Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,083
- 13,299
Eti wale jamaa wana familia kweli? Wanakaa wapi,wanapumzika saa ngapikikosi cha ulinzi cha Rais hakina kazi nyingine zaidi ya ulinzi wa Rais popote pale na kwa namna yoyote ile
Eti wale jamaa wana familia kweli? Wanakaa wapi,wanapumzika saa ngapikikosi cha ulinzi cha Rais hakina kazi nyingine zaidi ya ulinzi wa Rais popote pale na kwa namna yoyote ile
Hivi wewe jamaa ni msemaji wa serikali au vipi maana kila hoja inayohusu serikali wewe ndo mkanushaji..achana na mifano ya urusi, china jibu hoja ya msingi kwa nini ulinzi unakua too muchUnaongea/umeandika pumba!
Kwa hiyo ulinzi mkubwa wa Rais wa Marekani, China, Urusi nikwa sababu wanachukiwa na wananchi wake?
Kwa hiyo ulinzi mkubwa wa Papa ni kwa sababu anachukiwa na waumini wake!
Ulichokiandika kinachagizwa na fikra maandazi!
Naenda kukuorodhesha mjina wako katika watu wanaoudhi sana jamiiforums wewe ni nux humu jfkama ulivyo wewe kila kitu ccm
Mi nimekueleza uhalisia mkuu, unapo sema nijaribu nione... Nikijaribu nitakacho ona ni kitu kimoja tu a dead top official and police all over looking for a unknown perpetrator.Ataendelea kulindwa tu kwa mujibu wa sheria na usifikiri ulinzi ni vile unavyoviona kwa macho ..jaribu one kitakachokutokea.
na iwe kama unavyotakaNajiuliza kwa nini post hii haiungwa juu kwenye thread
Hahaha hahaha mkuu bhanaMi nimekueleza uhalisia mkuu, unapo sema nijaribu nione... Nikijaribu nitakacho ona ni kitu kimoja tu a dead top official and police all over looking for a unknown perpetrator.
Muulize CAG....Faida anayoingizia Taifa ni sawa na Gharama ya Ulinzi wake?
Hao wote ni makomandoo kutoka kwa dikteta kagame kumlinda myarwanda mwenzieNdio madhara ya kuchukiwa na wananchi wako...unakua hujiamini na muoga muoga!!!
Kwa mambo anayoyafanya ni vigumu kutokuwa na matishio makubwa
Ni kweli, kubana njia za rizki za watu sio kitu kidogo...Ulinzi wa namna ile unatupatia ujumbe fulani nyuma ya pazia
Manamlinda asije akakurupuka, si yeye alisema kuwa ni kichaaNi kweli, kubana njia za rizki za watu sio kitu kidogo...