Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 1,878
- 2,000
5W +H mkuuKuna somo nilisomaga 4yrs back ilikua inadili na maswali ya WH questions jinsi ya kuyajibu na kuyauliza..Ukimasta hako kasomo unajiona ushakua detective kabisa
5W +H mkuuKuna somo nilisomaga 4yrs back ilikua inadili na maswali ya WH questions jinsi ya kuyajibu na kuyauliza..Ukimasta hako kasomo unajiona ushakua detective kabisa
Hongera sana mkuu natamani sana nami ningeipataNilifanya vyema Sana degree with hons
Please elaborate mate...5W +H mkuu
Vizuri kwa kutujuza kitu kipya mate, mimi niliacha michezo ya kupigana baada ya kuanza kusoma Topic ya coordinationClassical condition & unclassical condition ni pure psychology Kuna Skimmers na jaribio lake la panya alipomfungia kengele ndani ya Banda na switch panya wakafundishwa namna ya kibonyeza switch ya umeme na chakula kumwagika pale walipohisi njaa walikuwa wakijibonyezea switch yenye kengele mara kengele ikilia na chakula kilimwagika na wao kukimbilia kukila chakula but all in all 1st degree yangu ya psychology ilinifanya kuacha ukorofi mpaka ndg na jamaa walinishangaa maana nacheza na akili za watu siumizi kichwa kuwa mtata sijui majungu siwezi muda mwingi nawaza kuwa creative na innovative hongera kwao scholars wa hii fani
1.What happened?Please elaborate mate...
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us