MR BENNY
Member
- Oct 31, 2015
- 68
- 174
RFA walikua wanaipiga promo hii Bia miaka hiyo ya 2000's nilijua hiyo ndio bia pekee hakuna nyingine..utoto bana
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni RFA kulikuwa na tangazo la hii bia, wakiita bia ya wakulima.
Sent using Jamii Forums mobile app