tuambie na wewe ulipokuwa mtoto ulifanya nini cha ajabu?, but sharti kiwe cha kuchekesha!!
E Excel JF-Expert Member Jul 8, 2011 18,933 2,000 Dec 12, 2013 #1 tuambie na wewe ulipokuwa mtoto ulifanya nini cha ajabu?, but sharti kiwe cha kuchekesha!!
J Jak de holysinner New Member Jan 26, 2014 4 0 Jan 27, 2014 #3 [MENTION][/MENTION] nilikula mayai ya jirani
Fletcher Member Dec 27, 2013 92 75 Feb 16, 2014 #4 Nilikua nimefungwa mgongoni na dada na kuelekea sokoni......kufika gengeni! Dada akaanza kuchagua nyanya. Sasa pale gengeni walikua wamening'iniza miwa mimi nikiwa mgongoni nikaanza kurefusha ulimi kutafuna miwa ile bila dada kujua......ikabidi ainunue
Nilikua nimefungwa mgongoni na dada na kuelekea sokoni......kufika gengeni! Dada akaanza kuchagua nyanya. Sasa pale gengeni walikua wamening'iniza miwa mimi nikiwa mgongoni nikaanza kurefusha ulimi kutafuna miwa ile bila dada kujua......ikabidi ainunue