Ulishawahi ingia lodge ukakutana na mke wa mtu naye katoka kuliwa?

QUOTE="cognition, post: 34900813, member: 341167"]
Kuna Mother alikuwa mke wa mtu, sasa mchepuko ukamuelekeza Guest House, Kufika pale akakuta kuna room imeshabukiwa ila haijalipiwa,Yule maza alikaa kama masaa manne yule mchepuko hakutokea, ile kupigiwa na yule jamaa wa mapokezi akadai amepata udhuru hawezi kuja. Msala ukawa kwa yule maza maana alishadanganya kwa Mme na hawezi rudi siku hiyo, kingine room anailipia nani? Bei ya room ilikuwa 35k

Mimi,nilikuwa nipo na jamaa zangu tumeenda kwenye huo mkoa kwa ajiri ya mafumzo/Semina so kuna mwana akaona goli hili akamgongea mlango yule maza kama kwenda kumpa ushauri, aisee masaa yakakata mwana yuko ndani ya room tukaogopa, ile kumgongea Mwana anatoka yuko kifua wazi,kumbe anajipoza kwa yuke Mama na wameshaku-baliana jinsi ya kulipia ile room. Inabidi uwe na roho ngumu kwenye inshu kama hii maana unaweza kutolewa malinda hivi hivi.
[/QUOTE]
Acha umbea mbona uliingiw wewe na jamaa yako tu.
 
I'd mpya unaandika ujinga mtupu hapa mambo ya katikati ya mapaja ya wake za watu yanakuathiri nini wewe?.

Kila siku hapa JF anajiunga kichaa mmoja
Imenitokea mara tatu hivi kukutana na wake za watu ana kwa kwa ana katika lodge mmojawapo naheshimiana sana na familia yake!Hii kitu ilinifikirisha sana hasa ukizingatia wawili kati yao ni wacha Mungu wazuri sana!
Kikubwa usitambe kwa watu kwamba mkeo mwaminifu utakuja kuumbuka!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imenitokea mara tatu hivi kukutana na wake za watu ana kwa kwa ana katika lodge mmojawapo naheshimiana sana na familia yake!Hii kitu ilinifikirisha sana hasa ukizingatia wawili kati yao ni wacha Mungu wazuri sana!
Kikubwa usitambe kwa watu kwamba mkeo mwaminifu utakuja kuumbuka!
Huyu ndio kaahid kukupa kinyeo?
 
Mimi,nilikuwa nipo na jamaa zangu tumeenda kwenye huo mkoa kwa ajiri ya mafumzo/Semina so kuna mwana akaona goli hili akamgongea mlango yule maza kama kwenda kumpa ushauri, aisee masaa yakakata mwana yuko ndani ya room tukaogopa, ile kumgongea Mwana anatoka yuko kifua wazi,kumbe anajipoza kwa yuke Mama na wameshaku-baliana jinsi ya kulipia ile room. Inabidi uwe na roho ngumu kwenye inshu kama hii maana unaweza kutolewa malinda hivi hivi.
ni hatari mwambie asirudie bora angemuhamisha huyo mother akamshughulikia ktk chumba chenu atajaliwa marinda kweli
 
Kuna Mother alikuwa mke wa mtu, sasa mchepuko ukamuelekeza Guest House, Kufika pale akakuta kuna room imeshabukiwa ila haijalipiwa,Yule maza alikaa kama masaa manne yule mchepuko hakutokea, ile kupigiwa na yule jamaa wa mapokezi akadai amepata udhuru hawezi kuja. Msala ukawa kwa yule maza maana alishadanganya kwa Mme na hawezi rudi siku hiyo, kingine room anailipia nani? Bei ya room ilikuwa 35k

Mimi,nilikuwa nipo na jamaa zangu tumeenda kwenye huo mkoa kwa ajiri ya mafumzo/Semina so kuna mwana akaona goli hili akamgongea mlango yule maza kama kwenda kumpa ushauri, aisee masaa yakakata mwana yuko ndani ya room tukaogopa, ile kumgongea Mwana anatoka yuko kifua wazi,kumbe anajipoza kwa yuke Mama na wameshaku-baliana jinsi ya kulipia ile room. Inabidi uwe na roho ngumu kwenye inshu kama hii maana unaweza kutolewa malinda hivi hivi.
Duu ukitolewa kinyeo unasema ni shetani kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom