Hadithi: Ulimwengu wa Watu Wabaya

FEBIANI BABUYA

JF-Expert Member
Mar 5, 2022
1,061
2,045
Mtunzi: Febiani Babuya
Mwandishi: Bux the story teller
Umri :Miaka 18+
Uurasa wa tatu

Sehemu iliyopita tulipoishia...

Aliamka asubuhi na mapema sana akarudi kwanza kwao, alitaka kuhakiki kama je kweli anafatiliwa, hakuenda na gari aliamua kuchukua boda boda na vitu vyote aliviacha hotelini. Alifika kwa tahadhari akafungua geti na kuingia ndani, alishtuka baada ya kuona mlango wa ndani umevunjwa. Alifika ndani na kukuta vitu vipo hovyo hovyo akajua kweli alikuwa sahihi kuondoka.

Akatoka haraka na kuzunguka nyuma ya nyumba ambako walizikwa wazazi wake, alipiga magoti akaingiza mkono mfukoni akatoa picha ya yule mtu aliyeiokota usiku ule wakati wazazi wake wanauawa, aliingalia kwa umakini sana na kutamka kauli moja tu baba na mama “NITARUDI”, kisha hakuzubaa tena mwanaume na tajiri huyu mtoto akaondoka kwa haraka sana.

Hakuwa na muda wa kupoteza alichukua vitu vyake kule hotelini, aliipeleka gari kwenye yard yao akafunga kila kitu kisha akaelekea airport, alifika akakata tiketi yake na kuambiwa ndege ilikuwa inaondoka masaa mawili mbele, ikambidi asubirie kwa muda, akiwa ameketi hapo alishtuka sana alicho kiona.

Endelea...

Alihisi kama kuna watu wanamwangalia sana akaamua kupotezea, ulifika muda wa kupanda ndege abiria wote walipanda na rasmi wakawa wanaiaga ardhi ya nchi ya Tanzania. Baada ya masaa mengi sana kupita takribani masaa 9 na dakika zake 7, hatimae walifanikiwa kuingia kwenye moja ya majiji makubwa sana na makubwa kibiashara ulimwenguni, si kwingine ni ndani ya jiji la Moscow Russia. Walifika salama na abiria wote walishuka na kwenda mapokezi kuchukua mizigo yao. Abiria mbali mbali wakaanza kutoka nje ya uwanja, hatujui ni kwanini Calvin alipita Russia badala ya kwenda Japan moja kwa moja. Je, ni nini kipo nyuma ya pazia?

Hadithi hii inaenda kukupa majibu ya kila kitu, ungana nami kwa majina naitwa Febiani Babuya lakini waweza kuniita Bux the story teller.

***************************

Calvin alihisi kama kuna watu wanamfatilia aligeuka na kuwaona wanaume wawili wakimwangalia kila hatua anayo piga, aliwakumbuka vyema ni wale aliowaona tangu akiwa airport ya Tanzania hiyo ikampa tahadhari ya kuwa makini kwenye kila hatua anayo piga. Calvin alitoka haraka na kuita taxi na kumuomba dereva atoe gari haraka sana, naye alifanya hivyo kwani kwake mteja ni mfalme na anapaswa kumsikiliza. Alitazama kwenye sight mirror na kuiona tax nyingine ikija upande wao akajua ni wale watu wanamfatilia, akamuomba dereva ampeleke kwenye duka kubwa la nguo lolote lililopo karibu.

“vipi hao watu wanakutafuta niwewe bro”, Aliuliza dereva tax yule.

“ndio“, akajibu Calvin kifupi.

“ kwani ni akina nani?"

"Siwajui ila wananifatilia tangu mbali sana" aliongeza Calvin.

Basi jamaa akampa wazo na kumwambia kama ni hivo ampeleke kwa mtu mmja akapate sura bandia ili asitambulike na kumuwezesha kuwatoka hao watu kirahisi kama atakuwa na pesa.

“Nipeleke pesa sio shida,” ikabidi gari igeuzwe haraka sana kuingia mkono wa kulia wa barabara huku nyuma wakifatiliwa na wale watu. Walifika hiyo sehemu Calvin almshukuru yule mtu akampa pesa yake na kumtaka aondoke haraka ili asije ingia matatizoni kwani alimuahidi kuchukua usafiri mwingine pindi akitoka ili asijulikane kirahisi. Akaingia ndani haraka sana, akafika ndani na kuwakuta watu wakiwa busy kuchora tatoo kwenye miili yao ikiwemo wanawake walio vaa nusu uchi, hakuwajali sana alienda kwa bwana mmja aliyekuwa busy na komputa yake mpakato, maana alielekezwa na dereva kwamba amtafute jamaa anaitwa Max X ndiye mwenye hilo eneo. Anacho taka yeye ni pesa tu hapo atamsaidia.

kweli alivyouliza tu jamaa alimwambia nifate, walipandisha ngazi mpaka juu, waliingia kwenye moja ya milango hapo juu, walimkuta mwanaume mmja ana upara unaong’aa sana huku amezungukwa na wanawake watatu wakimpa burudani. Yule jamaa aliyeongozana na Calvin aliita “Bosi” kuna mteja wako hapa. Max X aligeuka na kumtazama Calvin vizuri kisha akamuuliza anahitaji nini.

Calvin haraka akajibu nahitaji sura bandia ya haraka, haikuwa shida sana aliletewa sura nyingi sana kitu ambacho kilimfanya ashangae sana kwani hazikuwa na utofauti. Alitabasamu huku moyoni akimsifia mtu aliyezitengeneza sura hizo akiuhusudu uwezo wake. Baada ya kujiridhisha akachagua moja aliyoona inamfaa akaivaa pale pale kisha akalipia na biashara ikawa imeisha.

Huku nje wale jamaa walikuwa wanasubiri kama Calvin atatoka kwani walivyoona anaingia hapo walishuka kwenye tax na kujibanza sehemu kumsubiri atoke waunge nae, lakini ulipita muda kidogo bila mtu kuonekana.

“Mhhhh mbona kachelewa hivi kuna nini huko”
mmja wao aliuliza,

“tumfate ndani” mwingine aliongeza,

Wakaamua kuingia ndani wajue nini kinaendelea, lakini wakati wanapandisha walipishana na kijana mmja aliefanana mwonekano na Calvin hata nguo zake ila yeye alikuwa na sura tofauti kabisa, wakahisi watakuwa wamemfananisha tu wakapotezea na kuendelea kuingia ndani. Walifika ndani na kushangaa watu wakiwa busy kuchora tattoo, ni jamaa mmja tu ndiyo alikuwa anacheza na komputa mpakato, basi miongoni mwa wale wanaume alienda na kumuuliza "Bro kuna huduma naweza kupata hapa zaidi ya tattoo?" Jamaa akamjibu "Yes unapata sura mpya " Alishangaa na kuuliza "Ina maana hapa mna sura bandia?" Jamaa kamjibu "Ndio karibu", alitukana “shiiiiiiiiit”, akakimbilia kwa wenzake na kuwaambia yule mpuuzi katuchezea akili. Ndiye yule tuliyepishana nae anatoka nje, basi walikimbia mpaka nje lakini hawakukuta kitu, Calvin alikuwa ashaondoka muda sana bila kutambulika aliko elekea.

Ni ndani ya miongoni mwa jiji kubwa kabisa Japan liitwalo Osaka lenye idadi ya watu takribani 2.691 million, lenye kilomita za mraba 223, na ni miongoni mwa majiji ghali zaidi Japan na duniani kwa ujumla likiwa maarufu zaidi kwa vyakula vya ajabu vya kawaida na wenyeji wanaomaliza muda wao kula na kunywa. Ndani ya mji wa Sakai pembezoni kidogo mwa Osaka bay karibu kabisa na mto wa Yamato ambapo kuna bandari kubwa sana na miongoni mwa bandari muhimu zaidi nchini Japan, ni mji wenye wakazi sio chini ya 828,741 kwa takwimu.

Ndani ya jumba moja kubwa sana la kifahari ambalo limezungushiwa kwa uzio mkubwa na mrefu sana, ni jengo ambalo huwa linafunguliwa mara chache sana Kwa mwaka mzima kutokana na vitu vinavyo endelea humu ndani. Ni jumba linalomilikiwa na mzee mmja anae fahamika kwa jina la Hinata Haruto Haru, ambae kimwonekano ni kama kijana kutokana na mwili wake kutengenezwa kwa mazoezi ya hatari sana tangu akiwa kijana mdogo lakini kiuhalisia alikuwa ni mzee wa miaka 67. Kwenye jumba la mzee Haruto, Kunatumika kuwatengeneza majasusi hatari wa siri sana na maninja wanao tisha sana wanapomaliza mafunzo yao.

Mzee huyu anaonekana kwenye ofisi yake akiwa ameketi chini kikakamavu sana anafanya sala kwa kutumia hisia za hatari sana, alihisi kuna mtu anakuja toka mbali sana lakini ile mihemo ya sauti ya chini kabisa ya yule anayekuja alijua ni kijana wake. Akaamua kuendelea na sala mpaka yule kijana anafika alimuacha kwanza master wake amalize. Baada ya kumaliza aliita "Akio, nafkiri umepata taarifa za kifo cha rafiki yangu kutoka Tanzania Jackson Aron kwa kuuawa vibaya na watu wasiyojulikana." Akio akajibu ndiyo master kwani huyo mtu ni nani hasa kwako," Mzee Haruto alimkata jicho mpaka. Akio akajishtukia na kujua kwamba kakosea kuuliza, kisha akaambiwa utakuja kujua ila sijakuitia hicho.

Rafiki angu ni muda sana alikuwa ameniomba kwamba kama kuna tatizo lolote likitokea basi nimlinde na kumsaidia mtoto wake, hapo ntakuwa nimemtendea wema mkubwa sana hapa duniani. Sasa kwenye tukio la mauaji lililo tokea kwake nchini Tanzania maiti ya mwanae ajulikanae kama Calvin haikuwepo, hiyo inamaanisha kwamba alifanikiwa kutoroka, sasa nahitaji apatikane haraka sana popote pale. Utamtafuta Jackline kutoka Tanzania akwambie kinachoendelea, utakapopata majibu ndiyo utajua wapi pa kuanzia na nahitaji hili liishe haraka sana, kesho unatakiwa uende Tanzania kumchukua bwana mdogo aje hapa, picha zake hizo hapo, kisha Akio akaondoka. “Ntakuenzi kwa kumsaidia na kumtunza mwanao kama mwanangu Jackson”, alisisitiza master Haruto huku akijisemea mwenyewe.

Je, Akio atafanikiwa kumpata Calvin ambae wanajua yupo Tanzania na wakati huo alishaingia nchini Russia/Urusi? Na je Calvin ataweza kutimiza adhima yake ya kulipa kisasi angali hata WABAYA wake hawajui? Ukurasa wa tatu unafika tamati, tukutane kwenye kurasa zijazo hii ni ULIMWENGU WA WATU WABAYA, Mimi ni Bux the story teller, ungana nami mwanzo mpaka mwisho.

Chao.

FB_IMG_16536737404535447.jpg
 
HADITHI: ULIMWENGU WA WATU WABAYA
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
MTUNZI: Bux the story teller
WHATSAP: 0621567672
AGE: 18+
UKURASA WA SITA

SEHEMU ILIYO PITA TULIPO ISHIA...........

“Mhhhhh sina uhakika kama nikisema mimi mzima wa afya ila namshukuru sana MUNGU kwa kuweza kunipendelea siku nyingine. Sio kawaida na nina miaka kama mitano sijawahi kusalimiwa kwa heshima na mtu akaniuliza ninaendeleaje zaidi ya mwanangu pekeake ndio maana nimeshtuka sana ulivyo nisalimia kwa adabu na kutaka kujua kama nipo salama, hakika utakuwa unatoka kwenye familia bora sana iliyo kukuza kwenye maadili mema, vijana wengi wa siku hizi wamebadilika sana hususani wakifika mjini hapa huwa wanakuwa wabinafsi sana na kujisahau kwamba hii dunia ina watu wazima na wazazi ambao wanapaswa kuthaminiwa sana kwa kukitunza hiki kizazi.

“Hata hivi kwenu ni wapi na baba yako ni nani?”

ENDELEA......................

“naitwa Jackson Aron Mavunde” ni mtoto wa kwanza kuzaliwa kwetu na ndio mtoto pekee kwetu, nishawahi kuwa na mdogo wangu wa kike lakini alikufa kwa kansa akiwa bado mdogo sana.

“ebu subiri kidogo huyu tajiri mwenye Aron foundation ya kusaidia watoto yatima na wazee na mwezi jana alitajwa miongoni mwa matajiri wakubwa Afrika mashariki ndio baba ako?

“ndio mzee”

“sikutegemea angekuwa na mtoto bora kama wewe, nina imani ujio wako hapa utakuwa una jambo la msingi”, aliingilia Juma “baba huyu ndie alie kuleta hapa na kila kitu kakulipia yeye”

Hakuamini mzee yule kwamba kasaidiwa na mtoto wa tajiri mkubwa sana, alitamani anyanyuke akamshukuru yule kijana kwa moyo wake wa kipekee lakini hali yake ilikuwa mbaya, ilimlazimu Jackson amfate pale kitandani na kuketi kando yake. Mzee yule alimpapasa mashavu Jackson huku akiwa na mirija ya drip mikononi akamuita kijana wake kwa ishara, kisha juma akasogea.

“najua mwanangu atakuwa mkiwa pekeake kwenye huu ulimwengu kwa sababu sina ndugu yeyote kwa maana mimi tangu nakua nilikuwa mtoto wa mtaani na sikubahatika kumjua mtu yeyote yule kama ndugu kwangu, ndugu zangu walikuwa ni mke wangu kipenzi ambae nishampoteza miaka mitano iliyopita na kwa sasa alibakia mwanangu wa pekee Juma ambae ndio kila kitu kwangu. Natamani niinuke nimsaidie aishi kwa furaha hata tusipokuwa na pesa ila kuniona tu mimi baba ake anajihisi ana mtu wa kumuita familia na kumpa sababu ya kuzidi kupambana, ila kwa bahati mbaya sana najiona sina muda mrefu wa kuendelea kuwa na nuru ya kuona, naona mke wangu ananiita anasema amechoka kuwa mpweke pekeake, nampenda sana mwanamke yule, yeye pekeake ndiye aliye kubali kunipokea na kunihifadhi ndani ya moyo wake, alinifichia aibu kubwa ya umaskini nilio kuwa nao mabegani kwangu na kunifanya nikawa baba bora sana wa familia yangu, kwahiyo umefika muda ananiita inabidi niende kwake nikajipumzishe na haya mateso ya ulimwengu ambao utu imekuwa ni ngumu sana kuupata mpaka uwe na chochote kwanza cha kuwapa hawa viumbe wa MUNGU japo bado hawawezi kuridhika mpaka upatwe na umauti. Kijana wangu nakushukuru sana kwa moyo wako wa kipekee, umeacha kazi zako na kuja kumsaidia baba wa kijana mwezio bila kujali tabaka lililopo kati ya maisha yetu na yako, MUNGU atakulipa kwa wema wako. Nina ombi moja kwako na ombi langu la mwisho hapa duniani nikiwa bado kiumbe hai, huyu mwanangu hana ndugu wala rafiki, mimi ndiye nilikuwa kila kitu kwake, nakuomba mwanangu ijapokuwa sikufahamu uwe ndugu yake wa hiari na umfundishe maisha, maana sitapumzika kwa amani na nitajisikia vibaya sana kumwona kijana wangu anakuja kuingia kwenye shughuli hatarishi hapa mjini ili apate pesa, naogopa mwanangu asije kudhulumu cha mtu wala kutoa uhai wa mtu ili apate maslahi mazuri. Ni hilo tu ombi langu nakuomba usikatae kijana wangu”.

LIKE NA KUKOMENT KWENYE UKURASA WANGU WA Bux the story teller

Aisee yalikuwa ni maneno ya uchungu sana ya mzee huyu ambayo yalimtoa kila mtu machozi mle ndani ya wodi ya wagonjwa, hata madaktari na manesi waliokuwa pembeni walishindwa kuvumilia wakajikuta wanatokwa na machozi.

“nimekubali mzee wangu kuanzia leo Juma ni ndugu yangu na itakuwa hivyo siku zote za maisha yangu. Aliongea Jackson huku akijipangusa machozi kwa mkono. Alitabasamu sana mzee huyu kisha akauchukua mkono wa Jackson na wa Juma, akatamka “mwanangu nakuacha kwenye mikono salama na mama yako atakuwa na furaha sana”, alionekana kama alitaka kuongeza kitu, ila taratibu alikuwa akiufumba mdomo wake na mikono ilianza kulegea na hatimae mzee huyu akawa amelala usingizi wa milele. Juma alilia kwa sauti kubwa na kwa uchungu sana kitu kilicho pelekea Jackson na wale madaktari wamuonee huruma sana. Alienda kwenye kile kitanda daktari mmja na kumfumba macho yule mzee kisha akamfunika kwa shuka jeupe na ,mwili ukatolewa wodini tayari kwa maandalizi ya mazishi.

Zilifanyika taratibu za mazishi na kila kitu alikisimamia Jackson hakutaka kumwacha pekeake ndugu yake wa hiari huyu mpya, baada ya wiki moja kila kitu kiliisha. Jackson aliamua kumpeleka Juma nyumbani kwao ambako alikuwa akiishi yeye, wazazi wake pamoja wa wafanyakazi wanne akiwepo na mlinzi mmja alie kuwa akihusika kuhakikisha usalama wa nyumba na kufungua geti.

Alikaa na wazazi wake na kuwaeleza kwa kirefu kuhusu Juma, walimuonea huruma sana na kumpa moyo kwamba wao sasa ni familia yake. “asanteni sana wazee wangu kwa huu msaada mkubwa wa kunifanya mimi mmja wenu angali hata hamnijui MUNGU atawalipia kwa wema wenu” aliongea Juma kwa hisia sana na wao wakamtaka asiwe na wasi wasi juu ya hili.

Siku zilienda hatimae Jackson alianza kumfundisha Juma mambo ya biashara, baada ya miaka miwili akamfungulia kampuni kubwa ya kusafirisha mizigo ndani na nje ya nchi.

“daah bro shukrani sana kwako na kwa wazazi sikutegemea kama namimi siku moja nitamiliki kampuni na kuitwa bosi hakika MUNGU ni mkubwa sana” yalikuwa maneno ya Juma na Jackson aliishia kutabasamu tu.

“sasa kampuni yenyewe unaipa jina gan?” lilikuwa swali kutoka kwa Jackson

“nilitamani sana kulitumia jina langu lakini naona litakuwa na mkosi sana kwenye biashara zangu kutokana na maisha niliyo yaishi nikiwa na hilo jina ila kuna jina moja huwa nalipenda sana, nilitazamaga movie moja ya kipelelezi ambayo kuna tajiri mmja alikuwa anajiita Fabian Decco au Mr Decco, alikuwa na pesa sana yule jamaa na nilitamani sana siku moja kuwa mkubwa kama yeye kwahiyo nadhani hilo jina litanifaa sana kwenye biashara”. alijibu kwa maelezo marefu kidogo Juma

“kama ndilo umelipenda basi haina tatizo tunaenda kuandikisha kwa hilo jina” Jackson aliongeza

**************************

Hakukuwa na la ziada tena zaidi ya kukamilisha nyaraka zote na hati miliki na hatimae akakabidhiwa kampuni yake na ndugu zake wa kufikia wenye moyo wa pekee sana na rasimi akawa mmiliki halali wa DECCO LOGISTICS AND TRANSPORT COMPANY.

Hatimae siku zilisonga mbele na miaka ikakatika wakiwa wanaishi kwa furaha ikizidi kushamiri miongoni mwa familia hii huku Mr Decco akizidi kukuza jina lake ndani na nje ya nchi.

Baada ya miaka mitano kupita kilitokea kitu kibaya sana kwenye familia hii, ni baada ya gari walilokuwa wamepanda wazazi wa Jackson kuweza kupinduka vibaya sana na hakuna mtu ambae alipona katika ile ajali. Ni tukio ambalo lilimuathiri sana Jackson kwani alimaliza mwaka mzima bila kufanya kitu chochote akiteswa na mawazo ya kuwapoteza wazazi wake wapendwa. Mpaka muda huo ndugu yake alikuwa ni Juma au Mr Decco kama watu wengi wamjuavyo pamoja na wafanya biashara wenzake. Ndiye mtu pekee aliekuwa na Jackson karibu akiwa kama mfariji wake na kumsaidia kusimamia baadhi ya miradi yake. Baada ya mwaka kuisha tangu wazazi wake wafariki ndipo Jackson alipo amua kuwatoa wafanyakazi wote ndani kwa kuwapa mitaji ya kwenda kuanza maisha yao, alitaka kusahau kila kitu ndio maana aliamua kuwatoa hao wafanyakazi wao, maana kila alivyokuwa anawaoana alikuwa anawakumbuka sana wazazi wake.

Mwaka haukuisha aliamua kumuoa mwanamke wake ambae alikuwa nae tangu akiwa chuoni, japo mwanamke huyo yeye alisomea Jomo Kenyatta University kilichopo nchini Kenya akichukua masomo yake ya sheria yaani Bachelor of Laws(LL.B). Hii ilikuwa ni kama kuutoa upweke na kuipata faraja mpya moyoni mwake. Mwanamke huyo hakuwa mwingine ni bibie Alice Jackson, ambae alikuwa ni mhitimu wa shahada ya sheria.

Baada ya kuoa ndio muda ambao Mr Decco alipohama na kwenda kuanza makazi yake mapya ambayo Jackson ndiye aliye mjengea kwa gharama kubwa sana kama ndugu yake mpaka leo hii Mr Decco ni miongoni mwa watu wenye pesa sana ndani ya jiji hili".

Alishusha pumzi ndefu sana baada ya kutoka kwenye kumbukumbu nzito ya kusisimua sana ya maisha yake yote na jinsi alivyo weza kufahamiana na mzee Jackson Aron ambae kwa sasa ni marehemu. Aliivuta sigara yake kwa mkupuo hali iliyo mpelekea kutoa moshi mwingi sana Mr Decco.

“utanisame sana rafiki angu kwa haya niliyo kufanyia najua haukustahili malipo haya kwa mema uliyo nifanyia lakini sina chaguo lingine zaidi ya hiki nilicho fanya, nenda salama mr Jackson japo najua huwezi kunisamehe ila ntajuaga namna ya kujitetea nikifika huko uliko tangulia” mr Decco aliongeza kisha akaondoka zake mahali hapo alipokaa kwa muda mrefu sana.

Tunarudi ndani ya Japan katika jiji la Osaka kwenye nyumba ya mzee Haruto, asubuhi na mapema sana calvin aliamshwa na Akio ili kuanza rasmi mazoezi yatakayo chukua takribani miaka miwili na zaidi, lengo ni kumuweka kijana sawa ili aweze kuikabili hatari kubwa sana iliyopo mbele yake, adhima kubwa ikiwa ni kulipa kisasi kwa wale wote ambao walikatisha maisha ya wazazi wake, aliapa kutomwacha hata mmja.

Akio alimchukua na kumpeleka kwenye chumba kimoja ambacho kilikuwa kikubwa sana ajabu kilikuwa kitupu yaani hakikuwa na kitu chochote ndani yake “here we go", iweke akili yako sawa na usahau kila kitu ulicho kiacha huko nje, hapa inahitajika akili yako kwa asilimia miamoja na kila sekunde kwani unaenda kufundishwa vitu vikubwa sana ambavyo kisheria mtu kama wewe hutakiwi kabisa kuvijua na ni kosa kubwa sana ikijulikana, sijajua ni kitu gani baba yako alimpa master mpaka akakubali kukufundisha kirahisi namna hii, haijawahi kutokea kabla, nina imani utakuwa ni kijana mwenye bahati sana” ni maneno aliyo yazungumza Akio akiwa siriasi sana tofauti na mwanzo alivyokuwa anatabasamu tangu amekutana na Calvin, hali hii hata Calvin ilimtisha sana akajua huko mbele wanakoelekea hakuna masiara hata kidogo...................je unadhani ni kitu gani ambacho bwana mdogo na tajiri mdogo huyu Calvin anaenda kufundishwa mpka ihitajike akili yake kwa asilimia mia moja na kila sekunde? Na ukurasa huu umekupa majibu kwamba juma ni nani..........ukurasa wa sita unafika tamati, ungana nami katika kurasa zinazofata. Hii ni ULIMWENGU WA WATU WABAYA mimi ni Bux the story teller.......ChaoView attachment 2262696
Shukran mkuu
 
HADITHI: ULIMWENGU WA WATU WABAYA
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
MTUNZI: Bux the story teller
WHATSAP: 0621567672
AGE: 18+
UKURASA WA SITA

SEHEMU ILIYO PITA TULIPO ISHIA...........

“Mhhhhh sina uhakika kama nikisema mimi mzima wa afya ila namshukuru sana MUNGU kwa kuweza kunipendelea siku nyingine. Sio kawaida na nina miaka kama mitano sijawahi kusalimiwa kwa heshima na mtu akaniuliza ninaendeleaje zaidi ya mwanangu pekeake ndio maana nimeshtuka sana ulivyo nisalimia kwa adabu na kutaka kujua kama nipo salama, hakika utakuwa unatoka kwenye familia bora sana iliyo kukuza kwenye maadili mema, vijana wengi wa siku hizi wamebadilika sana hususani wakifika mjini hapa huwa wanakuwa wabinafsi sana na kujisahau kwamba hii dunia ina watu wazima na wazazi ambao wanapaswa kuthaminiwa sana kwa kukitunza hiki kizazi.

“Hata hivi kwenu ni wapi na baba yako ni nani?”

ENDELEA......................

“naitwa Jackson Aron Mavunde” ni mtoto wa kwanza kuzaliwa kwetu na ndio mtoto pekee kwetu, nishawahi kuwa na mdogo wangu wa kike lakini alikufa kwa kansa akiwa bado mdogo sana.

“ebu subiri kidogo huyu tajiri mwenye Aron foundation ya kusaidia watoto yatima na wazee na mwezi jana alitajwa miongoni mwa matajiri wakubwa Afrika mashariki ndio baba ako?

“ndio mzee”

“sikutegemea angekuwa na mtoto bora kama wewe, nina imani ujio wako hapa utakuwa una jambo la msingi”, aliingilia Juma “baba huyu ndie alie kuleta hapa na kila kitu kakulipia yeye”

Hakuamini mzee yule kwamba kasaidiwa na mtoto wa tajiri mkubwa sana, alitamani anyanyuke akamshukuru yule kijana kwa moyo wake wa kipekee lakini hali yake ilikuwa mbaya, ilimlazimu Jackson amfate pale kitandani na kuketi kando yake. Mzee yule alimpapasa mashavu Jackson huku akiwa na mirija ya drip mikononi akamuita kijana wake kwa ishara, kisha juma akasogea.

