Nakuelewa sana mkuu..... yaani mm kutumia nguvu kutongoza demu haikuwa asili yangu kabisaaaaa..... wengi nimewala kiulaini kupitia mashara sihara tu na zile outings basiiiiii.... demu msumbufu mi nilikuwa nikimwambia kama hutaki kunipa poa potezea mazima.. mbona wengi unakuta baada ya muda wanarudi kunitafuta.....Mlioanza mkiwa wazee kuwala hawa viumbe hamuwezi elewa....
Nyie ndio mnaanza tongoza mwaka huu mnakuja pewa miaka miwili mbele afu mnajiona wajanja wakati wengine tushasahau kutongoza tunakula kwa timing za mazingira tu, Watu tumeanza tuna miaka 7,
Nikiwa na miaka 10 nilikua siruhusiwi kucheza nyumba zenye vitoto vya kike vya makamo yangu...
Najua na hiyo utasema chai
Kuna moja hivi nitawapa nikipata muda nilivomla mtoto mmoja mkali sana aliyekuwa anaenda report UD mwaka wa kwanza ambaye tulikutani kituo cha basi na alijifanya mjuaji lkn sikun kaja kunitafuta mwenyewe....