Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,316
- Thread starter
- #41
Mkuu, I was under probation. But the guy was there for 3 years already. Jamaa alikuwa anaaminiwa sana huko headquarters kiasi kwamba chochote atakachosema kuhusu mimi hawezi kupingwa. Alishaanza kunitangaza kuwa mimi ninakiburi huko Dar kwa sababu ninapigania haki yanguSwali la kizushi:-
Ikiwa kulikuwa na mikataba, pamoja na makubaliano uliyotoka nayo DSM, sasa kwanini usingefanya mawasiliano na makao makuu iliyopo DSM kuwaambia hali halisi?