GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,073
- 107,565
"UONGOZI SIO MADEGREE" MAGUFULI
"Uongozi sio Madgree, ni kipaji unachopewa na Mungu, Mbunge wenu Lusinde ni Kijana mzuri anafanya kazi nzuri, ndio maana ni Mjumbe wa NEC,niliahidi Barabara ya lami KM 16 kutoka Mlowa hadi Mvumi, RC njoo nikuagize tumalizane hapahapa,zege halilali"-JPM akiwa Mlowa, Dodoma
"Zege halilali, RC Dodoma mwagize Meneja TANROADS Mkoa wa Dodoma huu mwezi wa tisa ndani ya miezi miwili Barabara ya Mlowa kwenda Mvumi itangazwe tenda kwa ajili ya kujengwa kwa kiwango cha lami ili wagonjwa wanaougua hapa wawe wanapelekwa Mvumi”-JPM
"Nileteeni Wabunge wa CCM ninao uwezo wa kuwatumbua mkiniletea mwingine sina uwezo wa kumtumbua, pesa zitaliwa na sina cha kumfanya, Mbunge wenu Lusinde ni mchapakazi, narudia Ubunge sio Madegree ni uwezo wa kujenga hoja"-JPM
“Nawapenda sana watani zangu Wagogo, naamini kabisa mtanipa kura, nimekuja kujifunza na Kigogo, tena inawezekana Lusinde akanitafutia Kasichana kazuri ka Kigogo au mnasemaje Wagogo?, si mtanipa?" - JPM
"Hata kuhamia Dodoma haikuwa rahisi tumekaa zaidi ya miaka 47 hilo halijawezekana, tunajenga uwanja wa Ndege mkubwa Msalato, Ndege zote za Kimataifa zitakuwa zinatua hapa, tumejenga Reli, Soko na Stendi ya kisasa, tunataka kutimiza ndoto ya Baba wa Taifa"-JPM
ccmamaniyatanzania
Sasa GENTAMYCINE nadhani taratibu ninaanza kuyapata 'Majibu' ya kwanini 'Mjeruhiwa' anakubalika na 'Mtawala' haaminiki tena na Wapiga Kura.
"Uongozi sio Madgree, ni kipaji unachopewa na Mungu, Mbunge wenu Lusinde ni Kijana mzuri anafanya kazi nzuri, ndio maana ni Mjumbe wa NEC,niliahidi Barabara ya lami KM 16 kutoka Mlowa hadi Mvumi, RC njoo nikuagize tumalizane hapahapa,zege halilali"-JPM akiwa Mlowa, Dodoma
"Zege halilali, RC Dodoma mwagize Meneja TANROADS Mkoa wa Dodoma huu mwezi wa tisa ndani ya miezi miwili Barabara ya Mlowa kwenda Mvumi itangazwe tenda kwa ajili ya kujengwa kwa kiwango cha lami ili wagonjwa wanaougua hapa wawe wanapelekwa Mvumi”-JPM
"Nileteeni Wabunge wa CCM ninao uwezo wa kuwatumbua mkiniletea mwingine sina uwezo wa kumtumbua, pesa zitaliwa na sina cha kumfanya, Mbunge wenu Lusinde ni mchapakazi, narudia Ubunge sio Madegree ni uwezo wa kujenga hoja"-JPM
“Nawapenda sana watani zangu Wagogo, naamini kabisa mtanipa kura, nimekuja kujifunza na Kigogo, tena inawezekana Lusinde akanitafutia Kasichana kazuri ka Kigogo au mnasemaje Wagogo?, si mtanipa?" - JPM
"Hata kuhamia Dodoma haikuwa rahisi tumekaa zaidi ya miaka 47 hilo halijawezekana, tunajenga uwanja wa Ndege mkubwa Msalato, Ndege zote za Kimataifa zitakuwa zinatua hapa, tumejenga Reli, Soko na Stendi ya kisasa, tunataka kutimiza ndoto ya Baba wa Taifa"-JPM
ccmamaniyatanzania
Sasa GENTAMYCINE nadhani taratibu ninaanza kuyapata 'Majibu' ya kwanini 'Mjeruhiwa' anakubalika na 'Mtawala' haaminiki tena na Wapiga Kura.