Omuzirambogo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 685
- 750
Kondomu hizo zimepewa jina Ulinzi na zinatarajiwa kusaidia katika juhudi za kupunguza kuenea kwa virusi vinavyosababisha Ukimwi.
Kitengo cha kukabiliana na maambukizi ya Ukimwi jeshini kilizindua nembo hiyo mpya kwa ushirikiano na mashirika mawili yasiyo ya kiserikali, Population Services International (PSI) - Uganda na Pace Uganda.
Kwenye pakiti za kondomu hizo, pameandikwa 'Usiende Nyama kwa Nyama', kuwahamasisha wanajeshi kutumia kinga wanaposhiriki tendo la ndoa.
Tunangoja na Tanzania izindue zake!
Kitengo cha kukabiliana na maambukizi ya Ukimwi jeshini kilizindua nembo hiyo mpya kwa ushirikiano na mashirika mawili yasiyo ya kiserikali, Population Services International (PSI) - Uganda na Pace Uganda.
Kwenye pakiti za kondomu hizo, pameandikwa 'Usiende Nyama kwa Nyama', kuwahamasisha wanajeshi kutumia kinga wanaposhiriki tendo la ndoa.
Tunangoja na Tanzania izindue zake!