sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 18,500
- 41,739
Ni jamaa angu wa karibu Sana tu..na familia yangu anaifahamu fresh tu..
Siku isiyo na jina akanvutia waya..kuwa yupo upande wa pili wa boda amekwama kidogo,shemeji yangu anatoka jijini kuja mkoani kwa jamaa angu so atafika kabla yke kma vp nikampokee.
Nikamtarifu wife afanye makeke ntapita na mgeni hapo ya jamaa angu x nampokea atapita ale then nimpeleke kwa jamaa..
Kweli mishale ya tatu kasoro mbibie huyu hapa..nikamdaka ingiza kwenye gari job hao mpka maskani..
Kufika kachoka hawez hta kula..akaaga ikabidi nimpatie keys then nikam escort mpka magetoni kwa jamaa angu..
Then nikageuka..nikampa taarifa jamaa..
Kesho yke jioniii cmu inaingia jamaa ananiambia bibie kapoteza funguo inabidi nikamchukue nimpeleke lodging jamaa kesho yake atamkuta...
Nikaibuka chapu nikamkuta bibie yupo kwenye grocery ya pembeni kishachamgamka kidogo..
Bhasi nikamchukua mpka Lodge akaingia kajibwaga on bed kihasara hasara.. ikabidi niage tu..
Kwenye kuaga mbibie anazingua eti hapo hawezi kulala mwenyew anaogopa..
Woi nikajua tu huyu adabu Hana..nikazima taa nikamnyoosha viwili..
She was good..anajua shughuli
Nikachomoka zangu kumuwahi wife..
Japo nlipata uzito moyoni whenever I met my friend.
komesha korona