Mandingo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 4,429
- 3,637
Daaaa yaaani kweli ukiwa baharia kuna wakayi unatakiwa ujidai mwema sana !! Lakin unavuta subira ...usitake kupaparuka aise salute !!
Ukiwa kauzu sana watoto wazuri utawasikia tu !
Daaaa yaaani kweli ukiwa baharia kuna wakayi unatakiwa ujidai mwema sana !! Lakin unavuta subira ...usitake kupaparuka aise salute !!
Yeah, halafu huenda tulichafulia humu mjengoni, sio fair kuanikana. Mkuu ilà sijasoma yako hata mojaSema hilo ndo tatizo. Watu hawatak kuchafua cv
Daah hapana asee... mimi sio baharia.Da Vinci shida nini mkuu kwann unataka ufute story huo sio ubaharia....shusha nondo nyingine uliyomla mchepu wa faza kibaharia zaidi
Mikoba ya riki boy tunakukabidhi mpaka atoke kifungoni.Mkuu show nilirudia baada ya wao kuhama pale...
Asubuhi ilikuwa ni aibu tu mkuu...tunakwepa kukutanisha macho yetu
Mkuu ushakua Melo? unataka uanze kupunguza uzi wetuNaomba ufute hizi comments
Kila mtu yuko na sides mbili. Hata ukifuta haibadilishi ukweli. It's about past nothing matters. Kama unaandika kuhusu future hapo ni tatizo. Kuwa na amaniDaah hapana asee... mimi sio baharia.
Naheshimiana na wengi humu.
They will be amazed for these stories
Mikoba ya riki boy tunakukabidhi mpaka atoke kifungoni.
Mzee baba ulijitoea katika kina kirefu tunataka vijana kama nyinyi wenye maamuzi yanayoleta Tija kwa Taifa na secta ya Mabaharia
It makes sense kwa hili uloliandika.. naogopa fidodido akipita hapa akaona.Kila mtu yuko na sides mbili.Hata ukifuta haibadilishi ukweli.It's about past nothing matters.Kama unaandika kuhusu future hapo ni tatizo.Kuwa na amani
Du kwa nini?Muaasisi wa huu uzi amekula Ban
chai ya moto kabisa hii kutoka jikoniNiliokotaga handbag flan ndogo ndogo hivi asubui nawahi zangu job nikasema nitaifungua nikifika job basi kutokana na kazi kuwa nyingi nikaisahau ofisini.Kesho yake nilichelewa ofisini basi kumaliza shughuli zangu nikaifungua,kufungua nakutana na hela kama laki 7 hivi na machenchi yake kupekua pekua nakutana na kimemo dizaini kimeandikwa mahitaji ya shule kama counter book,pedi nk.nikagundua huyu mwenye hii handbag ni mwanafunzi kupekua nakuta picha ya mama mtu mzima flan na baba mtuzima hivi then nikakuta na diary ndogo kuipitia nikakuta na namba za simu.Nikasema ngoja nipige niwarudishie tu vitu vya bahati nzuri sikua na njaa ya hela kabisa so kupiga sim akapokea mama nikamweleza nimeokota mkoba na una hela na vitu vyake naomba tuwasiliane uje uvichukue!Duuh yule mama alikia kwa furaha akanimbia mwanangu hiyo ilikua ada ya mdogo wako kadondosha (niligundua mama alikua mlokole na ile familia ktk maongezi)yule mama alikua mbali akanimbia naomba mwangu nikutumie namba umtumie tu Mercy so kweli akanitumia nikawasiliana na yule dogo nikamtumia na ka pocket money juu nikamwambia usome akashukuru sn nikagundua pia kameokoka.Ile hand bag aliniambia atakuja kuichukua likizo!Siku zikaenda na yule mama alikua akinisalimia mara kwa mara pamoja na mume wake walitokea kunikubali tu so mara likizo tym hii apa dogo akatumia simu ya mama ake akasema nakuja kukutembelea leo bro nikamwambia karibuni.Asee ile naenda kumpokea natizamana nae hivi nilipigwa na bumbuwazi sijapata ona!!!!***** alikuja na mwenzake zote pini sijawao ona watoto wazuri vile mapacha!Ule mshtuko waliusoma so wakanitania bro vp?nikawambia nyie ni malaika au naota?wakacheka sn kufika magetoni tukapiga tori mida kwenda wakasema bro wifi yuko wapi?nikawauliza nyie mmemwona ?nikawatania mimi nilikua nawasubiria nyie wake zangu na Bwana ameniletea!wakacheka sn huku na kule mwamba nikampigia mangi kaleta kilo za kitimoto za kutosha na ndizi!kuzama kwenye fridge hakuna soft drinks hata moja na wao pombe hawatumii kbs so nikawaambia hii st anna sio kli ina sukari jaribuni asee kujaribu ndio kama nilifungulia maongezi piga sana stori huku nakule tuko kwenye sofa na mimi kilaji kimepanda mmoja keshaa lala fofofo huyu mwingine ambae alikua kurwa anza kissin mara pima oil mtt kalowa kbs asee tuliamsha pale pale sofani game moja amazing sn huku na kule dotto kaamka katukuta ktkt ya game na yy mzuka ukapanda anataka game asee nilitafuna wote toka pale nikawa baba wawili najilia wote!
