenda sana M.

Akaniangalia tu, nikamfuata kwa ajili ya kumkumbatia na kumbusu, akanambia subiri nikupangie basi getho lako kwanza! Maaana mmmh! Tukacheka, afu tukagonga! Alianza kwenye meza, then kitandani, akatoa shuka, akaanza kuliweka tena vizuri, ile anaweka miguu aanze kutandika, kigauni chake kile kifupi kikaacha mapaja wazi, na wala hakujali, mi nikapigwa shoti. Nilipanda kitandani nami ili tutandike nae! Nilimuita tu jina Mara moja, M! Abeee, akageuka kuniangalia! You are so beautiful! Thanks, huku akinangalia kwa upole na hekima.

Hapo ndo niliamua kumvutia kifuani kwangu na kuanza kumnyonya mate, akaachia shuka na kuanza kunipa ushirikiano. Nikambeba tukashuka nae chini tukasimama, tukiwa tunaangalizana, na kupapasana sana, shusha kwenye makalio yake ya wastani , nyonyana sana.

Akaanza kunifungua vifungo vya shati langu, na kuanza kuninyonya kifuani! Bila ajizi, akanisukuma kitandani, akafungua kishikizo na zipu ya suruali yangu na kujisogeza chini na kuanza kuninyonya uume! Nyonya weee, nikawa napiga piga miguu kama kuku ambaye hajachinjwa vizuri.

Then akapanda kifuani kwangu na kunisogezea maziwa yake yaliyotuna fresh, nikaanza kuyamung'unya kama embe dodo. Mung'unya, Mung'unya, Mara kadenda, then mara nikavuta chupi yake chini, akatoa miguu, kidole kikacheza na mfereji maringo, chokonoa wee, akaamua kuushika na kujipimia, sikuwa na zana ndani!

Akaikatikia sana, na kasauti ka kichinga! Ameikatia, nashangaa anatoka, akainama, nikaenda nyuma yake na shuguli ikaendelea! Peleka Moto, then mshindo Mkuu. Baadae akataka kuhamia kwangu, kabisa. Nikamkatalia katakata! Sema alikuwa anajiheshimu sana yule mdada, na mimi nilijikuta nampenda kweli as she was very royal.

KUNIACHA

Tutapika na kupakua hivi hadi lini mpenzi wangu. Turasimishe tafadhali! Mi bado M! After a year bila kuona mwelekeo wangu, akanambia baby sijui nitakusubiri mpaka lini! Nikawa sina Cha kujibu! Akaanza kulia, nakunambia baby kuna mtu amejitojeza anataka kunioa, na mm kikwazo ni wewe! Naomba unipe hatima yangu kwako.

M Mimi ukweli sijawa tayari kuoa saiv, kwani nini unakosa! Nikikuoa ni nini kitakuwa kipya zaidi ya hiki tunachokifanya? Huu ni uzinzi, alafu nataka kuzaa, na siwezi kukuzalia kama hujanioa, itakuwa ni aibu kwangu na familia! Kama hauko tayari niruhusu niolewe tu nakuomba.

Ukweli kwa wakati huo sikuwa na wazo la kuoa, nikamwambia, nitakujibu! Nikamkumbatia, tukaingia uwanjani na kuanza tena kupelekeana motrooo! Alivyoondoka, ikabidi tu nimtumie meseji ya kumruhusu. Hakunijibu kitu. Nikimpigia simu Sasa hapokei, hadi zikapita siku 3.

Akanitumia meseji kuwa nakushukru sana kwa upendo na maisha tuliyoshare wote. Milima ilikuwepo lkn siwezi kuihesabu, ulioniongoza vyema, nilitaka nikuchukie lakn nimetafakari na kugundua hakuna baya lolote katika jibu lako hili. Ni kwa ajili ya heshima yangu, familia yangu lkn na kwako ambaye umenituliza kwa muda wote tukiyokuwa pamoja. Ahsante na kwa kheri.

Baada ya kupokea hii meseji roho iliniuma Sana. Lkn tangu hapo sikuipata hiyo namba, nilpoenda kwake kesho yake, nikaambiwa kaondoka hapa jana jioni. Na kila kitu chake katoa na karudisha chumba. Yalikuwa ni maumivu makali ambayo sikuyategemea, lkn ndo M hayupo Tena na sina mawasiliano nae. Nilikuja kuonana nae Tunduru, 2019 kawa mzuri balaa! Yaani balaa, mme wake ana ofisi ya Madini huko.

Nawasilisha kwa uzuni sana!!
Tunduru....

Nakayaya town pale napajua sana. Nipo contact yake dp nikamsalimiee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom