Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Siku 1 nilipigiwa simu na dadaflani jina (S) niende nikamsalimie kwao, baada ya kufika pale nakuta yuko pekeake maana wazazi wake walikuwa wamesafiri na katika kupiga stori mara kaleta chai pale huku stori zmenoga. Muda si mrefu kaja kukaa 0 distance nkajua huyu anataka chezo bila tongozo nami bila kuchelewa nikamshika mkono naona anarespond, nikashuka kwa paja yumo tu oooooh sikuchelewa kumpandisha sket na mkono umo kupima oil nikakuta tayari kashalowa kitambooo.nikamvua pichu chaaap hapo dushe unasoma 100° nakamsokomezeaaa ndani. Tako dk 5 wazungu hawaaapa akavaaa chap stori zikaendeleaaaa nikatoka pale mwepesiiiii
 
Nipo zangu Moro town nikiendelea na mishe za hapa na pale mara simu ikataita, nikaitoa mfukoni ,nikaangalia anayenipigia ,jina linaonyesha Best. Best ni rafiki yangu wa karibu sana na mara nyingi simu zake zinahusu madili ya pesa. Baada ya kubonyeza tu alama ya kupokea ,Best akaniuliza "IGA unamtaji wa kama milioni 4 hivi nikupe dili la kudabo mtaji?" nikamjibu kwamba ninazo. Basi akaanza kunielezea kuhusu dili lenyewe, "IGA huko Moro kuna kijiji kinaitwa Mwaya kuna wazee wanauza mpunga kwa bei ya kutupa eti gunia shilingi elf40, kwa mtaji wa milioni hapo unapiga gunia 100 unazibeba kwenye fuso mpaka Ifakara hapo utazihifadhi mashineni mpaka mda soko likiwa zuri unakoboa na kuuza mchele hata kwa shilingi lak na 40 kwa gunia". Nikamwambia Best anipe mwongozo namna ya kufika kwa hao wazee huko Mwaya, Best akaniambia nimfate mshkaji wetu Piu , nimwambie anipeleke kwa mzee Jo. Piu tulimpa jina la Msomea kijiji, alitoka bush kuja town kupiga kitabu , msuli wake ulikuwa si wa kitoto, lakini mwisho wake huu mwaka wa pili sasa nae anaunga unga tu hapa Moro ili maisha yaende. Nikampigia Piu nikamwambia aje geto kwangu jioni bila kukosa, kweli jioni ile Piu akaja nikamweleza nataka kufika Mwaya kesho kwa Mzee Jo, nimepata taarifa anampunga magunia ya kutosha anauza kwa bei ya kutupa, nikamwambia dili likitiki 10% ya kwake, Piu akakubali kunipeleka kwa mzee Jo.
Kesho yake asubuhi tukawah stendi tukapanda basi la kuelekea Ilonga kupitia Mwaya. Jioni sa 11 tukashuka hapo Mwaya.Piu akaniambia ili upate ukarimu wa kupitiliza kwa mwenyeji mnunulie zawadi, biashara itanoga. Basi tukaenda dukani tukanunua Mafuta ya kula lita 5, sukari kilo 1, majani ya chai, dagaa wa elf 10 na maji safi trei 1 hapo nilitumia kama elfu 45 hivi kwa ajili ya zawadi. Tukachukua boda boda tukapanda mshkaki na mizigo yetu mpaka kwa mzee Jo. Tukamlipa boda boda buku 2 akatushushia mizigo yetu chini.
Mzee Jo alipomwona Piu akatoa tabasamu zito alafu akaja na kutukaribisha ndani, tukamsalimia yeye na mkewe na pia alikuwapo binti yake wa miaka kati ya 20-23, nae pia tukamsalimia na akatuamkia tukaitika. Piu akamwambia mzee Jo, " nimekuletea mgeni amekuletea na hizi zawadi, mgeni atajieleza zaid kilichomleta'. Kabla sijaanza kuongea Piu akanyanyuka akaaga , anaenda kuwasalimia ndugu zake ila kesho asubuhi atarudi. Mzee Jo akamwambia sawa ila kabla ya kuondoka tuchinjie Jogoo letu moja kwa ajili ya kitoweo cha mgeni usiku huu.
Nikabaki na mzee Jo, nikamweleza nahitaji magunia 100 ya mpunga nimeelekezwa kwmba nitayapata kwake, Mzee Jo akafurah sanaaa, akasema yapo na bei ni sh elf 40 tu nitakuuzia. Baada ya maelewano hayo tukatoka nje tukaelekea kwenye nyumba nyingine ndogo ambayo imetengenezwa kwa matofali ya kuchoma ila imeezekwa kwa nyasi ipo jirani na nyumba annayoishi. Tukaingia ndani tukakaa kwenye vigoda akanimbia kwa leo utalala hapa ili kesho tupakie mzigo wako, nikamshukuru nae akatoka nje. Baada ya lisaa mlango ukafunguliwa yule binti wa mzee Jo akaniletea chakula, ilikuwa wali kuku huku paja zote mbili nimewekewa mimi, akaninawisha mikono akanikaribisha alafu akatoka nje.
Nilipomaliza kula nikawa nimejiegesha tu kitandani maana anapoishi mzee Jo umeme wa REA bado haujafika ingawa nguzo tumezikuta zimelazwa njiani. Mara mlango ukawa unafunguliwa taratibu nikawasha tochi ya simu kumulika nikamuona yule binti, nikamwambia nimemaliza msosi vyombo viko pembeni hapo, akasema ameagizwa aje kulala nami ili anilinde. Nikapata na vyote , Mshtuko na mshangao kwa pamoja! nikamuulizwa ulinzi wa nini? akajibu kuna baadhi ya wenyeji wa kijijini ni wachawi wanapenda kuwachezea wageni kwa hiyo nikiwepo na mimi humu hawataingia. Basi bana nikamkubalia ulinzi wake, ila nikamuuliza tena huo ulinzi utakaa macho tu? akasema hapana, kitendo cha mie kulala tu humu ni ulinzi. Humo ndani kuna kitanda kimoja tu, tukapanda kitandani tukaanza kupiga stori za hapa na pale, baadae ukimya ukashika nafasi. Basi dakika kama 10 baada binti akalala mlalo wa kujikunja miguu, msambwanda wake ukawa unanigusa, sikuchelewa mpini ukavimba ghafla, binti kumbe alikuwa macho akaguna alafu akaniambia "pole ila usijali nitakusaidia nipo kwa ajili yako usiku huu" nikamjibu "asante kwa ofa" , sikupoteza mda, nikamfungua kanga aliokuwa amevaa nikampapasa nikagundua hajavaa kitu, binti kwa kweli mashalaah kajaaliwa na muumbaji. Tukapiga show yetu ya kimya kimya dk kama 30 hivi wote tukaridhika tukalala.
Asubuhi nikamshukuru mzee Jo kwa ulinzi alionipatia, Piu akaja na fuso tukapakia mzigo nikamlipa mzee Jo kwa njia ya mtandao, nikamwambia biashara ikienda vizuri nitarudi tena msimu ujao. Naondoka na furaha ya kumbukumbu ya show ya usiku na binti wa mzee Jo.
Mzigo ulikuja kuuza kwa faida kiasi gani?
 
Siku 1 nilipigiwa simu na dadaflani jina (S) niende nikamsalimie kwao, baada ya kufika pale nakuta yuko pekeake maana wazazi wake walikuwa wamesafiri na katika kupiga stori mara kaleta chai pale huku stori zmenoga. Muda si mrefu kaja kukaa 0 distance nkajua huyu anataka chezo bila tongozo nami bila kuchelewa nikamshika mkono naona anarespond, nikashuka kwa paja yumo tu oooooh sikuchelewa kumpandisha sket na mkono umo kupima oil nikakuta tayari kashalowa kitambooo.nikamvua pichu chaaap hapo dushe unasoma 100° nakamsokomezeaaa ndani. Tako dk 5 wazungu hawaaapa akavaaa chap stori zikaendeleaaaa nikatoka pale mwepesiiiii
Tako tano mbona chache sana? Huoni huko ni kuchezea mbunye
 
Nipo zangu Moro town nikiendelea na mishe za hapa na pale mara simu ikataita, nikaitoa mfukoni ,nikaangalia anayenipigia ,jina linaonyesha Best. Best ni rafiki yangu wa karibu sana na mara nyingi simu zake zinahusu madili ya pesa. Baada ya kubonyeza tu alama ya kupokea ,Best akaniuliza "IGA unamtaji wa kama milioni 4 hivi nikupe dili la kudabo mtaji?" nikamjibu kwamba ninazo. Basi akaanza kunielezea kuhusu dili lenyewe, "IGA huko Moro kuna kijiji kinaitwa Mwaya kuna wazee wanauza mpunga kwa bei ya kutupa eti gunia shilingi elf40, kwa mtaji wa milioni hapo unapiga gunia 100 unazibeba kwenye fuso mpaka Ifakara hapo utazihifadhi mashineni mpaka mda soko likiwa zuri unakoboa na kuuza mchele hata kwa shilingi lak na 40 kwa gunia". Nikamwambia Best anipe mwongozo namna ya kufika kwa hao wazee huko Mwaya, Best akaniambia nimfate mshkaji wetu Piu , nimwambie anipeleke kwa mzee Jo. Piu tulimpa jina la Msomea kijiji, alitoka bush kuja town kupiga kitabu , msuli wake ulikuwa si wa kitoto, lakini mwisho wake huu mwaka wa pili sasa nae anaunga unga tu hapa Moro ili maisha yaende. Nikampigia Piu nikamwambia aje geto kwangu jioni bila kukosa, kweli jioni ile Piu akaja nikamweleza nataka kufika Mwaya kesho kwa Mzee Jo, nimepata taarifa anampunga magunia ya kutosha anauza kwa bei ya kutupa, nikamwambia dili likitiki 10% ya kwake, Piu akakubali kunipeleka kwa mzee Jo.
Kesho yake asubuhi tukawah stendi tukapanda basi la kuelekea Ilonga kupitia Mwaya. Jioni sa 11 tukashuka hapo Mwaya.Piu akaniambia ili upate ukarimu wa kupitiliza kwa mwenyeji mnunulie zawadi, biashara itanoga. Basi tukaenda dukani tukanunua Mafuta ya kula lita 5, sukari kilo 1, majani ya chai, dagaa wa elf 10 na maji safi trei 1 hapo nilitumia kama elfu 45 hivi kwa ajili ya zawadi. Tukachukua boda boda tukapanda mshkaki na mizigo yetu mpaka kwa mzee Jo. Tukamlipa boda boda buku 2 akatushushia mizigo yetu chini.
Mzee Jo alipomwona Piu akatoa tabasamu zito alafu akaja na kutukaribisha ndani, tukamsalimia yeye na mkewe na pia alikuwapo binti yake wa miaka kati ya 20-23, nae pia tukamsalimia na akatuamkia tukaitika. Piu akamwambia mzee Jo, " nimekuletea mgeni amekuletea na hizi zawadi, mgeni atajieleza zaid kilichomleta'. Kabla sijaanza kuongea Piu akanyanyuka akaaga , anaenda kuwasalimia ndugu zake ila kesho asubuhi atarudi. Mzee Jo akamwambia sawa ila kabla ya kuondoka tuchinjie Jogoo letu moja kwa ajili ya kitoweo cha mgeni usiku huu.
Nikabaki na mzee Jo, nikamweleza nahitaji magunia 100 ya mpunga nimeelekezwa kwmba nitayapata kwake, Mzee Jo akafurah sanaaa, akasema yapo na bei ni sh elf 40 tu nitakuuzia. Baada ya maelewano hayo tukatoka nje tukaelekea kwenye nyumba nyingine ndogo ambayo imetengenezwa kwa matofali ya kuchoma ila imeezekwa kwa nyasi ipo jirani na nyumba annayoishi. Tukaingia ndani tukakaa kwenye vigoda akanimbia kwa leo utalala hapa ili kesho tupakie mzigo wako, nikamshukuru nae akatoka nje. Baada ya lisaa mlango ukafunguliwa yule binti wa mzee Jo akaniletea chakula, ilikuwa wali kuku huku paja zote mbili nimewekewa mimi, akaninawisha mikono akanikaribisha alafu akatoka nje.
Nilipomaliza kula nikawa nimejiegesha tu kitandani maana anapoishi mzee Jo umeme wa REA bado haujafika ingawa nguzo tumezikuta zimelazwa njiani. Mara mlango ukawa unafunguliwa taratibu nikawasha tochi ya simu kumulika nikamuona yule binti, nikamwambia nimemaliza msosi vyombo viko pembeni hapo, akasema ameagizwa aje kulala nami ili anilinde. Nikapata na vyote , Mshtuko na mshangao kwa pamoja! nikamuulizwa ulinzi wa nini? akajibu kuna baadhi ya wenyeji wa kijijini ni wachawi wanapenda kuwachezea wageni kwa hiyo nikiwepo na mimi humu hawataingia. Basi bana nikamkubalia ulinzi wake, ila nikamuuliza tena huo ulinzi utakaa macho tu? akasema hapana, kitendo cha mie kulala tu humu ni ulinzi. Humo ndani kuna kitanda kimoja tu, tukapanda kitandani tukaanza kupiga stori za hapa na pale, baadae ukimya ukashika nafasi. Basi dakika kama 10 baada binti akalala mlalo wa kujikunja miguu, msambwanda wake ukawa unanigusa, sikuchelewa mpini ukavimba ghafla, binti kumbe alikuwa macho akaguna alafu akaniambia "pole ila usijali nitakusaidia nipo kwa ajili yako usiku huu" nikamjibu "asante kwa ofa" , sikupoteza mda, nikamfungua kanga aliokuwa amevaa nikampapasa nikagundua hajavaa kitu, binti kwa kweli mashalaah kajaaliwa na muumbaji. Tukapiga show yetu ya kimya kimya dk kama 30 hivi wote tukaridhika tukalala.
Asubuhi nikamshukuru mzee Jo kwa ulinzi alionipatia, Piu akaja na fuso tukapakia mzigo nikamlipa mzee Jo kwa njia ya mtandao, nikamwambia biashara ikienda vizuri nitarudi tena msimu ujao. Naondoka na furaha ya kumbukumbu ya show ya usiku na binti wa mzee Jo.
Khaaa hii ilikuwa planned au bint tuu kaamua kujiongeza
 
