Sawa....nami pia siyo kachero duni..Mimi ni senior citizen...Hilo la wewe mwenzangu la kuganga njaa Mimi huko siko...Mimi ni raia mwema tu..ninayeheshimu mamlaka na raia wenzangu wote ukiwemo wewe bila shakaUsipapatike ewe kachero duni!
Mimi sio mmoja wa hao uliowataja!
Mimi ni mkulima tu wa mbogamboga na mganga njaa hapa mjini!