Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #21
Daaaaah huyo jamaa wako ni muuaji sana aisee. Yaaani boom lote alitembea nalo pasipo kukuachia hata kidogo ya kununulia matembeleMwaka 2010 niko mwaka wa kwanzaa chuoni, nliibiwa bum loooote
Jamaa mmoja akawa ananiliwaza liwaza ndo maisha ya chuo nivumiliee,
Kufatlia kumbe mwizi ni yeyeeee, daaaaaaah nilimbadilikia jamaa, maana benki walikua wanamtaka na chuo wanamtaka
Jamaa alimwaga chozi akilia huku akiomba msamaha na akiniahidi atanipa pesa zangu na fidia
Huruma ikantawala nikamwambia arudishe changu yaishee
Akafanikiwa kurudisha japo kwa awam
Ajabu sasaaaa toka hapo mpaka leoo jamaa ndo kawa rafiki yangu mkuu, yaaani best friend, kwetu wanamjua na kwao wananijua...