QUOTE="cognition, post: 34900813, member: 341167"]
Kuna Mother alikuwa mke wa mtu, sasa mchepuko ukamuelekeza Guest House, Kufika pale akakuta kuna room imeshabukiwa ila haijalipiwa,Yule maza alikaa kama masaa manne yule mchepuko hakutokea, ile kupigiwa na yule jamaa wa mapokezi akadai amepata udhuru hawezi kuja. Msala ukawa kwa yule maza maana alishadanganya kwa Mme na hawezi rudi siku hiyo, kingine room anailipia nani? Bei ya room ilikuwa 35k
Mimi,nilikuwa nipo na jamaa zangu tumeenda kwenye huo mkoa kwa ajiri ya mafumzo/Semina so kuna mwana akaona goli hili akamgongea mlango yule maza kama kwenda kumpa ushauri, aisee masaa yakakata mwana yuko ndani ya room tukaogopa, ile kumgongea Mwana anatoka yuko kifua wazi,kumbe anajipoza kwa yuke Mama na wameshaku-baliana jinsi ya kulipia ile room. Inabidi uwe na roho ngumu kwenye inshu kama hii maana unaweza kutolewa malinda hivi hivi.
[/QUOTE]
Acha umbea mbona uliingiw wewe na jamaa yako tu.
Kuna Mother alikuwa mke wa mtu, sasa mchepuko ukamuelekeza Guest House, Kufika pale akakuta kuna room imeshabukiwa ila haijalipiwa,Yule maza alikaa kama masaa manne yule mchepuko hakutokea, ile kupigiwa na yule jamaa wa mapokezi akadai amepata udhuru hawezi kuja. Msala ukawa kwa yule maza maana alishadanganya kwa Mme na hawezi rudi siku hiyo, kingine room anailipia nani? Bei ya room ilikuwa 35k
Mimi,nilikuwa nipo na jamaa zangu tumeenda kwenye huo mkoa kwa ajiri ya mafumzo/Semina so kuna mwana akaona goli hili akamgongea mlango yule maza kama kwenda kumpa ushauri, aisee masaa yakakata mwana yuko ndani ya room tukaogopa, ile kumgongea Mwana anatoka yuko kifua wazi,kumbe anajipoza kwa yuke Mama na wameshaku-baliana jinsi ya kulipia ile room. Inabidi uwe na roho ngumu kwenye inshu kama hii maana unaweza kutolewa malinda hivi hivi.
[/QUOTE]
Acha umbea mbona uliingiw wewe na jamaa yako tu.