Star onair
Senior Member
- May 31, 2020
- 144
- 144
Ulishawahi fanya biashara ya kuexport bidhaa nje ya Tz.
Njooni hapa mtoe uzoefu vijana wajifunze kutoka kwenu.
Njooni hapa mtoe uzoefu vijana wajifunze kutoka kwenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo wanao wa chuo wameshakupa michongo,,!?Ulishawahi fanya biashara ya kuexport bidhaa nje ya Tz.
Njooni hapa mtoe uzoefu vijana wajifunze kutoka kwenu.
Sure mkuu usemachoYaani hapa ndipo waarabu na wahindi wanatuchapa gap.
Wao hata mtoto wa miaka 16 ashafundishwa kila kitu kuanzia lori la mjomba la kusafirisha mzigo kwenda bandarini, connections za bandarini, documents, n.k kwao inakuwa kama kucheza gemu
Kusafirisha bidhaa kwenda nje ya nchi siyo kazi sana hasa kama bidhaa hizo ni raw materials.Ulishawahi fanya biashara ya kuexport bidhaa nje ya Tz.
Njooni hapa mtoe uzoefu vijana wajifunze kutoka kwenu.
Nop huwa cdeal na vishkaji vya chuo tantalila nyingi wale. Ila right now shughuli za Shamba zimenibana. Ila kunajamaa wanahitaji nyama ya kondoo na mafuta oman vp mkuu unauzoefu na hii tupe maujanja kidogoDogo wanao wa chuo wameshakupa michongo,,!?
here we go...Inategemea na bidhaa na nchi zinapokwenda.
Mkuu vp kuhusu malipo nan anatakiwa kuanza kulipa.Kusafirisha bidhaa kwenda nje ya nchi siyo kazi sana hasa kama bidhaa hizo ni raw materials.
Muhimu ni wewe upate wateja wa uhakika huko nje ya nchi.
Mteja analipa kwanza advance kabla hujaship mzigo. Baadaye anamalizia.Mkuu vp kuhusu malipo nan anatakiwa kuanza kulipa.
I had a deal with some Eastern Africans fellows na hawana kampuni wanahitaji mazao kutoka kwangu vp unauzoefu ? Toa neno japo moja
Noted. BrMteja analipa kwanza advance kabla hujaship mzigo. Baadaye anamalizia.
Till now connection ninazo kenya,uganda na arabuni.Kuexport kwenda wapi?mana mazingira yanatofautiana na nchi unayotaka kuexport.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali imeweka 80% levy kwenye kuexport ngozi.here we go...
Mfano Biashara ya kuexport nyama ya kondoo na ngozi za wanyama wengine.
Ahsante Sana mkuu nazidi kupata njia....Serikali imeweka 80% levy kwenye kuexport ngozi.
Isitoshi nchi za EU na USA hawataki hides and skins.
Wanataka Wet Blue.
Na kila nchi ina sheria zake kwenye nyama ya kondoo. Strict measures za EU, US na Japan huwezi linganisha na Middle East.
Duh ujipange hiyo biashara sio ya kitoto. Hao kondoo inabidi wawe wamehasiwa ili kuondoa "male odor"/halufu ya kiume/pumbu/korodani ndio wakubaliwe.Nop huwa cdeal na vishkaji vya chuo tantalila nyingi wale.
Ila right now shughuli za Shamba zimenibana. Ila kunajamaa wanahitaji nyama ya kondoo na mafuta oman vp mkuu unauzoefu na hii tupe maujanja kidogo
Ahsante kwa ushauri nduguDuh ujipange hiyo biashara sio ya kitoto. Hao kondoo inabidi wawe wamehasiwa ili kuondoa "male odor"/halufu ya kiume/pumbu/korodani ndio wakubaliwe.
Umri na uzito wa kondoo lazima uzingatiwe, vipimo vya magonjwa kabla na baada ya kuchinjwa n.k
Pia watafute watu wa bodi ya nyama. Hao jamaa watakupa utaratibu wote hadi support.Ahsante kwa ushauri ndugu