Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,883
- 33,400
Uadui wao ulikuwa ni wa nini hasa?Chief Hangaya sio adui wa Mange.
Adui wa Mange walikuwa
-Magufuli
-Makonda
-Na yule Sheikh
Uadui wao ulikuwa ni wa nini hasa?Chief Hangaya sio adui wa Mange.
Adui wa Mange walikuwa
-Magufuli
-Makonda
-Na yule Sheikh
Mange Kimambi ni mtanzania anayeishi Marekani.
Alijizolewa umaarafu kwa kupinga wazi wazi sera za Hayati JPM. Alishangalia kifo cha JPM na kuweka mitandaoni.
Bila kujadili kama alikua sahihi kumpinga JPM kulikua na ulazima kwa wanausalama kumruhusu kupiga picha na Raisi Samia.
Kulikua na ulazima taasisi ya uraisi kujishugulisha na Mange Kimambi?
Kwa upande wangu haikua sahihi na one of the security protocols blunder.
Kidogo kidogo tunaiona chain inayotupa mashaka juu ya kifo cha mchapa kazi wetu
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Lazima wampiganie hawez kuponaMange anataka kuja Bongo ndiyo sababu ya kujikomba huku ili kujihakikishia hiyo December kama atakuja kweli pale Airport hawatamdaka.
Mna mchecheto wa bure.Mange Kimambi ni mtanzania anayeishi Marekani.
Alijizolewa umaarafu kwa kupinga wazi wazi sera za Hayati JPM. Alishangalia kifo cha JPM na kuweka mitandaoni.
Bila kujadili kama alikua sahihi kumpinga JPM kulikua na ulazima kwa wanausalama kumruhusu kupiga picha na Raisi Samia.
Kulikua na ulazima taasisi ya uraisi kujishugulisha na Mange Kimambi?
Kwa upande wangu haikua sahihi na one of the security protocols blunder.
Mna mchecheto wa bure.
Mwalimu Nyerere alipiga picha na adui yake mkubwa, Idi Amin, tena huko huko New York.
Amin alipata wapi clearance?
View attachment 1946286
Security protocols?!!! African presidents haswa wasio eleweka wana msimamo gani wenye mawazo ya bendera fuata upepo wakiwa nje ya Africa huwa ni kama Watu mashuhuri wengine tu, hawana thamani ya u Rais.Mange Kimambi ni mtanzania anayeishi Marekani.
Alijizolewa umaarafu kwa kupinga wazi wazi sera za Hayati JPM. Alishangalia kifo cha JPM na kuweka mitandaoni.
Bila kujadili kama alikua sahihi kumpinga JPM kulikua na ulazima kwa wanausalama kumruhusu kupiga picha na Raisi Samia.
Kulikua na ulazima taasisi ya uraisi kujishugulisha na Mange Kimambi?
Kwa upande wangu haikua sahihi na one of the security protocols blunder.
Ndipo hoja inapokosa mashiko.Nani kakuambia Raisi anahitaji clearance kupiga picha na Raisi mwingine?
Timu ya Kampeni ya Mama inaandaa matarumbeta Mange ni mmoja waoMange Kimambi ni mtanzania anayeishi Marekani.
Alijizolewa umaarafu kwa kupinga wazi wazi sera za Hayati JPM. Alishangalia kifo cha JPM na kuweka mitandaoni.
Bila kujadili kama alikua sahihi kumpinga JPM kulikua na ulazima kwa wanausalama kumruhusu kupiga picha na Raisi Samia.
Kulikua na ulazima taasisi ya uraisi kujishugulisha na Mange Kimambi?
Kwa upande wangu haikua sahihi na one of the security protocols blunder.
Sio kama ni uhalisiaJapo kule ni Marekani, lakini kupiga picha na Rais inazua maswali sana...ni kama kuna movie iliandaliwa..
Mange ndiye mwanamke Mtanzania wa hovyo kutokeaJapo kule ni Marekani, lakini kupiga picha na Rais inazua maswali sana...ni kama kuna movie iliandaliwa..