Ulinzi shirikishi (Sungusungu)

makaa

Member
Dec 13, 2016
21
15
Habari wana JF,

Mitaa ya mingi ya kata ya Azimio na Tandika wilaya ya Temeke kuna zoezi la ulinzi shirikishi limeanzishwa. Kila mwananchi inabidi alinde japo siku moja kwa wiki. Ulinzi unaanza saa moja kamili usiku hadi saa kumi na moja na nusu asubuhi.

Kuna vikao kama viwili walikaa wananchi na mwenyekiti wa serikali ya mtaa kujadili swala la ulinzi shirikishi kikao kilihudhuliwa na OCD na mkuu wa upelelezi wa Temeke.

Wananchi walieleza hoja nyingi hasa ugumu wa zoezi lenyewe la kulinda. Ukizingatia muda uliopangwa na aina ya shughuli za watu. Kwa kifupi watu hawakulipokea vizuri swala.

Majibu kutoka kwa OCD na mkuu wa upelelezi ni kwamba lazima wananchi wajilinde wenyewe. Na ni sheria iliyotungwa na manispaa mwaka 1982.

Watu ambao hawajashiriki ili zoezi wameshapelekwa mahakama ya wilaya Temeke, adhabu yao ni faini ya shilingi elfu hamsini (50,000) au jela miezi sita.

Inasemekana swala la wananchi kujilinda wenyewe alilianzisha Mh. Augustine Mrema alipokuwa waziri wa mambo ya ndani miaka hiyo.

Kulikuwa na kikundi cha ulinzi (sungusungu) ambao walikuwa wanalipwa kila mwezi na wananchi. Kikundi kimevunjwa na viongozi wa serikali za mitaa na kulazimisha wananchi waanze kulinda.

Hili swala limekuwa ni kero kubwa kwa wananchi sasa hivi, watu wanashindwa kutekeleza majukumu yao kwa sababu ya kulazimishwa kukesha kujilinda. Wananchi wanakamatwa kutoka katika majumba yao kwa kutokulinda na kupelekwa mahabusu halafu mahakamani na kulazimishwa kulipa faini au kwenda jela miezi 6.

Polisi kituo cha chang'ombe Temeke ndo wasimamizi wakubwa wa zoezi hili.

Wana JF hivi hili swala liko kweli kisheria? Vipi wilaya zingine za Dar Es Salaam kuna zoezi hili pia?
Mwenye nakala ya hiyo sheria naomba atuwekee hapa!
 
Hata mm naitaji kuelewa hayo..
Lkn ikiwa kazi ya polisi ni kutulinda na doria tunaona na mshahara wanapewa
Hawa sungusungu wakianzishwa kulinda ina maana polisi hawawezi au kuna nini kiundani tusicho kijua

Habari wana JF,

Mitaa ya mingi ya kata ya Azimio na Tandika wilaya ya Temeke kuna zoezi la ulinzi shirikishi limeanzishwa. Kila mwananchi inabidi alinde japo siku moja kwa wiki. Ulinzi unaanza saa moja kamili usiku hadi saa kumi na moja na nusu asubuhi.

Kuna vikao kama viwili walikaa wananchi na mwenyekiti wa serikali ya mtaa kujadili swala la ulinzi shirikishi kikao kilihudhuliwa na OCD na mkuu wa upelelezi wa Temeke.

Wananchi walieleza hoja nyingi hasa ugumu wa zoezi lenyewe la kulinda. Ukizingatia muda uliopangwa na aina ya shughuli za watu. Kwa kifupi watu hawakulipokea vizuri swala.

Majibu kutoka kwa OCD na mkuu wa upelelezi ni kwamba lazima wananchi wajilinde wenyewe. Na ni sheria iliyotungwa na manispaa mwaka 1982.

Watu ambao hawajashiriki ili zoezi wameshapelekwa mahakama ya wilaya Temeke, adhabu yao ni faini ya shilingi elfu hamsini (50,000) au jela miezi sita.

Inasemekana swala la wananchi kujilinda wenyewe alilianzisha Mh. Augustine Mrema alipokuwa waziri wa mambo ya ndani miaka hiyo.

Kulikuwa na kikundi cha ulinzi (sungusungu) ambao walikuwa wanalipwa kila mwezi na wananchi. Kikundi kimevunjwa na viongozi wa serikali za mitaa na kulazimisha wananchi waanze kulinda.

Hili swala limekuwa ni kero kubwa kwa wananchi sasa hivi, watu wanashindwa kutekeleza majukumu yao kwa sababu ya kulazimishwa kukesha kujilinda. Wananchi wanakamatwa kutoka katika majumba yao kwa kutokulinda na kupelekwa mahabusu halafu mahakamani na kulazimishwa kulipa faini au kwenda jela miezi 6.

Polisi kituo cha chang'ombe Temeke ndo wasimamizi wakubwa wa zoezi hili.

Wana JF hivi hili swala liko kweli kisheria? Vipi wilaya zingine za Dar Es Salaam kuna zoezi hili pia?
Mwenye nakala ya hiyo sheria naomba atuwekee hapa!
 
Habari wana JF,

Mitaa ya mingi ya kata ya Azimio na Tandika wilaya ya Temeke kuna zoezi la ulinzi shirikishi limeanzishwa. Kila mwananchi inabidi alinde japo siku moja kwa wiki. Ulinzi unaanza saa moja kamili usiku hadi saa kumi na moja na nusu asubuhi.

Kuna vikao kama viwili walikaa wananchi na mwenyekiti wa serikali ya mtaa kujadili swala la ulinzi shirikishi kikao kilihudhuliwa na OCD na mkuu wa upelelezi wa Temeke.

Wananchi walieleza hoja nyingi hasa ugumu wa zoezi lenyewe la kulinda. Ukizingatia muda uliopangwa na aina ya shughuli za watu. Kwa kifupi watu hawakulipokea vizuri swala.

Majibu kutoka kwa OCD na mkuu wa upelelezi ni kwamba lazima wananchi wajilinde wenyewe. Na ni sheria iliyotungwa na manispaa mwaka 1982.

Watu ambao hawajashiriki ili zoezi wameshapelekwa mahakama ya wilaya Temeke, adhabu yao ni faini ya shilingi elfu hamsini (50,000) au jela miezi sita.

Inasemekana swala la wananchi kujilinda wenyewe alilianzisha Mh. Augustine Mrema alipokuwa waziri wa mambo ya ndani miaka hiyo.

Kulikuwa na kikundi cha ulinzi (sungusungu) ambao walikuwa wanalipwa kila mwezi na wananchi. Kikundi kimevunjwa na viongozi wa serikali za mitaa na kulazimisha wananchi waanze kulinda.

Hili swala limekuwa ni kero kubwa kwa wananchi sasa hivi, watu wanashindwa kutekeleza majukumu yao kwa sababu ya kulazimishwa kukesha kujilinda. Wananchi wanakamatwa kutoka katika majumba yao kwa kutokulinda na kupelekwa mahabusu halafu mahakamani na kulazimishwa kulipa faini au kwenda jela miezi 6.

Polisi kituo cha chang'ombe Temeke ndo wasimamizi wakubwa wa zoezi hili.

Wana JF hivi hili swala liko kweli kisheria? Vipi wilaya zingine za Dar Es Salaam kuna zoezi hili pia?
Mwenye nakala ya hiyo sheria naomba atuwekee hapa!
Ni zoezi zuri kiusalama lakini Je? wakipata ulemavu wa kudumu au madhara mengine wanafidiwa vipi na bima ama mamlaka husika?
Je nini maana ya "USALAMA WA RAIA?" ikiwa wanapaswa kujilinda wenyewe?
Kuna haja ya kuwepo utaratibu mzuri na usiokera bali pia wenye kuhakikisha usalama wa walinzi shirikishi. Aidha Halmashauri zifungue mfuko wa bima kwa ajili hiyo
 
Kama hao wananchi hawawezi kulinda basi waweke utaratibu wa kuchangia kiasi fulani cha pesa ili vjana wenye rekodi nzuri katika mtaa huo wapewe jukumu hilobla ulinzi kwa kulipwa posho ambazo ni michango ya hao wasiweza kulinda.

Binafsi nimeratibu zoezi la Ulinzi shirikishi mtaani kwangu Maeneo ya Tabata na mpaka sasa linaenda vizuri na changamoto za hapa na pale zinajitokeza.
 
Nyie itakuwa wabishi kuchangia. Maeneo mengi sasa wanaweka vijana barubaru kulinda nyie mnachangia vifaa au hela tu.
 
Ukitaka kujua umuhim wa ulinz shirikishi muulize mtu aliewahi kuvamiwa na wezi au majambaz kwake. Jamaa wanaeza kaza mkeo mbele yako.
 
Majibu kutoka kwa OCD na mkuu wa upelelezi ni kwamba lazima wananchi wajilinde wenyewe. Na ni sheria iliyotungwa na manispaa mwaka 1982.
Huyu OCD mbona anajichanganya? Mrema alikuwa waziri wa nini mwaka 1982?
Kweli Polisi kazi yao ni saluti.
Inasemekana swala la wananchi kujilinda wenyewe alilianzisha Mh. Augustine Mrema alipokuwa waziri wa mambo ya ndani miaka hiyo.
 
Back
Top Bottom