Ulinzi wa ajabu Central Police kwa ajili ya Mbowe; asafirishwa kwa ndege ya JWTZ kwenda Arusha!


Yaani JK wako ameshindwa kabisa kuwakabaili CDM kwa hoja -- sasa anatumia vyombo vya dola katika kumsaidia! Huko ni kuishiwa kisiasa --KAPUT KABISA! Na hii ni kawaida kwa viongozi wa Afrika wanaoshindwa kuwaendeleza wananchi wao na badala yake kukumbatia mafisadi!

Ni aibu kwa JK kuishiwa hoja! AIBU KUBWA SANAAAAAAA!!!!!!
 
Acheni fujo,hazitawafikisha popote zaidi ya kuwaudhi watanzania wengine wanaopenda haki,
Kama kukamatwa kwake ni kinyume cha sheria,hiyo itajulikana mahakamani,
Sidhani kama watu wanaweza kuvunja kituo cha polisi ili kumtoa Mbowe,mtapoteza hata kuungwa mkono na mashirika na taasisi za haki za binadamu.

njaa kal acha kelele
 
Kuna wachangiaji humu JF sijui wanatumia makalio kufikirii, kazi kutetea upuuzi wa serikali ya CCM. Hawaoni kitu gani kitatoa mda si mrefu kama serikali isipoacha kubaka demokrasia.
 
jana tulitahadharisha juu ya ile Press release. Haikuwa na kitu na haikujibu hoja za maana. Haikuzungumzia kama Mbowe ametoa taarifa mahakamani na pia mdhamini wake amefika. Ukweli uandishi wake uliwashtua wengi ambao wanasoma between lines. Lakini on other hand huwenda ni mtego wa CDM na serikali imeuvaa.
Lakini katika hali yoyote ni vyema kuheshimu mahakama zetu. Ni mahakama hizi ndio CCM na CDM hukata rufaa kupinga maamuzi ya chaguzi. Kwahiyo walau bado zinaaminika. Hapa polisi hawastahili kulaumiwa wao ni watekelezaji tu wa amri ya mahakama. cDM could have done better to avoid this.
haki kwa cdm haipo haujui jk ni mtu wa visasi!
 
Mkuu unatoa rai halafu umejificha, kwa nini usianze wewe kama mfano ingia barabarani utakuwa shujaa wetu

muda ukifika barabara zitatumika. Kwa sasa tuna tacticts za kutosha,hatutapambana na mapolisi hawa wa form four failed. Hatuongei na mbwa tutaongea na kumkimbiza puta mwenye mbwa! Wapumbafu sana ,kazi yao kuwatumikia hawa mashetani weusi!
 
Ndugu yangu kuwa kiongozi wa upinzani kuna maana ya kukaidi amri ya mahakama? Fikira yako kuwa kuweko kwa taifa kutategemea viongozi wa siasa peke yake bila ya sheria? unafikiri Mtikila, Lipumba, Mbatia, Mrema na wote wakubwa wa upinzani wafanye wanavyotaka kuvunja sheria hilo litakuwa Taifa la namna gani? After all ni wewe tu unayelalama lakini huu ni mkakati maalum wa CHADEMA kununua umaarufu hivyo hao viongozi wanajaribu sana kutiwa ndani na kwa vile hawapelekwi Ukonga au Segerea wana wasiwasi wa nini?
Ngekewa,
Wewe uwelewa wako ni kilo ngapi.
Tafadhali usidhalilishe watanzania mbele ya dunia, tukaonekana watu wetu wana uelewa duni kwa mambo ya msingi.

Omba ushauri kabla ya kuandika.
 
Hivi ilikuwaje Mhe. Mbowe akajipeleka Central tena?.maana ilidaiwa kwamba alikuwa tayari 'kufa akiwa amesimama' kuliko kujisalimisha polisi...

Cha msingi hapa ni kujiuliza Je,ilikuwa ni sahihi kwa Mhe. Mbowe ama Mdhamini wake kutofika mahakamani siku aliyotakiwa kwenda mahakamani kwa ajili ya kesi?,ni kwa nini Mbowe asingemtuma Mdhamini wake tu kama wenzake walivyofanya/wanavyofanya?,

Waheshimiwa Godbless Lema,Selasini na Ndesamburo ni wabunge kama Mbowe,mbona wao licha ya kuwa na kesi moja na Mbowe walifika mahakamani ama kutuma Wadhamini wao licha ya kuwa na majukumu ya vikao vya kamati za Bunge,iweje Mbowe akaidi?...