“najua mwanangu atakuwa mkiwa pekeake kwenye huu ulimwengu kwa sababu sina ndugu yeyote kwa maana mimi tangu nakua nilikuwa mtoto wa mtaani na sikubahatika kumjua mtu yeyote yule kama ndugu kwangu, ndugu zangu walikuwa ni mke wangu kipenzi ambae nishampoteza miaka mitano iliyopita na kwa sasa alibakia mwanangu wa pekee Juma ambae ndio kila kitu kwangu. Natamani niinuke nimsaidie aishi kwa furaha hata tusipokuwa na pesa ila kuniona tu mimi baba ake anajihisi ana mtu wa kumuita familia na kumpa sababu ya kuzidi kupambana, ila kwa bahati mbaya sana najiona sina muda mrefu wa kuendelea kuwa na nuru ya kuona, naona mke wangu ananiita anasema amechoka kuwa mpweke pekeake, nampenda sana mwanamke yule, yeye pekeake ndiye aliye kubali kunipokea na kunihifadhi ndani ya moyo wake, alinifichia aibu kubwa ya umaskini nilio kuwa nao mabegani kwangu na kunifanya nikawa baba bora sana wa familia yangu, kwahiyo umefika muda ananiita inabidi niende kwake nikajipumzishe na haya mateso ya ulimwengu ambao utu imekuwa ni ngumu sana kuupata mpaka uwe na chochote kwanza cha kuwapa hawa viumbe wa MUNGU japo bado hawawezi kuridhika mpaka upatwe na umauti. Kijana wangu nakushukuru sana kwa moyo wako wa kipekee, umeacha kazi zako na kuja kumsaidia baba wa kijana mwezio bila kujali tabaka lililopo kati ya maisha yetu na yako, MUNGU atakulipa kwa wema wako. Nina ombi moja kwako na ombi langu la mwisho hapa duniani nikiwa bado kiumbe hai, huyu mwanangu hana ndugu wala rafiki, mimi ndiye nilikuwa kila kitu kwake, nakuomba mwanangu ijapokuwa sikufahamu uwe ndugu yake wa hiari na umfundishe maisha, maana sitapumzika kwa amani na nitajisikia vibaya sana kumwona kijana wangu anakuja kuingia kwenye shughuli hatarishi hapa mjini ili apate pesa, naogopa mwanangu asije kudhulumu cha mtu wala kutoa uhai wa mtu ili apate maslahi mazuri. Ni hilo tu ombi langu nakuomba usikatae kijana wangu”.

LIKE NA KUKOMENT KWENYE UKURASA WANGU WA Bux the story teller

Aisee yalikuwa ni maneno ya uchungu sana ya mzee huyu ambayo yalimtoa kila mtu machozi mle ndani ya wodi ya wagonjwa, hata madaktari na manesi waliokuwa pembeni walishindwa kuvumilia wakajikuta wanatokwa na machozi.

“nimekubali mzee wangu kuanzia leo Juma ni ndugu yangu na itakuwa hivyo siku zote za maisha yangu. Aliongea Jackson huku akijipangusa machozi kwa mkono. Alitabasamu sana mzee huyu kisha akauchukua mkono wa Jackson na wa Juma, akatamka “mwanangu nakuacha kwenye mikono salama na mama yako atakuwa na furaha sana”, alionekana kama alitaka kuongeza kitu, ila taratibu alikuwa akiufumba mdomo wake na mikono ilianza kulegea na hatimae mzee huyu akawa amelala usingizi wa milele. Juma alilia kwa sauti kubwa na kwa uchungu sana kitu kilicho pelekea Jackson na wale madaktari wamuonee huruma sana. Alienda kwenye kile kitanda daktari mmja na kumfumba macho yule mzee kisha akamfunika kwa shuka jeupe na ,mwili ukatolewa wodini tayari kwa maandalizi ya mazishi.

Zilifanyika taratibu za mazishi na kila kitu alikisimamia Jackson hakutaka kumwacha pekeake ndugu yake wa hiari huyu mpya, baada ya wiki moja kila kitu kiliisha. Jackson aliamua kumpeleka Juma nyumbani kwao ambako alikuwa akiishi yeye, wazazi wake pamoja wa wafanyakazi wanne akiwepo na mlinzi mmja alie kuwa akihusika kuhakikisha usalama wa nyumba na kufungua geti.

Alikaa na wazazi wake na kuwaeleza kwa kirefu kuhusu Juma, walimuonea huruma sana na kumpa moyo kwamba wao sasa ni familia yake. “asanteni sana wazee wangu kwa huu msaada mkubwa wa kunifanya mimi mmja wenu angali hata hamnijui MUNGU atawalipia kwa wema wenu” aliongea Juma kwa hisia sana na wao wakamtaka asiwe na wasi wasi juu ya hili.

Siku zilienda hatimae Jackson alianza kumfundisha Juma mambo ya biashara, baada ya miaka miwili akamfungulia kampuni kubwa ya kusafirisha mizigo ndani na nje ya nchi.

“daah bro shukrani sana kwako na kwa wazazi sikutegemea kama namimi siku moja nitamiliki kampuni na kuitwa bosi hakika MUNGU ni mkubwa sana” yalikuwa maneno ya Juma na Jackson aliishia kutabasamu tu.

“sasa kampuni yenyewe unaipa jina gan?” lilikuwa swali kutoka kwa Jackson

“nilitamani sana kulitumia jina langu lakini naona litakuwa na mkosi sana kwenye biashara zangu kutokana na maisha niliyo yaishi nikiwa na hilo jina ila kuna jina moja huwa nalipenda sana, nilitazamaga movie moja ya kipelelezi ambayo kuna tajiri mmja alikuwa anajiita Fabian Decco au Mr Decco, alikuwa na pesa sana yule jamaa na nilitamani sana siku moja kuwa mkubwa kama yeye kwahiyo nadhani hilo jina litanifaa sana kwenye biashara”. alijibu kwa maelezo marefu kidogo Juma

“kama ndilo umelipenda basi haina tatizo tunaenda kuandikisha kwa hilo jina” Jackson aliongeza

**************************

Hakukuwa na la ziada tena zaidi ya kukamilisha nyaraka zote na hati miliki na hatimae akakabidhiwa kampuni yake na ndugu zake wa kufikia wenye moyo wa pekee sana na rasimi akawa mmiliki halali wa DECCO LOGISTICS AND TRANSPORT COMPANY.

Hatimae siku zilisonga mbele na miaka ikakatika wakiwa wanaishi kwa furaha ikizidi kushamiri miongoni mwa familia hii huku Mr Decco akizidi kukuza jina lake ndani na nje ya nchi.

Baada ya miaka mitano kupita kilitokea kitu kibaya sana kwenye familia hii, ni baada ya gari walilokuwa wamepanda wazazi wa Jackson kuweza kupinduka vibaya sana na hakuna mtu ambae alipona katika ile ajali. Ni tukio ambalo lilimuathiri sana Jackson kwani alimaliza mwaka mzima bila kufanya kitu chochote akiteswa na mawazo ya kuwapoteza wazazi wake wapendwa. Mpaka muda huo ndugu yake alikuwa ni Juma au Mr Decco kama watu wengi wamjuavyo pamoja na wafanya biashara wenzake. Ndiye mtu pekee aliekuwa na Jackson karibu akiwa kama mfariji wake na kumsaidia kusimamia baadhi ya miradi yake. Baada ya mwaka kuisha tangu wazazi wake wafariki ndipo Jackson alipo amua kuwatoa wafanyakazi wote ndani kwa kuwapa mitaji ya kwenda kuanza maisha yao, alitaka kusahau kila kitu ndio maana aliamua kuwatoa hao wafanyakazi wao, maana kila alivyokuwa anawaoana alikuwa anawakumbuka sana wazazi wake.

Mwaka haukuisha aliamua kumuoa mwanamke wake ambae alikuwa nae tangu akiwa chuoni, japo mwanamke huyo yeye alisomea Jomo Kenyatta University kilichopo nchini Kenya akichukua masomo yake ya sheria yaani Bachelor of Laws(LL.B). Hii ilikuwa ni kama kuutoa upweke na kuipata faraja mpya moyoni mwake. Mwanamke huyo hakuwa mwingine ni bibie Alice Jackson, ambae alikuwa ni mhitimu wa shahada ya sheria.

Baada ya kuoa ndio muda ambao Mr Decco alipohama na kwenda kuanza makazi yake mapya ambayo Jackson ndiye aliye mjengea kwa gharama kubwa sana kama ndugu yake mpaka leo hii Mr Decco ni miongoni mwa watu wenye pesa sana ndani ya jiji hili".

Alishusha pumzi ndefu sana baada ya kutoka kwenye kumbukumbu nzito ya kusisimua sana ya maisha yake yote na jinsi alivyo weza kufahamiana na mzee Jackson Aron ambae kwa sasa ni marehemu. Aliivuta sigara yake kwa mkupuo hali iliyo mpelekea kutoa moshi mwingi sana Mr Decco.

“utanisame sana rafiki angu kwa haya niliyo kufanyia najua haukustahili malipo haya kwa mema uliyo nifanyia lakini sina chaguo lingine zaidi ya hiki nilicho fanya, nenda salama mr Jackson japo najua huwezi kunisamehe ila ntajuaga namna ya kujitetea nikifika huko uliko tangulia” mr Decco aliongeza kisha akaondoka zake mahali hapo alipokaa kwa muda mrefu sana.

Tunarudi ndani ya Japan katika jiji la Osaka kwenye nyumba ya mzee Haruto, asubuhi na mapema sana calvin aliamshwa na Akio ili kuanza rasmi mazoezi yatakayo chukua takribani miaka miwili na zaidi, lengo ni kumuweka kijana sawa ili aweze kuikabili hatari kubwa sana iliyopo mbele yake, adhima kubwa ikiwa ni kulipa kisasi kwa wale wote ambao walikatisha maisha ya wazazi wake, aliapa kutomwacha hata mmja.

Akio alimchukua na kumpeleka kwenye chumba kimoja ambacho kilikuwa kikubwa sana ajabu kilikuwa kitupu yaani hakikuwa na kitu chochote ndani yake “here we go", iweke akili yako sawa na usahau kila kitu ulicho kiacha huko nje, hapa inahitajika akili yako kwa asilimia miamoja na kila sekunde kwani unaenda kufundishwa vitu vikubwa sana ambavyo kisheria mtu kama wewe hutakiwi kabisa kuvijua na ni kosa kubwa sana ikijulikana, sijajua ni kitu gani baba yako alimpa master mpaka akakubali kukufundisha kirahisi namna hii, haijawahi kutokea kabla, nina imani utakuwa ni kijana mwenye bahati sana” ni maneno aliyo yazungumza Akio akiwa siriasi sana tofauti na mwanzo alivyokuwa anatabasamu tangu amekutana na Calvin, hali hii hata Calvin ilimtisha sana akajua huko mbele wanakoelekea hakuna masiara hata kidogo...................je unadhani ni kitu gani ambacho bwana mdogo na tajiri mdogo huyu Calvin anaenda kufundishwa mpka ihitajike akili yake kwa asilimia mia moja na kila sekunde? Na ukurasa huu umekupa majibu kwamba juma ni nani..........ukurasa wa sita unafika tamati, ungana nami katika kurasa zinazofata. Hii ni ULIMWENGU WA WATU WABAYA mimi ni Bux the story teller.......ChaoView attachment 2262696
HADITHI: ULIMWENGU WA WATU WABAYA
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
MTUNZI: Bux the story teller
WHATSAP: 0621567672
AGE: 18+
UKURASA WA SABA

SEHEMU ILIYOPITA TULIPOSISHIA............

Tunarudi ndani ya Japan katika jiji la Osaka kwenye nyumba ya mzee Haruto, asubuhi na mapema sana calvin aliamshwa na Akio ili kuanza rasmi mazoezi yatakayo chukua takribani miaka miwili na zaidi, lengo ni kumuweka kijana sawa ili aweze kuikabili hatari kubwa sana iliyopo mbele yake, adhima kubwa ikiwa ni kulipa kisasi kwa wale wote ambao walikatisha maisha ya wazazi wake, aliapa kutomwacha hata mmja.

Akio alimchukua na kumpeleka kwenye chumba kimoja ambacho kilikuwa kikubwa sana ajabu kilikuwa kitupu yaani hakikuwa na kitu chochote ndani yake “here we go, iweke akili yako sawa na usahau kila kitu ulicho kiacha, hapa inahitajika akili yako kwa asilimia miamoja kila sekunde kwani unaenda kufundishwa vitu vikubwa sana ambavyo kisheria mtu kama wewe hutakiwi kabisa kuvijua na ni kosa kubwa sana ikijulikana, sijajua ni kitu gani baba yako alimpa master mpaka akakubali kukufundisha kirahisi namna hii, haijawahi kutokea kabla, nina imani utakuwa ni kijana mwenye bahati sana”. Ni maneno aliyo yazungumza Akio akiwa siriasi sana tofauti na mwanzo alivyokuwa anatabasamu tangu amekutana na Calvin, hali hii hata Calvin ilimtisha sana akajua huko mbele wanakoelekea hakuna masiara hata kidogo.

ENDELEA..................

“sawa nimekuelewa” alijibu kifupi Calvin.

“leo hautafanya zoezi lolote lile la kutumia nguvu ila nina ihitaji akili yako sana kama nilivyo kwambia mwanzo, leo ndio siku ya muhimu zaidi yawewe kukaa hapa kwani miaka yote miwili utakayo kuwa hapa itategemea kama utakielewa na kukizingatia hiki unacho enda kukiona na kujifunza leo, narudia tena kila neno ulielewe vema na ulihifadhi vema kwenye akili yako” yalikuwa maneno ya Akio, aliyaongeza kwa msisitizo sana huku amemkazia Calvin sura isiyokuwa na dalili yoyote ile ya mzaha.

