nguvu ya umma ipo nyuma yao na allah..........tunayemwomba dua kula uchao
Kuna haja ya kuchuja wagombea urais ili wabaki waLe serious tu.. eg: watakiwe kukusanya signature za wadhamini wasiopungua million moja kabla ya kutangazwa kuwa wagombea urais kwani ni hasara kubwa serikali kugharamia ulinzi kwa mgombea kama wa TLP.kwa sheria zilivorekebishwa,na kwa mujibu wa taratibu zilizopo ktk Jeshi la Polisi,kila mgombea urais ni lazima apewe mlinzi ambaye ni askari polisi mwenye cheo cha kuanzia Inspector (nyota mbili) na kila mahala anapo lala lazizma panalindwa na askari polisi tena kwa silaha tangu anapowasili sehemu husika hadi siku anayoondoka eneo hilo!