Ulishawahi kugombana na mfanyakazi mwenzio ofisi moja ?

Tangu siku nilipojua kimya ni jibu la mjinga niliacha kujipa stress na mambo nisioyajua vyanzo vyake hata yasio nipa faida kwa kweli nilikaa tu kimya nikimsalimia haijib salam yangu niliacha na kumsalimia na mm nikawa nafanya mambo yangu vile itakiwavyo ubaya ni tunakaa ofisi moja alikuja kunisemesha mwenyewe
well said madame S
 
Ofisini dawa ni kuwa kimya tu, unaongea kwa nadra sana, unawahi mapema na kuondoka kwenye mda unaotakiwa kuondoka. Hata mtu akikusemesha wewe majibu yawe mafupi tu, usishiriki kwenye vikoba na vikundi vya majungu wakati wa chai asubuhi.
imekaa kijanja hii
 
Back
Top Bottom