Ulinzi wa Rais Samia alipotua Dar leo

Hapana. Kuna mmoja nimeweka screenshots mbili.

Lakini kuna mwingine tofauti na huyo, nimeiweka screeshot yake pia.

Na kuna ingine ya mwingine pia.
Unawatafuta kwa tochi namna hiyo.. Enzi hizo walikua wengi kama gwaride, juu helcopta, chini signal jammer na rundo la vijana wa kisukuma kutisha tisha watu na kaunda suti zao.
 
Gharama zote na matumizi ya ndege kubwa.Angekuwa Magufuli angetumia usafiri wa barabara na angesimama baadhi ya maeneo kukagua miradi ya maendeleo na kuongea na wananchi.Tutamkumbuka sana JPM.Aendelee kupumzika kwa amani
Ile misafara ya gari 70 na ushehe na lile rundo la watu unawezakuta gharama zinarudi mule mule...
Kusimama kukagua miradi au kuwaimbia nyimbo za nyie wanyonge ili muendelee kushikiwa akili huku wengine wanapiga?
 
Unawatafuta kwa tochi namna hiyo.. Enzi hizo walikua wengi kama gwaride, juu helcopta, chini signal jammer na rundo la vijana wa kisukuma kutisha tisha watu na kaunda suti zao.
Huyu mama hata mwezi hajamaliza akiwa Rais!

Hajafanya ziara nyingi nchini akiwa Rais.

Kuna sehemu atatembelea na ulinzi wake utakuwa vilevile kama wa Magufuli ulivyokuwa, kuzingatia na sehemu atayokuwepo.

Huwezi kulinganisha ulinzi wake akiwa anatua uwanja wa ndege [sehemu ambayo tayari huwa ina ulinzi wa kutosha] na ulinzi wa akiwa anaenda kukagua ujenzi wa daraja au barabara huko Dumila au Manyoni ambapo labda atakuwa kwenye sehemu ya uwazi mkubwa katikati ya nowhere.

Nyie nyumbu walau mtumiage basi hata hizo akili chache mlonazo....
 
Huyu mama hata mwezi hajamaliza akiwa Rais!

Hajafanya ziara nyingi nchini akiwa Rais.

Kuna sehemu atatembelea na ulinzi wake utakuwa vilevile kama wa Magufuli ulivyokuwa, kuzingatia na sehemu atayokuwepo.

Huwezi kulinganisha ulinzi wake akiwa anatua uwanja wa ndege [sehemu ambayo tayari huwa ina ulinzi wa kutosha] na ulinzi wa akiwa anaenda kukagua ujenzi wa daraja au barabara huko Dumila au Manyoni ambapo labda atakuwa kwenye sehemu ya uwazi mkubwa katikati ya nowhere.

Nyie nyumbu walau mtumiage basi hata hizo akili chache mlonazo....

Upo Mwangu, long time!
 
Mengi yalizungumzwa kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli. Wengi wakakosoa kwamba analindwa na maaskari wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi huku wameshikilia mabunduki makubwa.

Ni viongozi wengi tu duniani hulindwa hivyo. Hata Rais wa Marekani hulindwa na wanausalama wenye mabunduki makubwa na wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi.

Hao huitwa Counter Assault Team. Hao ndo wapiganaji ikitokea Rais anashambuliwa kwa silaha. Wale wanaovaa suti kazi yao si kupigana na adui. Kazi yao ni kuhakikisha rais yuko salama kwa kumkinga [taking the bullet for the president] au kumuondosha kwenye eneo lenye hatari.

Leo Rais Samia katua kwenye uwanja wa ndege Dar.

Chini naweka video. Lakini kabla yake, naweka screenshots za video zinazoonyesha hao watu wa counter assault walikuwepo na mabunduki yao.

Kuna watu walishaanza kusema eti Rais Samia hana walinzi kama hao kama ilivyokuwa kwa Magufuli.

Pia, Rais huwa hajipangii ulinzi wale mwenyewe. Ulinzi wake hupangwa na wataalamu kulingana na vigezo vingi ikiwemo eneo alipo, hali ya usalama wa eneo kwa ujumla, na mambo mengineyo.

Ona huyu na huo mbunduki wake:
View attachment 1742313

View attachment 1742314

Huyu pia ni mwingine akiwa pembezoni kidogo.
View attachment 1742316

Video hii hapa;

Helcopter 2 ziko wapi?
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom