Mwamba umeongea fact ya maana sana,sex co kwamba ndo Kila kitu ishu kupata mtu ambae iternal hisia zinaendana before sex and everything,kiukwel unahitaj kua na akil ya ziada kutambua hili unalolizungumzia coz ni wachache sana wanawake wanaojal utu wao kama sio kutoa papuch ili waonekane wanaenda na wakat,sex Ni ziada lakn utu Kwanza,binafc sishobokei sana sex coz najua nikihitaji hasa kwa mazingira yangu ninayofanyia kazi( tunduma)mpemba najua madreva wa marol wanapajua vizur Ni rahisi kupata mtu wa kulala nae kuliko kupata hata msosiTunatofautiana mkuu, mimi sex ni kitu kidogo sana kwenye mahusiano. Huwa naenjoy zaidi zile moments za kuwa pamoja zaidi kwa sababu sex unaweza pata hata kwa malaya lakini kupata mtu ambaye kwa pamoja mtaunganisha hisia zenu si mtu ambaye unaweza kumpata popote.