Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
Khaaaa๐๐Umenikumbusha elf 20 yangu na k vant ndogo....๐ญ๐ญ Nyau kabisaaa tena paka jeusi
Mbona cheap sana ni mtu wa aina gani huyo?
Khaaaa๐๐Umenikumbusha elf 20 yangu na k vant ndogo....๐ญ๐ญ Nyau kabisaaa tena paka jeusi
Karucee tapeli anaweza kukutapeli hata hankerchief ilimradi tu ni tapelikhaaaa๐๐
mbona cheap sana ni mtu wa aina gani huyo?
๐๐๐Nilijua mi Njia Kuu, kumbe mimi ndo nilikua mchepuko.
Ilikuwaje?Umenikumbusha elf 20 yangu na k vant ndogo....๐ญ๐ญ Nyau kabisaaa tena paka jeusi
๐๐๐Ameniambia yy ni mwanafunziawa chuo anasomea DIPLOMASIA chuo chao kipo uhamiaji ๐คฃ๐คฃ sa sjui kweLi
Halafu usikute ulimuachia Pichu..๐Alitaka kunitapeli calculator yangu tulivoachana ,ila nilimpokonya nikaichukua.
Siamini huyu kama ni wewe! Anyway pole, utapeli ni Elimu, wengine wanazaliwa nayo, akishindwa kukutapeli wewe ataenda hata kwa Mama yake ili mradi tu iwe hivyo.Karucee tapeli anaweza kukutapeli hata hankerchief ilimradi tu ni tapeli
Savannah 2 = nyonyo 2alikunywa savanah zangu mbili nikaishia kushika nyonyo tena kwa kulazimisha mbwa escoco yule na meno yake kama ngiri
Huyo alifanyeje nipe story.Karucee tapeli anaweza kukutapeli hata hankerchief ilimradi tu ni tapeli
Hii comment imeniletea shida kwa mtu nilie mtag, kuna member hapa kaenda kumwambia kwamba mimi ushimeni nimeandika kwamba alinitapeli.Sakayo ebu ukuje mwali, maana umetoweka ghafla na hata sikuoni ukilike kama zamani...๐๐
Ulete tujifunze mkuuNitakuwa wa mwisho kutoa ushuhuda wangu maana ni mzito sana
Lejendari kabisa ulipigwa?? ๐คฃ ๐คฃUmenikumbusha elf 20 yangu na k vant ndogo....๐ญ๐ญ Nyau kabisaaa tena paka jeusi