Utakuwa na roho kama ya huyo jamaa aliekula pesa ya watu, huo ni wizi.Watu WENGI wakikosea jambo, au wakipata matokeo mabaya hulaumu watu.
Mfano "fulani alisababisha nsipate dili"
Kumbe haikua bahati yako tu.
Sasa nami nahimiza LOSERS waendelee kutafuta watu wa kulaumu!
TAFUTA MTU YOYOTE UMLAUMU...!
Sawa kabisa mkuu...2004 nikiwa form three nimehamia shule moja huko mkoa wa Mara nilikuwa nakaa dawati moja na mwana mmoja hivi, tulishibana sana.
Okay bro...Siku moja j3 ile naingia class nikakuta kamekaa kadada kamoja hivi, kilikuwa kizuri kias, sasa huyo mshikaji wangu na hako kadada mi niliwakuta wao walianza tangu form 1.
Do you believe in a second chance in relationships?Utakuwa na roho kama ya huyo jamaa aliekula pesa ya watu, huo ni wizi.
Mkuu, msamehe bure tu huyo jamaaUtakuwa na roho kama ya huyo jamaa aliekula pesa ya watu, huo ni wizi.
Anakuja kufanya niniMwaka 2010 niko mwaka wa kwanzaa chuoni, nliibiwa bum loooote
Jamaa mmoja akawa ananiliwaza liwaza ndio maisha ya chuo nivumiliee,
Kufatilia kumbe mwizi ni yeyeeee, daaaaaaah nilimbadilikia jamaa, maana benki walikua wanamtaka na chuo wanamtaka
Jamaa alimwaga chozi akilia huku akiomba msamaha na akiniahidi atanipa pesa zangu na fidia
Huruma ikanitawala nikamwambia arudishe changu yaishee
Akafanikiwa kurudisha japo kwa awamu
Ajabu sasaaaa toka hapo mpaka leoo jamaa ndio kawa rafiki yangu mkuu, yaani best friend, kwetu wanamjua na kwao wananijua...
Kituko cha pili baada ya kwanza kazi
Siku moja nikaenda ofisi za maji kigoma kulipia bilii, nikakutana na dada mmoja mtumishi wa hiyo ofisi, ni mdada wa kisasaa mzuri, anajua kuvaa,
Dadaa akanivagaa kuniita mie muhuni, moto nlomuwashia hapo hapo ofisini kwaoo alitia huruma,
Ajabu watumishi wenzie hakuna hata alioingilia kumtetea, mwisho wa siku akaniomba yaishe, na yakaisha hapo badooo
Kumcharua nikamwomba namba ya simu akanipa bhanaaa
Huwezi amini akawa wangu kinomaaaa nikimtaka muda wowoteeee anakujaaaa
Do you believe in a second chance in friendships or romance? Did it ever work out in your life?Anakuja kufanya nini
kula vituuuuuAnakuja kufanya nini
mhhhkula vituuuuu
Haaaaa Haaaaa 😂 jamanikula vituuuuu
Subiri Nimuite huyu memba ndo. Anaweza kusema zaidi maana haaa jamani ☺️, Lucas MobutuDo you believe in a second chance in friendships or romance? Did it ever work out in your life?
ndo ikawa hivyoooHaaaaa Haaaaa 😂 jamani
Embu njoo huku Lucas MobutuSawa. Wachache wakinielewa inatosha sana