moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,900
- 4,865
Mwanza wameridhika na maji yake .Huu uzi unashawishi kila mtu atoe siri zake...
2014 mdogo wa mwenye nyumba aliwa kimasihara
Nilipanga chumba Side B geto tulukuwa tunakaa watatu, nyumba niliyopanga ina vyumba 3 na sebule 1(haikuwa nyuma rasmi ya kupangisha kulingana na muundo wake).
Mpangaji nilikua mimi tu,chumba kimoja anakaa mama mwenye nyumba na watoto wake wawili wadogo (5,8yrs). Chumba kingine alikuwa anakaa mdogo wake ambaye alikua karibuni kumsaidia kwenye biashara zake.
Huyu mama alikuw mjane lakini alikua na sehemu ya kupozea papuchi yake siku ikiwa ya . Kabla ya mdogo wake kuja alikuwa ananiaga bila kusema anaenda wapi lakini ananiambia funga geti mimi sirusi.
Baada ya mdogo wake kuja ni muhaya(wengi mnajua wahaya walivyo) sura ya kawaida lakini shape kama lote,tako kubwa,ziwa la kuvutia n.k
Kufupisha stori nilikua nafua hapo nguo siku hiyo na mdogo alikua anaosha vyombo. Ilikua kama saa 1 usiku dada yake akamuaga pale anaondoka,baada ya kutoka nikamuuliza yule mdogo wake hivi dada akitoka huwa anaenda wapi? Akajibu kwa baba fulani(jina la mmoja wa mtoto wake) sikutaka kuuliza anaenda kufanyaje mana ingekuwa mmbeya.
Nikachomekea sa akitoka watoto wanalalaga na nani? Akasema mim,nikamwambia huogopi? Akasema nishaoeza. Nikamwambia leo nitakuja usiku kukulinda,akajibu hakuna nafasi ya kulala labda ulale chini nikakubali sawa.
Usiku sasa nikajifanya naenda toilet nikapita mpaka chumbani mlango nikakuta umefunguliwa,nafika nakuta kavaa kanga tu,nikamgusa akastuka akaniuliza umekuja kufanya nin? Nikamwambia kukulinda wakati huo nimepiga magot chini mikono yote ina shughuli kwenye mwili wake,akasema watoto wanasikia ngoja nishuke chini.
Nilimvuta mpaka sebuleni nilimsachi sana nikapima oil mtoto anagugumia tu, wakati nataka nitoe vidole akaushikilia wangu yaani akitaka niendelee na zoezi la upimaji. Wakati huo mkono wote umelowa(alikua na maji mengi sana) aling'ang'ana sana na mkono wangu mpaka dushe likaanza kuniuma, likitafuta shimo lake. Akapiga mbuzi kagoma haikuchukua dk 2 wazungu wakafika.
Tukaenda kuoga kila mtu akasenda kulala...kesho yake anadai haelewi tumboni mwake(eti anahisi mimba iliingia). Nikawa najipigia kimya kimya pale ndani mpaka akaja kuondoka.
Alinisumbua sana mwishoni akitaka kujua hatima yangu kwake. Nilimjibu mimi kuoa bado sana. Akaenda mwanza miezi 6 tu kaolewa.