Professor of jungle
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 411
- 773
Kuna manzi nishawah mla kwenye msingi wa nyumba kimasihara na bi mdashi mmoja nimekaa nae sebuleni kwake ananihadithia story za mabwana zake,nikaona analeta masihara dakika chache mbele nikapita nae Kama kipanga.
Hizo stori nitazileta, Anza na hii ya mabaharia wazembe.
Ilikuwa October 2016 tumeripoti kazini me wawili na ke wawili, tukawa tunaishi nyumba ya ofisi. Kila demu anajisifu na mabwana zao waliowaacha walipotoka, baharia nimetulia nawasoma tu.
Mazoea yakaanza taratibu na kazi za ofisi zinaendelea. Manzi mmoja alikuwa mkali hatari na mwingine wa kawaida,Basi Kila raia Hadi mabosi wakawa wanammendea Yule manzi namimi hapo namlia timing.
Mawasiliano na jamaa wake wa kitaa yalikuwa moto moto, jamaa mda wote msg na call kumjulia Hali na anachofanya akijua bado anamlinda.
Ilikuwa ijumaa mida ya saa kumi na moja tupo kitaa,Mara pa Yule manzi wa kawaida akatoa wazo twende bar maana mchana alizinguliwa na bosi kutokana na uzembe wa kazi ili kupunguza stress.
Kuingia bar Yule manzi mkali akaagiza safar na mwenzake Serengeti lite, baharia nikasema lete vant,Basi mdogo mdogo burudani inazama kichwani. Mida ikayoyoma kaa saa mbili Yule manzi mkali simu zikawa nyingi anapigiwa na baharia wake wa kitaa so akitoka nje ataongea hata saa Zima then anarudi.
Kufika ngoma nne,baharia vant imetitima kichwani, manzi nae simu haziishi nikamfuata na kumwambia vipi mbona hutulii, akaanza stor za pombe kwamba jamaa yangu msumbufu anapiga simu masaa yote,ana wivu, alishawahi kunipiga and he don't behave like gentleman. Nikambembeleza akaacha kulia akarudi kwenye gambe Kama kawa.
Mida ya saa 6 na ushee tukaanza sogea nyumba tunayoishi ya ofisi, Yule manzi wa kawaida kashalemewa na serengeti, na Yule mkali Safari zimemkolea kisela.
Kufika ofisini jamaa aliyebaki alikuwa ustadh, akafungua mlango akapotea kulala,Yule mwingine nae pombe zimemzidi akawahi kwenda kulala.
Yule manzi mkali alipotaka kuingia ndani nikamvuta nje,nikachukua funguo nikafunga kwa nje hapo ujasiri wa k vant upo wa kutosha sijali kitu. Tukawa tumekaa kwenye bench nje nikaanza kumshika shika, Mara demu anachomoa mjusi kafiri kwenye suruali ananyonya, taratibu nikamvua nguo nikaml\ palepale kwenye bench na kuanzia hapo nikaendelea kumla mpaka nikaondoka Hilo eneo la kazi.
Hizo stori nitazileta, Anza na hii ya mabaharia wazembe.
Ilikuwa October 2016 tumeripoti kazini me wawili na ke wawili, tukawa tunaishi nyumba ya ofisi. Kila demu anajisifu na mabwana zao waliowaacha walipotoka, baharia nimetulia nawasoma tu.
Mazoea yakaanza taratibu na kazi za ofisi zinaendelea. Manzi mmoja alikuwa mkali hatari na mwingine wa kawaida,Basi Kila raia Hadi mabosi wakawa wanammendea Yule manzi namimi hapo namlia timing.
Mawasiliano na jamaa wake wa kitaa yalikuwa moto moto, jamaa mda wote msg na call kumjulia Hali na anachofanya akijua bado anamlinda.
Ilikuwa ijumaa mida ya saa kumi na moja tupo kitaa,Mara pa Yule manzi wa kawaida akatoa wazo twende bar maana mchana alizinguliwa na bosi kutokana na uzembe wa kazi ili kupunguza stress.
Kuingia bar Yule manzi mkali akaagiza safar na mwenzake Serengeti lite, baharia nikasema lete vant,Basi mdogo mdogo burudani inazama kichwani. Mida ikayoyoma kaa saa mbili Yule manzi mkali simu zikawa nyingi anapigiwa na baharia wake wa kitaa so akitoka nje ataongea hata saa Zima then anarudi.
Kufika ngoma nne,baharia vant imetitima kichwani, manzi nae simu haziishi nikamfuata na kumwambia vipi mbona hutulii, akaanza stor za pombe kwamba jamaa yangu msumbufu anapiga simu masaa yote,ana wivu, alishawahi kunipiga and he don't behave like gentleman. Nikambembeleza akaacha kulia akarudi kwenye gambe Kama kawa.
Mida ya saa 6 na ushee tukaanza sogea nyumba tunayoishi ya ofisi, Yule manzi wa kawaida kashalemewa na serengeti, na Yule mkali Safari zimemkolea kisela.
Kufika ofisini jamaa aliyebaki alikuwa ustadh, akafungua mlango akapotea kulala,Yule mwingine nae pombe zimemzidi akawahi kwenda kulala.
Yule manzi mkali alipotaka kuingia ndani nikamvuta nje,nikachukua funguo nikafunga kwa nje hapo ujasiri wa k vant upo wa kutosha sijali kitu. Tukawa tumekaa kwenye bench nje nikaanza kumshika shika, Mara demu anachomoa mjusi kafiri kwenye suruali ananyonya, taratibu nikamvua nguo nikaml\ palepale kwenye bench na kuanzia hapo nikaendelea kumla mpaka nikaondoka Hilo eneo la kazi.