Mercenary Army
JF-Expert Member
- Jun 2, 2017
- 269
- 603
Kan
Kanembwa JktAcha na mm nisogeze kahawa yangu kunogesha uzi
Ilikua mwaka 2014 baada ya kumaliza kidato cha sita shule moja huko Mkoani Kilimanjaro (Moshi Technical), nilichaguliwa kwenda JKT kwa mujibu wa sheria kambi flani ambayo siitaji jina huko mkoani Kigoma. Siku imefika safari ikaanza, safari ilianzia nyumbani Mwanza asubui saa 12 na basi kampuni ya Adventure.
Picha linaanza nikiwa ndani ya gari, siti ya mbele yangu kulikua na binti mmoja hivi maji ya kunde kanyoa dongo. Kwa harakaharaka nikajiongeza kuwa huyu nae ni mwenzangu (kutokana na alivonyoa). Sikumtilia maanani sana nikawa kama nimempotezea na safari ikaendelea.
Baada ya safari ndefu tukafika seheme flani (mkoani kigoma) ghafla basi letu likasimamishwa. Tukaona askari jeshi mmoja mweusi tii na mwenye sura ya kuogofya akapanda ndani ya basi, nanukuu alichokisema “kama kuna kiumbe yeyote aliyetumwa na serikali kuja katika kambi ya ......, hapa ndipo mwisho wa safari yake na tunamuomba ashuke”, hapo ndipo nikagundua nimeshafika, nikawa nimeshuka, na yule binti pia nikamuona anashuka. Tulipofika chini tukapigwa mikwara mingi sana yaani kama ni muoga unakojoa palepale. Mikwara ya wale askari ikamfanya biti awe ananisoglea na hatimae nikashangaa ananishika mkono utadhani nina msaada wowote ninaoweza kuutoa wakati mi mwenyewe roho inataka kuchomoka kwa ile mikwara . Walituchukua mpaka kambini, na mambo mengine yakaendelea.
Nilianza mazoea na yule binti hasa baada ya kuwa tumepangwa Kombania moja (Bravo Coy). Tukawa tukipata mda tunapiga story mbili tatu, wakati wa chakula tunakula pamoja but wakati huo tupo kwenye zile suti zetu (vipensi), so umbo la yule dada lilikua linajichora vzr alikua kajaaliwa tako kubwa na hips zilizojaa na kiuono kidogo kama nyigu. Kiufupi tayari nilikua nishavutiwa nae sana lakini sikuwahi kuongea nae kabisa kuhusu mahusiano.
Siku moja usiku tukiwa kombania tushapigwa doso la kutosha (waliopita kule wameelewa) ghafla ikapulizwa filimbi na tukataarifiwa kuna moto umewaka katika eneo ambalo lipo kwenye himaya ya Kambi hivyo inatakiwa kombania zote twende tukazime. Kama unavojua kule ni amri, tukajikongoja na uchovu wetu saa sita usiku tukatembea kama km 8 kufika eneo la tukio, wakati huo nipo na yule mdada na amechoka nusu ya kufa. Zima zima zima na wewe moto hauishi. Nikaingiwa na roho ya ujasiri nikamwambia yule binti twende tukajifiche kichakani mpaka moto utakapozimwa ndo turudi kambinni. Binti akakubali tukachomoka kama hatukuepo mpaka kichakani. Tumefika mi nikawa wa kwanza nikajilaza kwenye nyasi na yy akalala palepale lkn pembeni yangu huku mguu wake kauweka juu ya mguu wangu.
Palepale mashetani yakaanza kunipanda, ukizingatia nimekaa mda mrefu cjamwaga oil. Nikajaribu kupeleka mkono kifuani kwake kama nipo usingizini nikaona katulia tu, nikabinya matiti yake (yalikua size ndogo) nikaona kaanza kujikunja bila kusema kitu. Nikasema nisikawize mambo hapa, nikazamisha mkono kutafuta kitumbua, nikakuta dem kalowana chepechepe. Nikatoa kipensi chake, nikaanza kuchezea sana K kwa vidole mpaka nikaona binti anapata degedege flani hiv analalamika tu “mbona huchomeki”... nikasema eheee tayari kalewa ulanzi. Ilipigwa kifo cha mende pale moja kari ilichukua karibu dak 40 maana mzuka niliokua nao sio wa nchi hii. Piga sana shoo mpaka tukasahau kama tulienda kuzima moto.
Akili imekuja kurudi tunawatafuta wenzetu walipo kumbe walishamaliza kuzima moto mda mrefu na wamerudi kambini. Walifika kambini wakahesabiwa na wakawa hawajatimia, then tukaanza kutafutwa . Baada ya kupatikana kilichotukuta nadhani waliopita huko wanajua.
Baada ya jeshi tulienda chuo na bahati nzuri tulienda chuo kimoja na tukaendeleza uhusiano. Hakika nilimpenda sana yule binti na mda wote niliokua nae sikuwahi kumcheat. Muda wote tuliokaa chuoni tulikua pamoja na nilimuona kama mke wangu.
Shetani akaingia kati baada ya kumaliza chuo, mwenzangu akapata kazi kabla mm cjapata. Akaanza kushika pesa mm bado kapuku. Mpaka leo sielewi niliachwa vipi, niliumia sana kwa jinsi nilivokua nampenda ila ndo hvo bna inabidi nikubaliane na matokeo, lkn mpaka leo huwa nikimkumbuka naumiaaaa.
WANAUME WENZANGU TUTAFUTENI PESAAA
Sent from my iPhone using JamiiForums