ACHA COMMENT YAKO NA LIKE KURASA YANGU KISHA UNGANA NAMIMI MPKA MWISHO WA KIGONGO HIKI

“Mafunzo yako yatahusisha miaka miwili hapa, lakini ndani ya hiyo miaka miwili utafundishwa na watu watano tofauti, siwajui ni akina nani hao wengine zaidi ya master ambaye najua atakuwa wa mwisho kukufundisha ukishakomaa vya kutosha na usiniulize kwanini utafundishwa na watu wengi hivyo hata mimi sijui kwahiyo sitaki maswali, kama utakuwa na swali lolote la kumhusu master subiri mwaka uishe ndipo utakapo pata bahati ya kumwona tena utamuuliza” aliongea Akio

“haaaaaaaaaa unasema mwaka? Kivipi? Sijakuelewa, yani mtu nimetoka kukutana nae jana na anaishi hapa unasema nimuone mwaka?” alishangaa sana Calvin hivyo aliuliza maswali mengi sana kwa mkupuo.

“mhhhhhhh bwana mdogo kuna mambo mengi sana ambayo huyajui bado, **** una kumbu kumbu vizuri nimekwambia wewe una bahati sana, yule sio mtu wa kuoneka hovyo hovyo na ni binadamu wachache sana wanao mfahamu yule, hatufiki hata watano tunao mjua vizuri, yule ni urithi mkubwa wa hii dunia ambayo nchi nyingi kubwa duniani zinatamani zimpate ili ziutumie uwezo wake kwa maendeleo yao na nikuonye tu siku ukikutana nae chunga sana kinywa chako kwa sababu ukiongea vibaya hata neno moja tu kwake litakugharimu maisha yako yote, yule ni mtu hatari sana na hao wote unao waona wanafanya mazoezi ya hatari sana kule nje hakuna hata mmja ambae ashawahi kumwona wala kumjua, sitaki tena maswali” Akio alimalizia kumwelezea


“Au ndio sababu sikuelewa kilicho tokea kwenye gari, nikajikuta nimelala mpaka nakuja kushtuka tushafika, ina maana hii ni sehemu ya siri sana ambayo hatakiwi mtu yeyote kuweza kuifahamu. Calvin alitabasamu baada ya kulielewa hilo, akajua basi yupo sehemu salama sana japo pia ni ya hatari sana”

Akio aligusa ukutani likaja box la kioo lililo hitaji nywila{password} ili liweze kufunguka, kuna namba aliziingiza mara gafla pale katikati ya kile chumba kitupu ulitokea mlango mkubwa sana wenye kioo kigumu sana, Akio aliuendea akaweka mkono wake wa kushoto kama fingerprint kisha kuna maneno akayatamka kwa lugha ya kigiriki ambayo ilikuwa ngeni kabisa kwa Calvin aliyekuwa kwenye mshangao mkubwa sana kwa kile alicho kiona mbele yake na hakuelewa chochote hata ile lugha pia. Baada ya mlango kufunguka mbele yao zilitokea screen kubwa sana ambazo ziliwaka baada ya Akio kuongea maneno yake.

Mbele ya zile screen zote tano liliandikwa neno ESPIONAGE kwa lugha ya Kiswahili likiwa na maana ya UJASUSI Calvin alikuwa msomi kwahiyo haikumpa shida kuelewa,

“hili ndilo somo letu la leo, kabla hujaanza chochote kwanza unatakiwa uelewe ujasusi ni nini?”.

“Espionage au ujasusi asili yake ni ufaransa ambapo neno hili limetoka kwenye neno lifahamikalo kama espionner likimaanisha kupeleleza na mpelelezi alikuwa akiitwa espion. Ujasusi ni upelelezi ambao unahusisha upatikanaji wa taarifa za siri sana na za ndani sana kutoka kwenye vyanzo visivyo patikana kirahisi au ambavyo havina taarifa za moja kwa moja za wazi, lakini ukusanyaji wa hizo taarifa unakuwa hauna ruhusa yoyote ile kuweza kuufanya kutoka kwa mmiliki wa hizo taarifa. Kiufupi ni njia isiyo ya uhalali ya ukusanywaji wa taarifa za ndani na za siri, yaweza kuwa ni ndani ya nchi au nje ya nchi. Taarifa hizo zinalenga kuleta faida chanya zinazo onekana kwa maslahi mapana ya taifa, na mtu anae husika na hiyo kazi ya kijasusi anaitwa jasusi au Espionage agent. Hawa ni watu ambao huwa ni wa siri sana kutoka kwenye nyanja au taasisi nyeti sana hapa namaanisha idara za usalama wa taifa.

*************************************

Hawa ni watu wa siri zaidi ndani ya nchi na ndio wanao hakikisha nchi inakuwa salama kwa gharama yoyote ile ikiwabidi hata kukatisha maisha yao na ndio maana nchi nyingi sana zinatumia pesa nyingi kuweza kuwatengeneza hawa watu kwani ndio watu muhimu zaidi kwenye nchi ukimtoa Raisi wa nchi husika, mara nyingi hawa watu huwa wanatambulika tu kwa viongozi wao ambao ni wakurugenzi wa usalama wa taifa na wanaishi kwa code maalumu na sio majina yao, ni mara chache sana huwa wanajulikana kwa watu wengine au viongozi wengine ndani ya nchi labda ikitokea kuna dharura ya mhimu sana.

Hii huwa inahusisha sana mambo ya kijeshi au kisiasa ndiko sana ambako ujasusi umewekezwa sana kwa maana ndizo sehemu za muhimu zaidi kwenye nchi yeyote ile hapa duniani, ni kazi za hatari sana kwa sababu unampeleleza mtu au nchi bila ruhusa yake, kwahiyo ikitokea umekamatwa jua utateswa sana na utatakiwa utoe siri zote kitu ambacho umeapa kukilinda kwa maisha yako yote, ni bora ufe wewe mmja lakini sio kutoa taarifa za kuhatarisha taarifa za kuleta maafa na majonzi kwa maelfu ya watu.
Hivyo sheria ya kwanza ya ujasusi ni siri hata iwe nini awe nani ambae anatakiwa afe unatakiwa umuache afe lakini sio kutoa siri ya nchi ila kichwani mwako unapaswa uelewe kwamba ukikamatwa na kwa sasa nchi nyingi sana zinapiga vita sana hiki kitu kwa sababu kinahatarisha usalama wan nchi kwahyo adhabu yake ni mateso yasiyo vumilika, kufungwa jela au kuuawa. Haya ya leo yatunze sana kichwani mwako na usisahau hata kimoja kwa sababu ndiyo maisha ambayo unaenda kuyaishi mpaka unakufa” yalikuwa ni maelezo marefu sana kutoka kwa Akio akiwa anamfundisha bwanamdogo Calvin maana halisi ya ujasusi na mambo yaliyomo ndani yake.

“Daaaaah", aliongea baada kuhema kwa nguvu sana, aliogopa na kutetemeka huku anajifuta jasho kwa nguvu ingali mle ndani mlikuwa na kiyoyozi kikali, Calvin huku akijiwazia alijisemea “ina maana haya mambo ni magumu sana kiasi hiki, kumbe nchi zina mambo makubwa ya hatari kuhakikisha taifa linakuwa salama yaani ni bora hata uhai wa mtu utoke ili nchi iwe salama, hii ni hatari sana, hii ilimtisha mno”.
Hii hali Akio aliweza kuiona akaamua kutabasamu kwa mbali na kumwambia

“ kwa leo tumeishia hapa, kajiandae kesho rasmi ndo unaanza kuyafanyia kazi yale niliyotoka kukuelezea hapa nafikiri utakuwa umenisikiliza kwa makini sana na bila shaka umenielewa pia sana waweza kwenda” Alimaliza akio, jasusi huyu ambae amepewa amsimamie Calvin kwa miezi takribani nane kabla hajaja mtu mwingine kumfundisha mpaka watimie watu watano kwa takribani miaka miwili na zaidi ndipo atakapo ruhusiwa kuondoka.

Calvin aliondoka akiwa na mawazo sana kwa maana aliambiwa mambo ambayo kwake yalikuwa magumu na sasa akaelewa kwanii mzee Hiruto alimwambia hawezi kumruhusu mapema kwani anajua hatari iliyopo mbele yake, hiyo ikamuongezea nguvu ya kuweza kufanya mazoezi kwa nguvu zake zote na akili zake zote ili aweze kuwakabili watu walio leta maafa na majonzi kwenye familia yake.

Kijana Calvin rasmi sasa alianza kupata mafunzo ya hatari sana ya mapigano kwa ajili ya kuuimarisha vema mwili wake kuanzia kwenye mifupa mpaka utimamu wa akili. Alijifunza kwa spidi kali sana mpaka ilipo timia miezi mitano mbele, siku moja usiku Akio alimwita sehemu yenye uwazi kidogo ili waweze kuongea, Calvin alivyofika pale taa zote zilizimika ghafla, hii ilimtisha sana lakini mbele yake alimuona Akio akiwa amevaa nguo nyeusi za kininja na alimpa ishara amfate, lilikuwa ni giza kubwa sana hakuelewa wanapita wapi ila alikuja kushangaa wakiwa nje kabisa pembezoni mwa mto mmja mkubwa kukiwa kuna baadhi ya miti miti mirefu sana.

“Yamato ndilo jina la mto huu, ni mto wenye historia kubwa sana ndani ya nchi hii kutokana na kwamba ni jina la mlolongo wa sheria za urithishwaji wa madaraka katika nyumba za kiutawala za kifalme ndani ya Japan, ni mto wenye urefu wa takribani kilomita za mraba sitini na nane.

Nina historia kubwa sana na huu mto pamoja na huyo mzee Haruto, huu ndio mto ulio nifanya mimi nikakutana nae na nina sababu ya msingi ya kukuleta hapa, kwanza nataka unifahamu mimi ni nani kisha tutafanya hicho cha pili kilicho nifanya nikulete huku, je Akio ni nani? nini kilimkuta? ilikuaje? Na kwanini iwe ni kwenye huu mto?

UNGANA NAMI MPAKA MWISHO WA KIGONGO HIKI

Miaka kadhaa nyuma kama kumi na mitano iliyopita nilikuwa kijana mwenye umri wa miaka kumi na mitano, nimezaliwa katika miongoni mwa majimbo maarufu sana nchini marekani lijulikanalo kwa jina la Minessota.
Kwa bahati mbaya sana sikubahatika kuishi na baba yangu ambae kwake kamali ndiyo ilikuwa kila kitu, hakuwa na neno familia kwenye kichwa chake na kwa taarifa nilizo pewaga ni kwamba alishawahi kumiliki mali nyingi sana lakini kamali ikamfanya kuwa hohe hahe na bado aliendelea kuishi kwenye ndoa yake ya kamali, aliondoka nikiwa na miaka sita pekee na mpaka leo sijui kama yupo hai au alishakufa.

Nimeishi maisha yangu yote na mama yangu mzazi pekee, alikuwa anafanya shughuli za hatari na aibu sana ili mradi tu aweze kunisomesha, nilikuwa namheshimu sana yule mwanamke kuliko kitu chochote kile, basi siku moja aliniaga majira ya jioni kwamba anatoka mara moja na asingechelewa kurudi, lakini haikuwa kama vile alivyo niahidi ilipita siku nzima bila kurejea nyumbani mpaka kesho yake ambapo alikutwa akiwa amefanyiwa kitendo cha kinyama sana na kuuawa pembezoni mwa club moja pale jimboni, nililia sana kwa sababu yeye pekeake ndiye familia niliyokuwa nimebakiwa nayo na nilimpenda mno kiasi kwamba siwezi kuelezea. kwahiyo mpaka hapo nikawa sina familia tena na ilinibidi niishi kwa nguvu na akili zangu mimi mwenyewe kwenye hii dunia iliyo jaa dhuluma, hapo ndipo nilipokuja kubadilika hadi roho yangu na kuwa mtu nisiye na huruma hata kidogo kwa hawa wanao wanyanyasa watu bila hatia yoyote eti kwa sababu tu wao wana pesa na nguvu, tokea hapo nilikuja kuwa mtu mkatili sana.

Nini kilitokea kwenye maisha ya Akio? kutoka Marekani alikuja kuhusiana vipi na mto Yamato uliopo Japan?............... ukurasa wa Saba unafika tamati, tukutane katika kurasa zijazo. Hii ni ULIMWENGU WA WATU WABAYA na mimi ni Bux the story teller.... Chao
FB_IMG_16552345001562406.jpg
 
HADITHI: ULIMWENGU WA WATU WABAYA
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
MTUNZI: Bux the story teller
WHATSAP: 0621567672
AGE: 18+
UKURASA WA SABA

SEHEMU ILIYOPITA TULIPOSISHIA............

Tunarudi ndani ya Japan katika jiji la Osaka kwenye nyumba ya mzee Haruto, asubuhi na mapema sana calvin aliamshwa na Akio ili kuanza rasmi mazoezi yatakayo chukua takribani miaka miwili na zaidi, lengo ni kumuweka kijana sawa ili aweze kuikabili hatari kubwa sana iliyopo mbele yake, adhima kubwa ikiwa ni kulipa kisasi kwa wale wote ambao walikatisha maisha ya wazazi wake, aliapa kutomwacha hata mmja.

Akio alimchukua na kumpeleka kwenye chumba kimoja ambacho kilikuwa kikubwa sana ajabu kilikuwa kitupu yaani hakikuwa na kitu chochote ndani yake “here we go, iweke akili yako sawa na usahau kila kitu ulicho kiacha, hapa inahitajika akili yako kwa asilimia miamoja kila sekunde kwani unaenda kufundishwa vitu vikubwa sana ambavyo kisheria mtu kama wewe hutakiwi kabisa kuvijua na ni kosa kubwa sana ikijulikana, sijajua ni kitu gani baba yako alimpa master mpaka akakubali kukufundisha kirahisi namna hii, haijawahi kutokea kabla, nina imani utakuwa ni kijana mwenye bahati sana”. Ni maneno aliyo yazungumza Akio akiwa siriasi sana tofauti na mwanzo alivyokuwa anatabasamu tangu amekutana na Calvin, hali hii hata Calvin ilimtisha sana akajua huko mbele wanakoelekea hakuna masiara hata kidogo.

ENDELEA..................

“sawa nimekuelewa” alijibu kifupi Calvin.

“leo hautafanya zoezi lolote lile la kutumia nguvu ila nina ihitaji akili yako sana kama nilivyo kwambia mwanzo, leo ndio siku ya muhimu zaidi yawewe kukaa hapa kwani miaka yote miwili utakayo kuwa hapa itategemea kama utakielewa na kukizingatia hiki unacho enda kukiona na kujifunza leo, narudia tena kila neno ulielewe vema na ulihifadhi vema kwenye akili yako” yalikuwa maneno ya Akio, aliyaongeza kwa msisitizo sana huku amemkazia Calvin sura isiyokuwa na dalili yoyote ile ya mzaha.

ACHA COMMENT YAKO NA LIKE KURASA YANGU KISHA UNGANA NAMIMI MPKA MWISHO WA KIGONGO HIKI

“Mafunzo yako yatahusisha miaka miwili hapa, lakini ndani ya hiyo miaka miwili utafundishwa na watu watano tofauti, siwajui ni akina nani hao wengine zaidi ya master ambaye najua atakuwa wa mwisho kukufundisha ukishakomaa vya kutosha na usiniulize kwanini utafundishwa na watu wengi hivyo hata mimi sijui kwahiyo sitaki maswali, kama utakuwa na swali lolote la kumhusu master subiri mwaka uishe ndipo utakapo pata bahati ya kumwona tena utamuuliza” aliongea Akio

“haaaaaaaaaa unasema mwaka? Kivipi? Sijakuelewa, yani mtu nimetoka kukutana nae jana na anaishi hapa unasema nimuone mwaka?” alishangaa sana Calvin hivyo aliuliza maswali mengi sana kwa mkupuo.

“mhhhhhhh bwana mdogo kuna mambo mengi sana ambayo huyajui bado, **** una kumbu kumbu vizuri nimekwambia wewe una bahati sana, yule sio mtu wa kuoneka hovyo hovyo na ni binadamu wachache sana wanao mfahamu yule, hatufiki hata watano tunao mjua vizuri, yule ni urithi mkubwa wa hii dunia ambayo nchi nyingi kubwa duniani zinatamani zimpate ili ziutumie uwezo wake kwa maendeleo yao na nikuonye tu siku ukikutana nae chunga sana kinywa chako kwa sababu ukiongea vibaya hata neno moja tu kwake litakugharimu maisha yako yote, yule ni mtu hatari sana na hao wote unao waona wanafanya mazoezi ya hatari sana kule nje hakuna hata mmja ambae ashawahi kumwona wala kumjua, sitaki tena maswali” Akio alimalizia kumwelezea


“Au ndio sababu sikuelewa kilicho tokea kwenye gari, nikajikuta nimelala mpaka nakuja kushtuka tushafika, ina maana hii ni sehemu ya siri sana ambayo hatakiwi mtu yeyote kuweza kuifahamu. Calvin alitabasamu baada ya kulielewa hilo, akajua basi yupo sehemu salama sana japo pia ni ya hatari sana”

Akio aligusa ukutani likaja box la kioo lililo hitaji nywila{password} ili liweze kufunguka, kuna namba aliziingiza mara gafla pale katikati ya kile chumba kitupu ulitokea mlango mkubwa sana wenye kioo kigumu sana, Akio aliuendea akaweka mkono wake wa kushoto kama fingerprint kisha kuna maneno akayatamka kwa lugha ya kigiriki ambayo ilikuwa ngeni kabisa kwa Calvin aliyekuwa kwenye mshangao mkubwa sana kwa kile alicho kiona mbele yake na hakuelewa chochote hata ile lugha pia. Baada ya mlango kufunguka mbele yao zilitokea screen kubwa sana ambazo ziliwaka baada ya Akio kuongea maneno yake.

Mbele ya zile screen zote tano liliandikwa neno ESPIONAGE kwa lugha ya Kiswahili likiwa na maana ya UJASUSI Calvin alikuwa msomi kwahiyo haikumpa shida kuelewa,

“hili ndilo somo letu la leo, kabla hujaanza chochote kwanza unatakiwa uelewe ujasusi ni nini?”.

“Espionage au ujasusi asili yake ni ufaransa ambapo neno hili limetoka kwenye neno lifahamikalo kama espionner likimaanisha kupeleleza na mpelelezi alikuwa akiitwa espion. Ujasusi ni upelelezi ambao unahusisha upatikanaji wa taarifa za siri sana na za ndani sana kutoka kwenye vyanzo visivyo patikana kirahisi au ambavyo havina taarifa za moja kwa moja za wazi, lakini ukusanyaji wa hizo taarifa unakuwa hauna ruhusa yoyote ile kuweza kuufanya kutoka kwa mmiliki wa hizo taarifa. Kiufupi ni njia isiyo ya uhalali ya ukusanywaji wa taarifa za ndani na za siri, yaweza kuwa ni ndani ya nchi au nje ya nchi. Taarifa hizo zinalenga kuleta faida chanya zinazo onekana kwa maslahi mapana ya taifa, na mtu anae husika na hiyo kazi ya kijasusi anaitwa jasusi au Espionage agent. Hawa ni watu ambao huwa ni wa siri sana kutoka kwenye nyanja au taasisi nyeti sana hapa namaanisha idara za usalama wa taifa.

*************************************

Hawa ni watu wa siri zaidi ndani ya nchi na ndio wanao hakikisha nchi inakuwa salama kwa gharama yoyote ile ikiwabidi hata kukatisha maisha yao na ndio maana nchi nyingi sana zinatumia pesa nyingi kuweza kuwatengeneza hawa watu kwani ndio watu muhimu zaidi kwenye nchi ukimtoa Raisi wa nchi husika, mara nyingi hawa watu huwa wanatambulika tu kwa viongozi wao ambao ni wakurugenzi wa usalama wa taifa na wanaishi kwa code maalumu na sio majina yao, ni mara chache sana huwa wanajulikana kwa watu wengine au viongozi wengine ndani ya nchi labda ikitokea kuna dharura ya mhimu sana.

Hii huwa inahusisha sana mambo ya kijeshi au kisiasa ndiko sana ambako ujasusi umewekezwa sana kwa maana ndizo sehemu za muhimu zaidi kwenye nchi yeyote ile hapa duniani, ni kazi za hatari sana kwa sababu unampeleleza mtu au nchi bila ruhusa yake, kwahiyo ikitokea umekamatwa jua utateswa sana na utatakiwa utoe siri zote kitu ambacho umeapa kukilinda kwa maisha yako yote, ni bora ufe wewe mmja lakini sio kutoa taarifa za kuhatarisha taarifa za kuleta maafa na majonzi kwa maelfu ya watu.
Hivyo sheria ya kwanza ya ujasusi ni siri hata iwe nini awe nani ambae anatakiwa afe unatakiwa umuache afe lakini sio kutoa siri ya nchi ila kichwani mwako unapaswa uelewe kwamba ukikamatwa na kwa sasa nchi nyingi sana zinapiga vita sana hiki kitu kwa sababu kinahatarisha usalama wan nchi kwahyo adhabu yake ni mateso yasiyo vumilika, kufungwa jela au kuuawa. Haya ya leo yatunze sana kichwani mwako na usisahau hata kimoja kwa sababu ndiyo maisha ambayo unaenda kuyaishi mpaka unakufa” yalikuwa ni maelezo marefu sana kutoka kwa Akio akiwa anamfundisha bwanamdogo Calvin maana halisi ya ujasusi na mambo yaliyomo ndani yake.

“Daaaaah", aliongea baada kuhema kwa nguvu sana, aliogopa na kutetemeka huku anajifuta jasho kwa nguvu ingali mle ndani mlikuwa na kiyoyozi kikali, Calvin huku akijiwazia alijisemea “ina maana haya mambo ni magumu sana kiasi hiki, kumbe nchi zina mambo makubwa ya hatari kuhakikisha taifa linakuwa salama yaani ni bora hata uhai wa mtu utoke ili nchi iwe salama, hii ni hatari sana, hii ilimtisha mno”.
Hii hali Akio aliweza kuiona akaamua kutabasamu kwa mbali na kumwambia

“ kwa leo tumeishia hapa, kajiandae kesho rasmi ndo unaanza kuyafanyia kazi yale niliyotoka kukuelezea hapa nafikiri utakuwa umenisikiliza kwa makini sana na bila shaka umenielewa pia sana waweza kwenda” Alimaliza akio, jasusi huyu ambae amepewa amsimamie Calvin kwa miezi takribani nane kabla hajaja mtu mwingine kumfundisha mpaka watimie watu watano kwa takribani miaka miwili na zaidi ndipo atakapo ruhusiwa kuondoka.

Calvin aliondoka akiwa na mawazo sana kwa maana aliambiwa mambo ambayo kwake yalikuwa magumu na sasa akaelewa kwanii mzee Hiruto alimwambia hawezi kumruhusu mapema kwani anajua hatari iliyopo mbele yake, hiyo ikamuongezea nguvu ya kuweza kufanya mazoezi kwa nguvu zake zote na akili zake zote ili aweze kuwakabili watu walio leta maafa na majonzi kwenye familia yake.

Kijana Calvin rasmi sasa alianza kupata mafunzo ya hatari sana ya mapigano kwa ajili ya kuuimarisha vema mwili wake kuanzia kwenye mifupa mpaka utimamu wa akili. Alijifunza kwa spidi kali sana mpaka ilipo timia miezi mitano mbele, siku moja usiku Akio alimwita sehemu yenye uwazi kidogo ili waweze kuongea, Calvin alivyofika pale taa zote zilizimika ghafla, hii ilimtisha sana lakini mbele yake alimuona Akio akiwa amevaa nguo nyeusi za kininja na alimpa ishara amfate, lilikuwa ni giza kubwa sana hakuelewa wanapita wapi ila alikuja kushangaa wakiwa nje kabisa pembezoni mwa mto mmja mkubwa kukiwa kuna baadhi ya miti miti mirefu sana.

“Yamato ndilo jina la mto huu, ni mto wenye historia kubwa sana ndani ya nchi hii kutokana na kwamba ni jina la mlolongo wa sheria za urithishwaji wa madaraka katika nyumba za kiutawala za kifalme ndani ya Japan, ni mto wenye urefu wa takribani kilomita za mraba sitini na nane.

Nina historia kubwa sana na huu mto pamoja na huyo mzee Haruto, huu ndio mto ulio nifanya mimi nikakutana nae na nina sababu ya msingi ya kukuleta hapa, kwanza nataka unifahamu mimi ni nani kisha tutafanya hicho cha pili kilicho nifanya nikulete huku, je Akio ni nani? nini kilimkuta? ilikuaje? Na kwanini iwe ni kwenye huu mto?

UNGANA NAMI MPAKA MWISHO WA KIGONGO HIKI

Miaka kadhaa nyuma kama kumi na mitano iliyopita nilikuwa kijana mwenye umri wa miaka kumi na mitano, nimezaliwa katika miongoni mwa majimbo maarufu sana nchini marekani lijulikanalo kwa jina la Minessota.
Kwa bahati mbaya sana sikubahatika kuishi na baba yangu ambae kwake kamali ndiyo ilikuwa kila kitu, hakuwa na neno familia kwenye kichwa chake na kwa taarifa nilizo pewaga ni kwamba alishawahi kumiliki mali nyingi sana lakini kamali ikamfanya kuwa hohe hahe na bado aliendelea kuishi kwenye ndoa yake ya kamali, aliondoka nikiwa na miaka sita pekee na mpaka leo sijui kama yupo hai au alishakufa.

Nimeishi maisha yangu yote na mama yangu mzazi pekee, alikuwa anafanya shughuli za hatari na aibu sana ili mradi tu aweze kunisomesha, nilikuwa namheshimu sana yule mwanamke kuliko kitu chochote kile, basi siku moja aliniaga majira ya jioni kwamba anatoka mara moja na asingechelewa kurudi, lakini haikuwa kama vile alivyo niahidi ilipita siku nzima bila kurejea nyumbani mpaka kesho yake ambapo alikutwa akiwa amefanyiwa kitendo cha kinyama sana na kuuawa pembezoni mwa club moja pale jimboni, nililia sana kwa sababu yeye pekeake ndiye familia niliyokuwa nimebakiwa nayo na nilimpenda mno kiasi kwamba siwezi kuelezea. kwahiyo mpaka hapo nikawa sina familia tena na ilinibidi niishi kwa nguvu na akili zangu mimi mwenyewe kwenye hii dunia iliyo jaa dhuluma, hapo ndipo nilipokuja kubadilika hadi roho yangu na kuwa mtu nisiye na huruma hata kidogo kwa hawa wanao wanyanyasa watu bila hatia yoyote eti kwa sababu tu wao wana pesa na nguvu, tokea hapo nilikuja kuwa mtu mkatili sana.

Nini kilitokea kwenye maisha ya Akio? kutoka Marekani alikuja kuhusiana vipi na mto Yamato uliopo Japan?............... ukurasa wa Saba unafika tamati, tukutane katika kurasa zijazo. Hii ni ULIMWENGU WA WATU WABAYA na mimi ni Bux the story teller.... ChaoView attachment 2264040
Shukran mkuu
 
HADITHI: ULIMWENGU WA WATU WABAYA
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
MTUNZI: Bux the story teller
WHATSAP: 0621567672
AGE: 18+
UKURASA WA SABA

SEHEMU ILIYOPITA TULIPOSISHIA............