Lazima muelewe hatufanani mkuu. Kama ni kanuni kwako wengine si sheria pia. Siwezi kucontrol account 2. Za nini? Za kazi gani. Kwani kwa i.d hii nikaamua kuandika kuna anayenifahamu?
Mkuu hata sikuandika nikiwa serious kihivyo natambua utofauti wetu , so sorry kama ilikuwa too harsh...
 
Siku moja nimepanda daladala za kwenda Bagamoyo pale makumbusho miaka kadhaaa iliyopita, nilikua naenda kwa shughuli binafsi.

Kiti nilichokaa ni upande wa dereva kiti kimoja kabla ya kiti cha mwisho kwenye daladala, nimekaa dirishani. Kidogo daladala inaelekea kujaa akaja binti akakaa siti nyingine pamoja na mimi, alivyokaa tu ni kama alijiachia, kama alikua amechoka sana.

Nikamsalimia akaitika, nikampa pole akaipokea vizuri. Kisha tukaanza safari kuelekea bagamoyo. Tukafika njiani kule mapinga tumeshakua wenyeji, story nyingi sana ila binti akaonyesha kama ana msongo wa mawazo, binti alikua anafanya kazi taasisi moja inafanya utafiti wa magonjwa ya kitropiki, inaanza na jina la wilaya moja huko Morogoro.

Baada ya kuwa marafiki, akanikaribisha kwake, tulipokaribia kufika mimi nikashuka kwanza yeye anaenda kushukia mjini. Nilipoka hotelini kwangu nikaoga, nikapumzika kidogo, akanipigia simu kama sijala niende apike tule, hapo mawazo ya kishetani yakaniijia kichwani, nikaenda shop nikachukua condom kisha nikaenda kwake.

Kufika nakuta ndio anatoka bafuni, ameshapika ananisubiri tule, so ile kufika ni kama nilimuwahi kabla hajavaa, ana kanga tu, alikua anaishi kisela, kitanda, kochi mbili na vikorokoro vingine.

Nikaingia mnyama nikakaa kwenye kochi, akaomba anyooshe nguo za kazini kesho yake kwanza kabla hatujala kwani umeme ulikua unakatika katika sana, nikamwambia nimsaidie kwani mimi ni bingwa wa kunyoonya, akakubali.

Pale alikua anayooshea kitandani, akanipisha mzee nikaingia kwenye fani, nikaipiga nguo moto mwenyewe akafurahi, nikanyoosha na nyingine za ziada, akafurahi sana.

Sasa ile nimemaliza kunyoosha nikawa nimeishikilia ile nguo yake ya kwanza(ni vazi la kitaaluma), akaja kama ananisogelea hivi, nikamvuta kama namkumbatia, akajaa mzima mzima, kumbuka hapo ana kanga tu, alikuja kujikuta kitu ishazama muda mrefu, kilio cha kufa mtu.

Baada ya gemu nzito, mtoto akawa na huzuni sana, sikuelewa ameanzaje kua na huzuni huku wakati wa gemu alikua anagugumia kwa raha, kumbe vile nimemla bila condom na bila kujua afya yangu. Akaanza kulia, akasema lazima anipime, alikua na hizi test kits nyumbani kama walivyo watu wa hiyo fani.

Baada ya majibu yangu kutoka yako poa, mtoto akanipa show nzito sana, nimetoka kwake sa 7 usiku.

Huyo ndie demu nilikula kimasihara bila kutongoza na kwa muda mfupi sana. Nitaleta wengine soon.
Kabla ya kwenda ulinunua condom dukani ila kufika huko hata hukuzitumia.

Hatari sana hii kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom