blance86
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,080
- 5,441
Hii kada usithubutu kuoa ni majangaa bora hata awe daktari lkn sio nesi utakufa kwa kihoroo mkuuHawa watu wa mambo ya afya nikiwanae huwa najihisi niko sehemu salama kumbe ndio wanalika tunda kimasihara hivyo tena bila kinga.
Sent using Jamii Forums mobile app