Tunarudi ndani ya Japan katika jiji la Osaka kwenye nyumba ya mzee Haruto, asubuhi na mapema sana calvin aliamshwa na Akio ili kuanza rasmi mazoezi yatakayo chukua takribani miaka miwili na zaidi, lengo ni kumuweka kijana sawa ili aweze kuikabili hatari kubwa sana iliyopo mbele yake, adhima kubwa ikiwa ni kulipa kisasi kwa wale wote ambao walikatisha maisha ya wazazi wake, aliapa kutomwacha hata mmja.

Akio alimchukua na kumpeleka kwenye chumba kimoja ambacho kilikuwa kikubwa sana ajabu kilikuwa kitupu yaani hakikuwa na kitu chochote ndani yake “here we go, iweke akili yako sawa na usahau kila kitu ulicho kiacha, hapa inahitajika akili yako kwa asilimia miamoja kila sekunde kwani unaenda kufundishwa vitu vikubwa sana ambavyo kisheria mtu kama wewe hutakiwi kabisa kuvijua na ni kosa kubwa sana ikijulikana, sijajua ni kitu gani baba yako alimpa master mpaka akakubali kukufundisha kirahisi namna hii, haijawahi kutokea kabla, nina imani utakuwa ni kijana mwenye bahati sana”. Ni maneno aliyo yazungumza Akio akiwa siriasi sana tofauti na mwanzo alivyokuwa anatabasamu tangu amekutana na Calvin, hali hii hata Calvin ilimtisha sana akajua huko mbele wanakoelekea hakuna masiara hata kidogo.

ENDELEA..................

“sawa nimekuelewa” alijibu kifupi Calvin.

“leo hautafanya zoezi lolote lile la kutumia nguvu ila nina ihitaji akili yako sana kama nilivyo kwambia mwanzo, leo ndio siku ya muhimu zaidi yawewe kukaa hapa kwani miaka yote miwili utakayo kuwa hapa itategemea kama utakielewa na kukizingatia hiki unacho enda kukiona na kujifunza leo, narudia tena kila neno ulielewe vema na ulihifadhi vema kwenye akili yako” yalikuwa maneno ya Akio, aliyaongeza kwa msisitizo sana huku amemkazia Calvin sura isiyokuwa na dalili yoyote ile ya mzaha.

ACHA COMMENT YAKO NA LIKE KURASA YANGU KISHA UNGANA NAMIMI MPKA MWISHO WA KIGONGO HIKI

“Mafunzo yako yatahusisha miaka miwili hapa, lakini ndani ya hiyo miaka miwili utafundishwa na watu watano tofauti, siwajui ni akina nani hao wengine zaidi ya master ambaye najua atakuwa wa mwisho kukufundisha ukishakomaa vya kutosha na usiniulize kwanini utafundishwa na watu wengi hivyo hata mimi sijui kwahiyo sitaki maswali, kama utakuwa na swali lolote la kumhusu master subiri mwaka uishe ndipo utakapo pata bahati ya kumwona tena utamuuliza” aliongea Akio

“haaaaaaaaaa unasema mwaka? Kivipi? Sijakuelewa, yani mtu nimetoka kukutana nae jana na anaishi hapa unasema nimuone mwaka?” alishangaa sana Calvin hivyo aliuliza maswali mengi sana kwa mkupuo.

“mhhhhhhh bwana mdogo kuna mambo mengi sana ambayo huyajui bado, **** una kumbu kumbu vizuri nimekwambia wewe una bahati sana, yule sio mtu wa kuoneka hovyo hovyo na ni binadamu wachache sana wanao mfahamu yule, hatufiki hata watano tunao mjua vizuri, yule ni urithi mkubwa wa hii dunia ambayo nchi nyingi kubwa duniani zinatamani zimpate ili ziutumie uwezo wake kwa maendeleo yao na nikuonye tu siku ukikutana nae chunga sana kinywa chako kwa sababu ukiongea vibaya hata neno moja tu kwake litakugharimu maisha yako yote, yule ni mtu hatari sana na hao wote unao waona wanafanya mazoezi ya hatari sana kule nje hakuna hata mmja ambae ashawahi kumwona wala kumjua, sitaki tena maswali” Akio alimalizia kumwelezea


“Au ndio sababu sikuelewa kilicho tokea kwenye gari, nikajikuta nimelala mpaka nakuja kushtuka tushafika, ina maana hii ni sehemu ya siri sana ambayo hatakiwi mtu yeyote kuweza kuifahamu. Calvin alitabasamu baada ya kulielewa hilo, akajua basi yupo sehemu salama sana japo pia ni ya hatari sana”

Akio aligusa ukutani likaja box la kioo lililo hitaji nywila{password} ili liweze kufunguka, kuna namba aliziingiza mara gafla pale katikati ya kile chumba kitupu ulitokea mlango mkubwa sana wenye kioo kigumu sana, Akio aliuendea akaweka mkono wake wa kushoto kama fingerprint kisha kuna maneno akayatamka kwa lugha ya kigiriki ambayo ilikuwa ngeni kabisa kwa Calvin aliyekuwa kwenye mshangao mkubwa sana kwa kile alicho kiona mbele yake na hakuelewa chochote hata ile lugha pia. Baada ya mlango kufunguka mbele yao zilitokea screen kubwa sana ambazo ziliwaka baada ya Akio kuongea maneno yake.

Mbele ya zile screen zote tano liliandikwa neno ESPIONAGE kwa lugha ya Kiswahili likiwa na maana ya UJASUSI Calvin alikuwa msomi kwahiyo haikumpa shida kuelewa,

“hili ndilo somo letu la leo, kabla hujaanza chochote kwanza unatakiwa uelewe ujasusi ni nini?”.

“Espionage au ujasusi asili yake ni ufaransa ambapo neno hili limetoka kwenye neno lifahamikalo kama espionner likimaanisha kupeleleza na mpelelezi alikuwa akiitwa espion. Ujasusi ni upelelezi ambao unahusisha upatikanaji wa taarifa za siri sana na za ndani sana kutoka kwenye vyanzo visivyo patikana kirahisi au ambavyo havina taarifa za moja kwa moja za wazi, lakini ukusanyaji wa hizo taarifa unakuwa hauna ruhusa yoyote ile kuweza kuufanya kutoka kwa mmiliki wa hizo taarifa. Kiufupi ni njia isiyo ya uhalali ya ukusanywaji wa taarifa za ndani na za siri, yaweza kuwa ni ndani ya nchi au nje ya nchi. Taarifa hizo zinalenga kuleta faida chanya zinazo onekana kwa maslahi mapana ya taifa, na mtu anae husika na hiyo kazi ya kijasusi anaitwa jasusi au Espionage agent. Hawa ni watu ambao huwa ni wa siri sana kutoka kwenye nyanja au taasisi nyeti sana hapa namaanisha idara za usalama wa taifa.

*************************************

Hawa ni watu wa siri zaidi ndani ya nchi na ndio wanao hakikisha nchi inakuwa salama kwa gharama yoyote ile ikiwabidi hata kukatisha maisha yao na ndio maana nchi nyingi sana zinatumia pesa nyingi kuweza kuwatengeneza hawa watu kwani ndio watu muhimu zaidi kwenye nchi ukimtoa Raisi wa nchi husika, mara nyingi hawa watu huwa wanatambulika tu kwa viongozi wao ambao ni wakurugenzi wa usalama wa taifa na wanaishi kwa code maalumu na sio majina yao, ni mara chache sana huwa wanajulikana kwa watu wengine au viongozi wengine ndani ya nchi labda ikitokea kuna dharura ya mhimu sana.

Hii huwa inahusisha sana mambo ya kijeshi au kisiasa ndiko sana ambako ujasusi umewekezwa sana kwa maana ndizo sehemu za muhimu zaidi kwenye nchi yeyote ile hapa duniani, ni kazi za hatari sana kwa sababu unampeleleza mtu au nchi bila ruhusa yake, kwahiyo ikitokea umekamatwa jua utateswa sana na utatakiwa utoe siri zote kitu ambacho umeapa kukilinda kwa maisha yako yote, ni bora ufe wewe mmja lakini sio kutoa taarifa za kuhatarisha taarifa za kuleta maafa na majonzi kwa maelfu ya watu.
Hivyo sheria ya kwanza ya ujasusi ni siri hata iwe nini awe nani ambae anatakiwa afe unatakiwa umuache afe lakini sio kutoa siri ya nchi ila kichwani mwako unapaswa uelewe kwamba ukikamatwa na kwa sasa nchi nyingi sana zinapiga vita sana hiki kitu kwa sababu kinahatarisha usalama wan nchi kwahyo adhabu yake ni mateso yasiyo vumilika, kufungwa jela au kuuawa. Haya ya leo yatunze sana kichwani mwako na usisahau hata kimoja kwa sababu ndiyo maisha ambayo unaenda kuyaishi mpaka unakufa” yalikuwa ni maelezo marefu sana kutoka kwa Akio akiwa anamfundisha bwanamdogo Calvin maana halisi ya ujasusi na mambo yaliyomo ndani yake.

“Daaaaah", aliongea baada kuhema kwa nguvu sana, aliogopa na kutetemeka huku anajifuta jasho kwa nguvu ingali mle ndani mlikuwa na kiyoyozi kikali, Calvin huku akijiwazia alijisemea “ina maana haya mambo ni magumu sana kiasi hiki, kumbe nchi zina mambo makubwa ya hatari kuhakikisha taifa linakuwa salama yaani ni bora hata uhai wa mtu utoke ili nchi iwe salama, hii ni hatari sana, hii ilimtisha mno”.
Hii hali Akio aliweza kuiona akaamua kutabasamu kwa mbali na kumwambia

“ kwa leo tumeishia hapa, kajiandae kesho rasmi ndo unaanza kuyafanyia kazi yale niliyotoka kukuelezea hapa nafikiri utakuwa umenisikiliza kwa makini sana na bila shaka umenielewa pia sana waweza kwenda” Alimaliza akio, jasusi huyu ambae amepewa amsimamie Calvin kwa miezi takribani nane kabla hajaja mtu mwingine kumfundisha mpaka watimie watu watano kwa takribani miaka miwili na zaidi ndipo atakapo ruhusiwa kuondoka.

Calvin aliondoka akiwa na mawazo sana kwa maana aliambiwa mambo ambayo kwake yalikuwa magumu na sasa akaelewa kwanii mzee Hiruto alimwambia hawezi kumruhusu mapema kwani anajua hatari iliyopo mbele yake, hiyo ikamuongezea nguvu ya kuweza kufanya mazoezi kwa nguvu zake zote na akili zake zote ili aweze kuwakabili watu walio leta maafa na majonzi kwenye familia yake.

Kijana Calvin rasmi sasa alianza kupata mafunzo ya hatari sana ya mapigano kwa ajili ya kuuimarisha vema mwili wake kuanzia kwenye mifupa mpaka utimamu wa akili. Alijifunza kwa spidi kali sana mpaka ilipo timia miezi mitano mbele, siku moja usiku Akio alimwita sehemu yenye uwazi kidogo ili waweze kuongea, Calvin alivyofika pale taa zote zilizimika ghafla, hii ilimtisha sana lakini mbele yake alimuona Akio akiwa amevaa nguo nyeusi za kininja na alimpa ishara amfate, lilikuwa ni giza kubwa sana hakuelewa wanapita wapi ila alikuja kushangaa wakiwa nje kabisa pembezoni mwa mto mmja mkubwa kukiwa kuna baadhi ya miti miti mirefu sana.

“Yamato ndilo jina la mto huu, ni mto wenye historia kubwa sana ndani ya nchi hii kutokana na kwamba ni jina la mlolongo wa sheria za urithishwaji wa madaraka katika nyumba za kiutawala za kifalme ndani ya Japan, ni mto wenye urefu wa takribani kilomita za mraba sitini na nane.

Nina historia kubwa sana na huu mto pamoja na huyo mzee Haruto, huu ndio mto ulio nifanya mimi nikakutana nae na nina sababu ya msingi ya kukuleta hapa, kwanza nataka unifahamu mimi ni nani kisha tutafanya hicho cha pili kilicho nifanya nikulete huku, je Akio ni nani? nini kilimkuta? ilikuaje? Na kwanini iwe ni kwenye huu mto?

UNGANA NAMI MPAKA MWISHO WA KIGONGO HIKI

Miaka kadhaa nyuma kama kumi na mitano iliyopita nilikuwa kijana mwenye umri wa miaka kumi na mitano, nimezaliwa katika miongoni mwa majimbo maarufu sana nchini marekani lijulikanalo kwa jina la Minessota.
Kwa bahati mbaya sana sikubahatika kuishi na baba yangu ambae kwake kamali ndiyo ilikuwa kila kitu, hakuwa na neno familia kwenye kichwa chake na kwa taarifa nilizo pewaga ni kwamba alishawahi kumiliki mali nyingi sana lakini kamali ikamfanya kuwa hohe hahe na bado aliendelea kuishi kwenye ndoa yake ya kamali, aliondoka nikiwa na miaka sita pekee na mpaka leo sijui kama yupo hai au alishakufa.

Nimeishi maisha yangu yote na mama yangu mzazi pekee, alikuwa anafanya shughuli za hatari na aibu sana ili mradi tu aweze kunisomesha, nilikuwa namheshimu sana yule mwanamke kuliko kitu chochote kile, basi siku moja aliniaga majira ya jioni kwamba anatoka mara moja na asingechelewa kurudi, lakini haikuwa kama vile alivyo niahidi ilipita siku nzima bila kurejea nyumbani mpaka kesho yake ambapo alikutwa akiwa amefanyiwa kitendo cha kinyama sana na kuuawa pembezoni mwa club moja pale jimboni, nililia sana kwa sababu yeye pekeake ndiye familia niliyokuwa nimebakiwa nayo na nilimpenda mno kiasi kwamba siwezi kuelezea. kwahiyo mpaka hapo nikawa sina familia tena na ilinibidi niishi kwa nguvu na akili zangu mimi mwenyewe kwenye hii dunia iliyo jaa dhuluma, hapo ndipo nilipokuja kubadilika hadi roho yangu na kuwa mtu nisiye na huruma hata kidogo kwa hawa wanao wanyanyasa watu bila hatia yoyote eti kwa sababu tu wao wana pesa na nguvu, tokea hapo nilikuja kuwa mtu mkatili sana.

