Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
Drug lordNilitamani kuwa kama PABLO ESCOBAR.
Mbona wacheka mcheps
Ili umringie nani sasa??Mimi wala sitaman kuwa mkubwa sipendi uzeee jaman uwii nilitaman niwe kisichana tu miaka yoteee ili niwe naringa
Nilitamani kua mkubwa ili niwe rubani nirushe yale ma boeing 747,777, etc.Ulipokuwa mdogo ulitaman Kuwa mkubwa, niambie ni nn kilikuvutia mpka utaman ukubwa je leo hii hujuti kuwa mkubwa!?? I tiririka hapa tuone ni wangani na akina nani walikuwa wanamawazo yanayofanana
Ok now hao chura unawapata bila shida au majanga tukuna mambo kama mawili Hivi yaliyokuwa yananifnya nitamani kuwa mkubwa
(1) nilikuwa nikiona wanawake wenye chura nasema wakubwa wanafaidi ..
kauli hii ilikuwa inanipa tamaa ykupnda kuwa mkubwa
(2) nilikuwa natamani niwe mkubwa ili kurejesha vipigo nilivyokuwa na vipata kwa watu walionizidi umri
HahahahahNilikua napenda sana kulala sasa tatizo kuamka SAA kumi na mbili eti nawahi shule hakuna kitu nilikua natamani kama na Mimi niwe mkubwa niwe nalala mpaka muda nitakaojisikia ...nilikua nawaonea wivu sana walimu eti anakuja shule SAA mbili