Kama sio baharia uliandika kumfurahisha nani!??Daah hapana asee... mimi sio baharia.
Naheshimiana na wengi humu.
They will be amazed for these stories
Yeah, halafu huenda tulichafulia humu mjengoni, sio fair kuanikana. Mkuu ilà sijasoma yako hata moja
kuna yule jamaa alitafuna chizi akaweka ahadi ataleta muendelelezo!
bado tunamsubiria
Dume alitafunwa na mchizi?
Niliokotaga handbag flan ndogo ndogo hivi asubui nawahi zangu job nikasema nitaifungua nikifika job basi kutokana na kazi kuwa nyingi nikaisahau ofisini.Kesho yake nilichelewa ofisini basi kumaliza shughuli zangu nikaifungua,kufungua nakutana na hela kama laki 7 hivi na machenchi yake kupekua pekua nakutana na kimemo dizaini kimeandikwa mahitaji ya shule kama counter book,pedi nk.nikagundua huyu mwenye hii handbag ni mwanafunzi kupekua nakuta picha ya mama mtu mzima flan na baba mtuzima hivi then nikakuta na diary ndogo kuipitia nikakuta na namba za simu.Nikasema ngoja nipige niwarudishie tu vitu vya bahati nzuri sikua na njaa ya hela kabisa so kupiga sim akapokea mama nikamweleza nimeokota mkoba na una hela na vitu vyake naomba tuwasiliane uje uvichukue!Duuh yule mama alikia kwa furaha akanimbia mwanangu hiyo ilikua ada ya mdogo wako kadondosha (niligundua mama alikua mlokole na ile familia ktk maongezi)yule mama alikua mbali akanimbia naomba mwangu nikutumie namba umtumie tu Mercy so kweli akanitumia nikawasiliana na yule dogo nikamtumia na ka pocket money juu nikamwambia usome akashukuru sn nikagundua pia kameokoka.Ile hand bag aliniambia atakuja kuichukua likizo!Siku zikaenda na yule mama alikua akinisalimia mara kwa mara pamoja na mume wake walitokea kunikubali tu so mara likizo tym hii apa dogo akatumia simu ya mama ake akasema nakuja kukutembelea leo bro nikamwambia karibuni.Asee ile naenda kumpokea natizamana nae hivi nilipigwa na bumbuwazi sijapata ona!!!!***** alikuja na mwenzake zote pini sijawao ona watoto wazuri vile mapacha!Ule mshtuko waliusoma so wakanitania bro vp?nikawambia nyie ni malaika au naota?wakacheka sn kufika magetoni tukapiga tori mida kwenda wakasema bro wifi yuko wapi?nikawauliza nyie mmemwona ?nikawatania mimi nilikua nawasubiria nyie wake zangu na Bwana ameniletea!wakacheka sn huku na kule mwamba nikampigia mangi kaleta kilo za kitimoto za kutosha na ndizi!kuzama kwenye fridge hakuna soft drinks hata moja na wao pombe hawatumii kbs so nikawaambia hii st anna sio kli ina sukari jaribuni asee kujaribu ndio kama nilifungulia maongezi piga sana stori huku nakule tuko kwenye sofa na mimi kilaji kimepanda mmoja keshaa lala fofofo huyu mwingine ambae alikua kurwa anza kissin mara pima oil mtt kalowa kbs asee tuliamsha pale pale sofani game moja amazing sn huku na kule dotto kaamka katukuta ktkt ya game na yy mzuka ukapanda anataka game asee nilitafuna wote toka pale nikawa baba wawili najilia wote!
MSHIKADah ilikuwa 2013
Nilikuwa supervisor kiwanda flani hivi arusha. Kiwanda kina wadada kibao kutoka mikoa mbali mbali na mimi ndo nilikuwa na chagua kazi.
Tulianzisha kitengo kipya (product mpya) kwhy tukawa na uhitaji wa wafanyakazi wapya. Walikuja wadada 10 wageni kutoka kiwanda flan hivi kilichokuwa kimesimamisha uzalishaji.
Mzee baba mimi ndo nikapewa kazi ya kuongeza kitengo kipya banah. Sasa totoz hzo zilpokuja kuomba kazi nikaziambia ziache namba za simu baada ya kuzifanyia usaili. Walikuwa wanahitajika watu sita tu. Nilichofanya ni kuwatongoza wote maana walikuwa wakali kinyama.
Yaani huwez amini nilitafuna wote ndani ya wiki ile kama masihara tu. Walikuwa watamu balaa.
Kimbembe kilikuja kwny matokeo ya usaili maana nilichagua wale tu waliohitajika na kampuni. Wale waliokosa wa kaenda hadi kwa md kumlalamikia kuwa nimewatomba afu nimewanyima kazi. Na msj za ushahidi walikuwa nazo. Md alinitimua mchana kweupeee.
Tokea hapo msj naziogopa sana mazee.
Daah...Kama sio baharia uliandika kumfurahisha nani!??
Acha uoga ishi maisha yako
MSHIKA