Ilshawahi kumkuta jamaa yangu, amechati na mume wa mchepuko wake mpaka wakapanga na sehemu ya kukutana. Jamaa likamwambia "kule ambako huwa tunakutana mume wangu amepashtukia hivyo tubadilishe mahali pa kukutana. Kuna wambea wamempalekea habari"...Jamaa alipofika maeneo akagundua ni jamaa linamsubiri anasema alikimbia hajawahi kimbia vile tangu azaliwe...Anasema anashukuru jamaa hakupiga kelele za mwizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.