Nini kilitokea kwenye maisha ya Akio? kutoka Marekani alikuja kuhusiana vipi na mto Yamato uliopo Japan?............... ukurasa wa Saba unafika tamati, tukutane katika kurasa zijazo. Hii ni ULIMWENGU WA WATU WABAYA na mimi ni Bux the story teller.... ChaoView attachment 2264040
HADITHI: ULIMWENGU WA WATU WABAYA
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
MTUNZI: Bux the story teller
WHATSAP: 0621567672
AGE: 18+
UKURASA WA NANE

SEHEMU ILIYOPITA TULIPOSISHIA............

Nimeishi maisha yangu yote na mama yangu mzazi pekee, alikuwa anafanya shughuli za hatari na aibu sana ili mradi tu aweze kunisomesha, nilikuwa namheshimu sana yule mwanamke kuliko kitu chochote kile, basi siku moja aliniaga majira ya jioni kwamba anatoka mara moja na asingechelewa kurudi, lakini haikuwa kama vile alivyo niahidi ilipita siku nzima bila kurejea nyumbani mpaka kesho yake ambapo alikutwa akiwa amefanyiwa kitendo cha kinyama sana na kuuawa pembezoni mwa club moja pale jimboni, nililia sana kwa sababu yeye pekeake ndiye familia niliyokuwa nimebakiwa nayo na nilimpenda mno kiasi kwamba siwezi kuelezea. kwahiyo mpaka hapo nikawa sina familia tena na ilinibidi niishi kwa nguvu na akili zangu mimi mwenyewe kwenye hii dunia iliyo jaa dhuluma, hapo ndipo nilipokuja kubadilika hadi roho yangu na kuwa mtu nisiye na huruma hata kidogo kwa hawa wanao wanyanyasa watu bila hatia yoyote eti kwa sababu tu wao wana pesa na nguvu, tokea hapo nilikuja kuwa mtu mkatili sana.

ENDELEA........................

Hiyo ndiyo sababu iliyo nishawishi kujiunga na jeshi ili siku moja nije niwatafute wabaya wangu pamoja na kuwa na nguvu ya kutosha ili kuweza kuishi hapa duniani na hawa walimwengu wenye tamaa sana.
Nilijiunga na jeshi rasmi, kutokana na bidi yangu nilichaguliwa miaka mitano mbele kwenda kupata mafunzo ,maalumu ya kijasusi ili kuja kuilinda nchi ya marekani kwa baadae, tuliondoka vijana mia moja lakini kutokana na mateso makali ya moja ya misitu hatari zaidi ulimwenguni na ndio msitu mkubwa zaidi, msitu wa Amazon ambako ndiko tuliko pelekwa kwa siri bila kujua tuko wapi maana hata mimi nilikuja kujua baada ya miaka mitatu kumaliza mafunzo ya hatari sana, ni msitu unao tisha sana na ni msitu wenye viumbe vya hatari zaidi duniani, basi wenzetu wote tisini walifia kule na hakuna mtu alie kuwa na muda nao walitupwa kama mizoga.

Nakumbuka tulivyofika nyumbani rasimi tukaingizwa kwenye shirika kubwa zaidi na maarufu zaidi la kijasusi duniani la CIA{Central Intelligence Agency} na huko kuna watu wenye akili na uwezo mkubwa sana ila wanafanya kazi kwa siri kubwa mno, hawa kuwajua itakulazimu uwe na akili kubwa kumzidi huyo unae mpeleleza.

Huo ukawa mwanzo wa kazi yangu rasmi ya ujasusi na mission yangu ya kwanza ilikuwa ni kwenda Afghanstan kumpeleleza gaidi mmja hatari sana aliye kuwa anaitwa Omar Bin Umar pamoja na kuwakomboa wanafunzi hamsini wa nchi ya marekani walio kuwa wametekwa na gaidi huyo ambaye makazi na ngome yake yalikuwa hayajulikani yalipo. Ilinichukua miezi sita tu nikawa nimemaliza kazi, kiongozi wangu alinipongeza sana kwani nilitumia muda mchache sana kuitekeleza kazi ambayo walidhania itachukua zaidi ya mwaka mmja. Alinambia nimepata likizo kwahiyo nichague nchi ninayo itaka mimi kwenda nikapumzike huko kwa miezi sita kisha nitaitwa tena, alinikabidhi pesa nyingi sana ambazo hata nisingefanya kazi kwa miaka kumi nisingezimaliza.

Nilikubali na kuaga kwamba naenda Australia lakini haikuwa hivyo ule muda niliopewa likizo nilitaka kuutumia kufanya uchunguzi ili nijue ni nani alihusika na unyama ule kwa mama angu, ni kitu ambacho niliishi nacho moyoni mwangu kwa siri na maumivu makubwa sana, nilianza kuishi kwa siri sana huku kiongozi wangu akijua nimeenda Australia. Baada ya mwezi mmoja kuna mhudumu mmja wa club ile nilimbana na akakubali kwamba ni kweli ile siku mama angu alienda hapo na baadae aliondoka na mwanaume mmja ambae hakujulikana ni nani ila huwa anakuja hapo kila ijumaa usiku kwa siri sana, basi nilimpa pesa nyingi sana na kumuomba anisaidie kunionyesha huyo mtu akakubali. Ijumaa ilifika niliwahi kufika pale mapema sana na kuagiza kinywaji changu nikawa nazuga, kweli baadae sana alikuja kuniita na kunionyesha mtu mmja ambae nilimuona kavaa suti ya bei ghali sana akijipapasa kitambi chake, aliingia VIP, haraka sana nilimfata kule, mlinzi alitaka kunizuia lakini hakufua dafu baada ya kuona kibunda cha pesa. Niliingia mle ndani ghafla sana mpaka yule jamaa akashtuka sana , kitandani alikuepo mwanamke alie kuwa uchi wa mnyawa akiwa anacheka cheka, nilimpa ishara akimbilie uani kisha nilifunga mlango.

“unamjua Olivia Daniel?” nilimuuliza,

akajibu kwa jeuri “yeah unamsemea yule Malaya wa bos……. , hakumaliza hata sentensi yake niliupindisha mkono wake kwa hasira sana nikauvunja, alipiga makelele sana lakini haikusaidia kitu.
“bosi wako ni nani na yuko wapi?” nilimuuliza tena akanikalia kimya,
sikupoteza muda nikavunja mguu wake, alipiga kelele akiniomba nimwache hai nisimuue. Alivyo nitajia jina nilijikuta nguvu zinaniishia kabisa kwani sikuamini na nilihisi ananidanganya mpaka alivyo kuja kunionyesha picha za mama yangu akiwa na mtu huyo kwenye simu yake ndipo nilipokuja kumwamini.

“alimkosea nini mpaka amuue?” niliuliza kwa hasira sana,

alinijibu kwa unyonge “ huyo mkuu wa CIA ni mtu anae yasaidia magenge ya kihalifu kutoka Mexico kuingiza madawa ya kulevya marekani kwa siri sana na huwa analipwa pesa nyingi mno, hii siri hakutaka mtu yeyote yule aijue, mama yako ndiye aliye kuwa mwanamke wake na mara nyingi walikuwa wakikutana hapa usiku. Sasa siku moja walivyokuwa pamoja Henry John ambae ndiye mkuu wako alilala akasahau kuzima simu yake na ilikuwa on bila kuwa locked, usiku wa manane alishtuka usingizini na kumkuta mama yako akiwa ameshika simu anasikiliza baadhi ya audios za hizo biashara zake kwenye simu huku akitetemeka, yule ni mtu mkubwa sana na kama hiyo ingejulikana basi ingemharibia sifa sana mbele ya viongozi wakubwa wa nchi, ndiyo sababu aliamua kumuua na ndipo aliniita mimi nikaenda kuutupa mwili nje usiku”.

Baada ya kupata nilicho kihitaji sikuona sababu ya kumwacha hai mtu yule nilizungusha shingo yake kisha nikatoka nje, lakini wakati ninatoka kuna kosa moja kubwa sana ambalo nililifanya, kwa vile nilikuwa nina hasira nilitoka kipuuzi sana kiasi kwamba cctv camera ziliweza kuinasa vema sura yangu. Asubuhi kulivyokucha ile nawasha tu televisheni nilishtuka sana kuona picha yangu imeandikwa most wanted, na pia nilizikuta messages kutoka kwa kiongozi wangu huyo akihitaji nijisalimishe haraka sana kwake kwa upuuzi nilio ufanya usiku kwani ni lazima alihisi nishajua siri zake. Nilimjibu sms moja tu nitakupata popote pale ulipo haitajalisha wewe ni nani lazima ulipe kwa kumuua mama angu, kisha nikazima simu na kuitupa. Baada ya hapo nikatoka hapo haraka sana nisije kukamatwa nilijua lazima wataitrack simu yangu tu.

Siku ya kesho yake waliweza kutangaza kwamba nimeliasi jeshi kwahiyo ninatakiwa kupatikana na hata kuuawa ikibidi ili kulinda usalama wa taifa maana mimi ni mtu hatari sana, Henry John ambae mimi nilimjua kwa jina la Alex Alexander kabla ya kutajiwa na yule jamaa pale club, mkuu wangu huyo wa kazi aliamua kuniuzia kesi kwa kuhofia mambo yake machafu yatajulikana , nilijisikia vibaya sana yani mtu amenitendea unyama alafu ananigeuzia kesi ya kuliasi taifa langu ambalo niliapa kulilinda mpaka kufa kwangu, niliapa nikimpata siku moja ntamuua kifo kibaya sana.
kwa sababu hali ilikuwa mbaya nchini Marekani niliamua kutorokea china, lakini nako nilikutana na upinzani mkubwa sana kwa sababu picha yangu ilikuwa imesha sambazwa kwenye mashirika mengi sana ya kijasusi duniani kwahiyo ni kama nilikuwa nasubiriwa nifike mahali pale, nakumbuka china niliwaua kikatili sana wanajeshi ishirini ambao walifanikiwa kujua hoteli niliyo kuwa nimefikia ni miongoni mwa wanadamu walio kuwa na bahati mbaya sana kwani walikuja wakati nimekuwa na roho ya kikatili sana sikuwa binadamu wa kawaida kwa kipindi kile.

Niliona ushakuwa msala kwahiyo sikuzubaa ndipo nilipo amua kutorokea Japan tena, lakini nilikuwa na bahati mbaya sana licha ya kutumia meli kusafiri ambayo nilijua itakuwa ni vigumu sana kutambulika, kumbe makomando walikuwa wamesambazwa kila mahali, nilifanikiwa kufika salama katika bandari ya Osaka ambayo imeungana na mto huu wa Yamato, nilianza kutoka pale bandarini kwa tahadhari sana lakini nilivyofika mbele kidogo eneo ambalo lilikuwa kimya na miti miti kidogo maskio yangu yalisikia vyema upepo unao vuma kwa kasi ya ajabu niligundua ni mshale niliinamba kidogo tu, nilikoswa sentimita chache sana ndipo nilipo jiweka sawa baada ya kujua nipo katikati ya hatari, walitokea wanaume sita walio kuwa wamejaza miili yao sana kwa mazoezi makali haikunipa kazi ngumu kuwatambua kwamba wanne walikuwa wachina na wawili walikuwa makomando wawili wa marekani nilio kuwa nao ndani ya msitu wa Amazon.
Sikutaka maelezo mengi kwani nilijua hakuna kingine zaidi ya kuniua kwa hiyo nikicheza ovyo nakufa alikuja mchina mmja kwa mbwembwe nafkiri ni kwa sababu alikuwa hanifahamu vizuri, sura yangu ilimdanganya akajua mimi ni mlaini sana, yule komando mmja kutoka jeshi la marekani alikuwa ananijua vizuri sana kwenye mapigano kwahiyo alimpaazia sauti yule mchina “whatch out he is a monster ” lakini alikuwa amechelewa sana nilidunda chini mpaka yeye mwenyewe alibaki ameduwaa nikatua nyuma ake wakati anataka kugeuka kwa teke lake nilimpiga ngumi moja mbaya sehemu ya uti wa mgongo na nilijua kama akibahatika kupona basi itamchukua si chini ya miaka miwili kuja kutembea tena. Walikuja wawili walirusha ngumi zao nilizipangua lakini moja ilinipata kwenye mbavu, sio siri ilikuwa ni ngumi nzito sana na nilipata maumivu makali sana, Je Akio atapona mbele ya hawa makomando sita ikiwa wawili wanamjua vyema? Ukurasa wa nane unafika mwisho tukutane katika kurasa zijazo. Hii ni ULIMWENGU WA WATU WABAYA na mimi ni Bux the story teller. Chao
FB_IMG_16552345001562406.jpg
 
HADITHI: ULIMWENGU WA WATU WABAYA
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
MTUNZI: Bux the story teller
WHATSAP: 0621567672
AGE: 18+
UKURASA WA NANE

SEHEMU ILIYOPITA TULIPOSISHIA............

