Platnam
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 767
- 1,211
Unawatafuta kwa tochi namna hiyo.. Enzi hizo walikua wengi kama gwaride, juu helcopta, chini signal jammer na rundo la vijana wa kisukuma kutisha tisha watu na kaunda suti zao.Hapana. Kuna mmoja nimeweka screenshots mbili.
Lakini kuna mwingine tofauti na huyo, nimeiweka screeshot yake pia.
Na kuna ingine ya mwingine pia.