Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Wadau.
Nipo safari natoka Mkoa X naenda Mkoa Y. Ndio nimepanda gari nimekaa na kisu hatari. Bahati nzuri tunaenda sehemu moja. Nitaleta mrejesho baadae.
MREJESHO
Tumefika salama. Kama mdau mmoja alivyosema utafika anapokelewa na mtu ni kweli but kapokelewa na Mama yake na yeye anadai ni mama yake mdogo. Kwamba tayari alikuwa ametoa taarifa sasa imekuwa vigumu kumpanga maza.
Ila nimechukua namba na nimehakikishiwa nisiwe na wasi. Yaani everything naona kinaenda kuwa poa. Pisi ipo very humble wala hata haringi. Kwakuwa bado nipo hapa kwa almost a week baasi nakomaa lakini nadhani itakuwa sio Masikhara sasa.
 
MREJESHO
Tumefika salama. Kama mdau mmoja alivyosema utafika anapokelewa na mtu ni kweli but kapokelewa na Mama yake na yeye anadai ni mama yake mdogo. Kwamba tayari alikuwa ametoa taarifa sasa imekuwa vigumu kumpanga maza.
Ila nimechukua namba na nimehakikishiwa nisiwe na wasi. Yaani everything naona kinaenda kuwa poa. Pisi ipo very humble wala hata haringi. Kwakuwa bado nipo hapa kwa almost a week baasi nakomaa lakini nadhani itakuwa sio Masikhara sasa.

Kaza babu ule mbunda
 
MREJESHO
Tumefika salama. Kama mdau mmoja alivyosema utafika anapokelewa na mtu ni kweli but kapokelewa na Mama yake na yeye anadai ni mama yake mdogo. Kwamba tayari alikuwa ametoa taarifa sasa imekuwa vigumu kumpanga maza.
Ila nimechukua namba na nimehakikishiwa nisiwe na wasi. Yaani everything naona kinaenda kuwa poa. Pisi ipo very humble wala hata haringi. Kwakuwa bado nipo hapa kwa almost a week baasi nakomaa lakini nadhani itakuwa sio Masikhara sasa.
Mzee Aya maswala nimeshakutana nayo sana ndo maana nikakutahadharisha kwanza kwamba anawezapokelewa na mtu mkuu
 
Negativity za maskhara zipo namshukuru mungu kuniepusha na baa hili kiukweli nilinywea zaidi baada ya vipimo
pole sana mkuu mimi niliwahi kupatwa na mkasa kama huu masihara iliandaliwa vizuri ile nataka valisha uncle asumani sweta la wokovu demu akasema hapana yani mjegejo ulilala kama nimepigwa salala(kofi la mgongo) yule demu nilimwambia mama nenda kwenu sitaki tena
 
pole sana mkuu mimi niliwahi kupatwa na mkasa kama huu masihara iliandaliwa vizuri ile nataka valisha uncle asumani sweta la wokovu demu akasema hapana yani mjegejo ulilala kama nimepigwa salala(kofi la mgongo) yule demu nilimwambia mama nenda kwenu sitaki tena
Hongera wake kwa Waume wengi wanazi ignore ila km mwanaume jrb kuitumia convincing power ikishindikana acha mjegejo ulale kwa amani
 
1. Unapaswa kutoa sadaka ya Shukrani umeokoka.
2. Ulijiivika bomu (pasipokujua au kwa kujua) kwa muda wote uliokuwa naye pamoja na uwezekano wa kuambukizwa kwa njia ya sex, mtu mnaishi naye pamoja kwa Mazingira uliyoyaelezea, ana kuwa namna nyingi sana za kukuambukiza kwa makusudi au pasipokujua.
3. Tahadhari uliyotoa ni ya muhimu. Tuendelee kuzingatia.
Asante kwa wazo la sandaka ya shukrani hili nimeshalifanya nanitaendelea kulifanya kipekee sana niliiona niwasaidie nisiowajua kwa kuchangua damu ktk hospital zetu

Kuhusu kuambukiza makusudi angekua amevuka viwango vya ubinadamu na kuwa mnyama maana km mm tu sukuwahi kumwambia mtu yeyote hata ndugu zake kuwa anangoma, hapa jukwaani hakuna amjuae naamn Hilo
 
nazijua nmezila sana toka wakate uzi

IMG_20210519_200529.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom