Samaya
Senior Member
- Oct 24, 2012
- 127
- 165
Vipi mara baada ya mdau anajiita "Unskilled " kuepuka shimo la moto
Jeeeee, tunaendelea na masihara??
Kama kawa ila kwa taadhari Chief,unaambiwa usimwamin usyemjua
Vipi mara baada ya mdau anajiita "Unskilled " kuepuka shimo la moto
Jeeeee, tunaendelea na masihara??
Hata kama unamjua chief maana dunia hii Ni balaaaKama kawa ila kwa taadhari Chief,unaambiwa usimwamin usyemjua
nazijua nmezila sana toka wakate uziUnachekesha na kuhuzunisha Kwa pamoja
Yaani not under someone's influence hivi unazijua kweli mbol...o wewe
Hata kama unamjua chief maana dunia hii Ni balaaa
MREJESHOWadau.
Nipo safari natoka Mkoa X naenda Mkoa Y. Ndio nimepanda gari nimekaa na kisu hatari. Bahati nzuri tunaenda sehemu moja. Nitaleta mrejesho baadae.
MREJESHO
Tumefika salama. Kama mdau mmoja alivyosema utafika anapokelewa na mtu ni kweli but kapokelewa na Mama yake na yeye anadai ni mama yake mdogo. Kwamba tayari alikuwa ametoa taarifa sasa imekuwa vigumu kumpanga maza.
Ila nimechukua namba na nimehakikishiwa nisiwe na wasi. Yaani everything naona kinaenda kuwa poa. Pisi ipo very humble wala hata haringi. Kwakuwa bado nipo hapa kwa almost a week baasi nakomaa lakini nadhani itakuwa sio Masikhara sasa.
nazijua nmezila sana toka wakate uzi
Mzee Aya maswala nimeshakutana nayo sana ndo maana nikakutahadharisha kwanza kwamba anawezapokelewa na mtu mkuuMREJESHO
Tumefika salama. Kama mdau mmoja alivyosema utafika anapokelewa na mtu ni kweli but kapokelewa na Mama yake na yeye anadai ni mama yake mdogo. Kwamba tayari alikuwa ametoa taarifa sasa imekuwa vigumu kumpanga maza.
Ila nimechukua namba na nimehakikishiwa nisiwe na wasi. Yaani everything naona kinaenda kuwa poa. Pisi ipo very humble wala hata haringi. Kwakuwa bado nipo hapa kwa almost a week baasi nakomaa lakini nadhani itakuwa sio Masikhara sasa.
pole sana mkuu mimi niliwahi kupatwa na mkasa kama huu masihara iliandaliwa vizuri ile nataka valisha uncle asumani sweta la wokovu demu akasema hapana yani mjegejo ulilala kama nimepigwa salala(kofi la mgongo) yule demu nilimwambia mama nenda kwenu sitaki tenaNegativity za maskhara zipo namshukuru mungu kuniepusha na baa hili kiukweli nilinywea zaidi baada ya vipimo
Hata mie nayafahamu sanaMzee Aya maswala nimeshakutana nayo sana ndo maana nikakutahadharisha kwanza kwamba anawezapokelewa na mtu mkuu
Hongera wake kwa Waume wengi wanazi ignore ila km mwanaume jrb kuitumia convincing power ikishindikana acha mjegejo ulale kwa amanipole sana mkuu mimi niliwahi kupatwa na mkasa kama huu masihara iliandaliwa vizuri ile nataka valisha uncle asumani sweta la wokovu demu akasema hapana yani mjegejo ulilala kama nimepigwa salala(kofi la mgongo) yule demu nilimwambia mama nenda kwenu sitaki tena
Utuletee mrejeshoLikely, nitamcheki mida nayojua amefika.
Tuendelee na masihara kwanza.
Asante kwa wazo la sandaka ya shukrani hili nimeshalifanya nanitaendelea kulifanya kipekee sana niliiona niwasaidie nisiowajua kwa kuchangua damu ktk hospital zetu1. Unapaswa kutoa sadaka ya Shukrani umeokoka.
2. Ulijiivika bomu (pasipokujua au kwa kujua) kwa muda wote uliokuwa naye pamoja na uwezekano wa kuambukizwa kwa njia ya sex, mtu mnaishi naye pamoja kwa Mazingira uliyoyaelezea, ana kuwa namna nyingi sana za kukuambukiza kwa makusudi au pasipokujua.
3. Tahadhari uliyotoa ni ya muhimu. Tuendelee kuzingatia.
Nimeharibu Uzi ila namm napenda sana kuisoma visa vya kimasihara tupe visa vyako tuendelee kuburudika ssVipi mara baada ya mdau anajiita "Unskilled " kuepuka shimo la moto
Jeeeee, tunaendelea na masihara??
Nilishaweka humu mavisa na mavisa mkuuNimeharibu Uzi ila namm napenda sana kuisoma visa vya kimasihara tupe visa vyako tuendelee kuburudika ss
ndio mkuukaribu rock cityLuchelele mzunguko naamini itakuwa mwanza
Alert mapeemaHapa wakulungwa wote waliopo humu ambao madem zao wako safarin leo lazima waongeze ulinzi,ukiona anapgiwa cm kila saa kuulizwa kafika wap bas jua mwamba ashakusoma huku ss analinda mali zake
Shukrani mkulundio mkuukaribu rock city