Maelezo ya Tundu Lissu ya juzi yalikuwa ni dhaifu mno,ningeshangaa sana endapo Mhe. Mbowe angeyatilia maanani na kukataa kujisalimisha Polisi,nadhani Wakili Mabere Nyaucho Marando aliliona hili na kumshauri Mhe Mbowe kujisalimisha...

Tukubali tukatae Mhe Mbowe ameidharau Mahakama(Hata kama Mahakama zetu zina udhaifu),na hizo sababu anazozitoa sasa alipaswa kuzitoa kabla.....Kimsingi hakuna sheria inayomkataza mbunge kukamatwa
 
Haya ya Police brutality yapo UGANDA .Tumeona dr Besige walivyomfanya.
Tanzania tunaelekea huko huko,kama wananchi hatutastop hili,tumekwisha.
 
Hivi ilikuwaje Mhe. Mbowe akajipeleka Central tena?.maana ilidaiwa kwamba alikuwa tayari 'kufa akiwa amesimama' kuliko kujisalimisha polisi...

Cha msingi hapa ni kujiuliza Je,ilikuwa ni sahihi kwa Mhe. Mbowe ama Mdhamini wake kutofika mahakamani siku aliyotakiwa kwenda mahakamani kwa ajili ya kesi?,ni kwa nini Mbowe asingemtuma Mdhamini wake tu kama wenzake walivyofanya/wanavyofanya?,

Waheshimiwa Godbless Lema,Selasini na Ndesamburo ni wabunge kama Mbowe,mbona wao licha ya kuwa na kesi moja na Mbowe walifika mahakamani ama kutuma Wadhamini wao licha ya kuwa na majukumu ya vikao vya kamati za Bunge,iweje Mbowe akaidi?...

Maelezo ya Tundu Lissu ya juzi yalikuwa ni dhaifu mno,ningeshangaa sana endapo Mhe. Mbowe angeyatilia maanani na kukataa kujisalimisha Polisi,nadhani Wakili Mabere Nyaucho Marando aliliona hili na kumshauri Mhe Mbowe kujisalimisha...

Tukubali tukatae Mhe Mbowe ameidharau Mahakama(Hata kama Mahakama zetu zina udhaifu),na hizo sababu anazozitoa sasa alipaswa kuzitoa kabla.....Kimsingi hakuna sheria inayomkataza mbunge kukamatwa


Mahakama gani hiz,unaziita mahakama kweli????????????
Ni political branch ya ruling party.
 
mjadala ulikuwa mrefu,ndipo alipowaonyesha haogopi kituo cha polisi wa haogopi kudhalilishwa.pamoja na yote ipo siri kubwa sana JK mwenyewe alipiga simu na ndipo alipomjibu siogopi.jambo moja tu Kikwete utaondoka kama kuku hapo ulipo na mwisho wako utajuta.akabla sunami haijakuondoa hapo magogoni subiri uone cha moto.hatuna jeshi wala silaha,bali tunaguvu za Mungu aliye hai.
 
Mahakama gani hiz,unaziita mahakama kweli????????????
Ni political branch ya ruling party.

Hayo ni yako wewe...........Ukisoma hapo juu niemesema 'Hata kama Mahakama zetu zina udhaifu',zinahitaji kuheshimiwa pia
 
na watamzuia huko ndani ili kikao cha bajeti asiwepo,ndio democracy ya tanzania,uzuri najua hawapo teyar kuwa raia wa kawaida ktk kushea utajiri we2,na mwsho wake ni mapinduz ya damu.mfn ona vijana walivyoamka haswa mijini,let us b patient
 
Nyinyi endeleeni kujipa mahope.kudharau mahakama ni issue aweza kula mvua jumatatu na kuwaacha mmeachana.
THIS GUY THINK HE IS ABOVE THE LAW,Just wait i feel sore for her ATAKULA MIAKA MBILI
 
wote mnaotukana hapa.najua hata ninyi maisha yenu na koo zenu yameyumba.Mtakuwa watu wa kwanza kusema asante kwa ukombozi lakini ole wenu mnaotumia midomo yenu kunena uchafu siku hiyo mtaomboleza.
 
Back
Top Bottom