TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Tanzania ikifanikiwa mnasema Watanzania wamefanikiwa...Tanzania ikicheleweshwa mahali mnasema Rais Magufuli hajafanikiwa. !!! What is wrong with you people...Magufuli atamaliza muda wake na hizo hela hata Mia hatolipwa.
Atakuwa kama mstaafu wa afrika mashariki. Ntalipwa mwaka huu, ntalipwa mwaka ujao.