Nimeishi maisha yangu yote na mama yangu mzazi pekee, alikuwa anafanya shughuli za hatari na aibu sana ili mradi tu aweze kunisomesha, nilikuwa namheshimu sana yule mwanamke kuliko kitu chochote kile, basi siku moja aliniaga majira ya jioni kwamba anatoka mara moja na asingechelewa kurudi, lakini haikuwa kama vile alivyo niahidi ilipita siku nzima bila kurejea nyumbani mpaka kesho yake ambapo alikutwa akiwa amefanyiwa kitendo cha kinyama sana na kuuawa pembezoni mwa club moja pale jimboni, nililia sana kwa sababu yeye pekeake ndiye familia niliyokuwa nimebakiwa nayo na nilimpenda mno kiasi kwamba siwezi kuelezea. kwahiyo mpaka hapo nikawa sina familia tena na ilinibidi niishi kwa nguvu na akili zangu mimi mwenyewe kwenye hii dunia iliyo jaa dhuluma, hapo ndipo nilipokuja kubadilika hadi roho yangu na kuwa mtu nisiye na huruma hata kidogo kwa hawa wanao wanyanyasa watu bila hatia yoyote eti kwa sababu tu wao wana pesa na nguvu, tokea hapo nilikuja kuwa mtu mkatili sana.

ENDELEA........................

Hiyo ndiyo sababu iliyo nishawishi kujiunga na jeshi ili siku moja nije niwatafute wabaya wangu pamoja na kuwa na nguvu ya kutosha ili kuweza kuishi hapa duniani na hawa walimwengu wenye tamaa sana.
Nilijiunga na jeshi rasmi, kutokana na bidi yangu nilichaguliwa miaka mitano mbele kwenda kupata mafunzo ,maalumu ya kijasusi ili kuja kuilinda nchi ya marekani kwa baadae, tuliondoka vijana mia moja lakini kutokana na mateso makali ya moja ya misitu hatari zaidi ulimwenguni na ndio msitu mkubwa zaidi, msitu wa Amazon ambako ndiko tuliko pelekwa kwa siri bila kujua tuko wapi maana hata mimi nilikuja kujua baada ya miaka mitatu kumaliza mafunzo ya hatari sana, ni msitu unao tisha sana na ni msitu wenye viumbe vya hatari zaidi duniani, basi wenzetu wote tisini walifia kule na hakuna mtu alie kuwa na muda nao walitupwa kama mizoga.

Nakumbuka tulivyofika nyumbani rasimi tukaingizwa kwenye shirika kubwa zaidi na maarufu zaidi la kijasusi duniani la CIA{Central Intelligence Agency} na huko kuna watu wenye akili na uwezo mkubwa sana ila wanafanya kazi kwa siri kubwa mno, hawa kuwajua itakulazimu uwe na akili kubwa kumzidi huyo unae mpeleleza.

Huo ukawa mwanzo wa kazi yangu rasmi ya ujasusi na mission yangu ya kwanza ilikuwa ni kwenda Afghanstan kumpeleleza gaidi mmja hatari sana aliye kuwa anaitwa Omar Bin Umar pamoja na kuwakomboa wanafunzi hamsini wa nchi ya marekani walio kuwa wametekwa na gaidi huyo ambaye makazi na ngome yake yalikuwa hayajulikani yalipo. Ilinichukua miezi sita tu nikawa nimemaliza kazi, kiongozi wangu alinipongeza sana kwani nilitumia muda mchache sana kuitekeleza kazi ambayo walidhania itachukua zaidi ya mwaka mmja. Alinambia nimepata likizo kwahiyo nichague nchi ninayo itaka mimi kwenda nikapumzike huko kwa miezi sita kisha nitaitwa tena, alinikabidhi pesa nyingi sana ambazo hata nisingefanya kazi kwa miaka kumi nisingezimaliza.

Nilikubali na kuaga kwamba naenda Australia lakini haikuwa hivyo ule muda niliopewa likizo nilitaka kuutumia kufanya uchunguzi ili nijue ni nani alihusika na unyama ule kwa mama angu, ni kitu ambacho niliishi nacho moyoni mwangu kwa siri na maumivu makubwa sana, nilianza kuishi kwa siri sana huku kiongozi wangu akijua nimeenda Australia. Baada ya mwezi mmoja kuna mhudumu mmja wa club ile nilimbana na akakubali kwamba ni kweli ile siku mama angu alienda hapo na baadae aliondoka na mwanaume mmja ambae hakujulikana ni nani ila huwa anakuja hapo kila ijumaa usiku kwa siri sana, basi nilimpa pesa nyingi sana na kumuomba anisaidie kunionyesha huyo mtu akakubali. Ijumaa ilifika niliwahi kufika pale mapema sana na kuagiza kinywaji changu nikawa nazuga, kweli baadae sana alikuja kuniita na kunionyesha mtu mmja ambae nilimuona kavaa suti ya bei ghali sana akijipapasa kitambi chake, aliingia VIP, haraka sana nilimfata kule, mlinzi alitaka kunizuia lakini hakufua dafu baada ya kuona kibunda cha pesa. Niliingia mle ndani ghafla sana mpaka yule jamaa akashtuka sana , kitandani alikuepo mwanamke alie kuwa uchi wa mnyawa akiwa anacheka cheka, nilimpa ishara akimbilie uani kisha nilifunga mlango.

“unamjua Olivia Daniel?” nilimuuliza,

akajibu kwa jeuri “yeah unamsemea yule Malaya wa bos……. , hakumaliza hata sentensi yake niliupindisha mkono wake kwa hasira sana nikauvunja, alipiga makelele sana lakini haikusaidia kitu.
“bosi wako ni nani na yuko wapi?” nilimuuliza tena akanikalia kimya,
sikupoteza muda nikavunja mguu wake, alipiga kelele akiniomba nimwache hai nisimuue. Alivyo nitajia jina nilijikuta nguvu zinaniishia kabisa kwani sikuamini na nilihisi ananidanganya mpaka alivyo kuja kunionyesha picha za mama yangu akiwa na mtu huyo kwenye simu yake ndipo nilipokuja kumwamini.

“alimkosea nini mpaka amuue?” niliuliza kwa hasira sana,

alinijibu kwa unyonge “ huyo mkuu wa CIA ni mtu anae yasaidia magenge ya kihalifu kutoka Mexico kuingiza madawa ya kulevya marekani kwa siri sana na huwa analipwa pesa nyingi mno, hii siri hakutaka mtu yeyote yule aijue, mama yako ndiye aliye kuwa mwanamke wake na mara nyingi walikuwa wakikutana hapa usiku. Sasa siku moja walivyokuwa pamoja Henry John ambae ndiye mkuu wako alilala akasahau kuzima simu yake na ilikuwa on bila kuwa locked, usiku wa manane alishtuka usingizini na kumkuta mama yako akiwa ameshika simu anasikiliza baadhi ya audios za hizo biashara zake kwenye simu huku akitetemeka, yule ni mtu mkubwa sana na kama hiyo ingejulikana basi ingemharibia sifa sana mbele ya viongozi wakubwa wa nchi, ndiyo sababu aliamua kumuua na ndipo aliniita mimi nikaenda kuutupa mwili nje usiku”.

Baada ya kupata nilicho kihitaji sikuona sababu ya kumwacha hai mtu yule nilizungusha shingo yake kisha nikatoka nje, lakini wakati ninatoka kuna kosa moja kubwa sana ambalo nililifanya, kwa vile nilikuwa nina hasira nilitoka kipuuzi sana kiasi kwamba cctv camera ziliweza kuinasa vema sura yangu. Asubuhi kulivyokucha ile nawasha tu televisheni nilishtuka sana kuona picha yangu imeandikwa most wanted, na pia nilizikuta messages kutoka kwa kiongozi wangu huyo akihitaji nijisalimishe haraka sana kwake kwa upuuzi nilio ufanya usiku kwani ni lazima alihisi nishajua siri zake. Nilimjibu sms moja tu nitakupata popote pale ulipo haitajalisha wewe ni nani lazima ulipe kwa kumuua mama angu, kisha nikazima simu na kuitupa. Baada ya hapo nikatoka hapo haraka sana nisije kukamatwa nilijua lazima wataitrack simu yangu tu.

Siku ya kesho yake waliweza kutangaza kwamba nimeliasi jeshi kwahiyo ninatakiwa kupatikana na hata kuuawa ikibidi ili kulinda usalama wa taifa maana mimi ni mtu hatari sana, Henry John ambae mimi nilimjua kwa jina la Alex Alexander kabla ya kutajiwa na yule jamaa pale club, mkuu wangu huyo wa kazi aliamua kuniuzia kesi kwa kuhofia mambo yake machafu yatajulikana , nilijisikia vibaya sana yani mtu amenitendea unyama alafu ananigeuzia kesi ya kuliasi taifa langu ambalo niliapa kulilinda mpaka kufa kwangu, niliapa nikimpata siku moja ntamuua kifo kibaya sana.
kwa sababu hali ilikuwa mbaya nchini Marekani niliamua kutorokea china, lakini nako nilikutana na upinzani mkubwa sana kwa sababu picha yangu ilikuwa imesha sambazwa kwenye mashirika mengi sana ya kijasusi duniani kwahiyo ni kama nilikuwa nasubiriwa nifike mahali pale, nakumbuka china niliwaua kikatili sana wanajeshi ishirini ambao walifanikiwa kujua hoteli niliyo kuwa nimefikia ni miongoni mwa wanadamu walio kuwa na bahati mbaya sana kwani walikuja wakati nimekuwa na roho ya kikatili sana sikuwa binadamu wa kawaida kwa kipindi kile.

Niliona ushakuwa msala kwahiyo sikuzubaa ndipo nilipo amua kutorokea Japan tena, lakini nilikuwa na bahati mbaya sana licha ya kutumia meli kusafiri ambayo nilijua itakuwa ni vigumu sana kutambulika, kumbe makomando walikuwa wamesambazwa kila mahali, nilifanikiwa kufika salama katika bandari ya Osaka ambayo imeungana na mto huu wa Yamato, nilianza kutoka pale bandarini kwa tahadhari sana lakini nilivyofika mbele kidogo eneo ambalo lilikuwa kimya na miti miti kidogo maskio yangu yalisikia vyema upepo unao vuma kwa kasi ya ajabu niligundua ni mshale niliinamba kidogo tu, nilikoswa sentimita chache sana ndipo nilipo jiweka sawa baada ya kujua nipo katikati ya hatari, walitokea wanaume sita walio kuwa wamejaza miili yao sana kwa mazoezi makali haikunipa kazi ngumu kuwatambua kwamba wanne walikuwa wachina na wawili walikuwa makomando wawili wa marekani nilio kuwa nao ndani ya msitu wa Amazon.
Sikutaka maelezo mengi kwani nilijua hakuna kingine zaidi ya kuniua kwa hiyo nikicheza ovyo nakufa alikuja mchina mmja kwa mbwembwe nafkiri ni kwa sababu alikuwa hanifahamu vizuri, sura yangu ilimdanganya akajua mimi ni mlaini sana, yule komando mmja kutoka jeshi la marekani alikuwa ananijua vizuri sana kwenye mapigano kwahiyo alimpaazia sauti yule mchina “whatch out he is a monster ” lakini alikuwa amechelewa sana nilidunda chini mpaka yeye mwenyewe alibaki ameduwaa nikatua nyuma ake wakati anataka kugeuka kwa teke lake nilimpiga ngumi moja mbaya sehemu ya uti wa mgongo na nilijua kama akibahatika kupona basi itamchukua si chini ya miaka miwili kuja kutembea tena. Walikuja wawili walirusha ngumi zao nilizipangua lakini moja ilinipata kwenye mbavu, sio siri ilikuwa ni ngumi nzito sana na nilipata maumivu makali sana, Je Akio atapona mbele ya hawa makomando sita ikiwa wawili wanamjua vyema? Ukurasa wa nane unafika mwisho tukutane katika kurasa zijazo. Hii ni ULIMWENGU WA WATU WABAYA na mimi ni Bux the story teller. ChaoView attachment 2265091
HADITHI: ULIMWENGU WA WATU WABAYA
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
MTUNZI : Bux the story teller
WHATSAPP : 0621567672
AGE: 18+
UKURASA WA TISA

SEHEMU ILIYOPITA TULIPO ISHIA.............

Sikutaka maelezo mengi kwani nilijua hakuna kingine zaidi ya kuniua kwa hiyo nikicheza ovyo nakufa, alikuja mchina mmja kwa mbwembwe nafkiri ni kwa sababu alikuwa hanifahamu vizuri, sura yangu ilimdanganya akajua mimi ni mlaini sana, yule komando mmja kutoka jeshi la marekani alikuwa ananijua vizuri sana kwenye mapigano kwahiyo alimpaazia sauti yule mchina “whatch out he is a monster ” lakini alikuwa amechelewa sana nilidunda chini mpaka yeye mwenyewe alibaki ameduwaa nikatua nyuma ake wakati anataka kugeuka kwa teke lake nilimpiga ngumi moja mbaya sehemu ya uti wa mgongo na nilijua kama akibahatika kupona basi itamchukua si chini ya miaka miwili kuja kutembea tena. Walikuja wawili walirusha ngumi zao nilizipangua lakini moja ilinipata kwenye mbavu, sio siri ilikuwa ni ngumi nzito sana na nilipata maumivu makali sana.

ENDELEA................

Hapo sasa niliamua kuwa siriasi sana, sikutaka kuwaua kwa sababu wale wawili wa Marekani walikuwa kama ndugu kwangu na walikuwa wanafanya haya yote kama maagizo tu kutoka ngazi za juu hawakuelewa chochote kinacho endelea, kwahiyo niliamua niwazimishe tu, na hilo ndilo lilikuwa kosa la pili na kosa kubwa zaidi kuwahi kulifanya kwenye maisha yangu bora ningewaua wote tu.

Mmoja nilimtisha kama nampiga alivyokwepa hakuwa na bahati hata kidogo nilirusha ngumi nzito alimpata shingoni na kuzimia hapo hapo, sikuwa na muda nae tena, nilibaki natazamana na huyu mmja, alikuja nikamkwepa akapitiliza ile anageuka aliogopa sana baada ya kuona nishafika namtazama, nilimpiga goti la mbavu alipiga kelele za maumivu kwa hisia sana kisha akazimia, nilishtuka baada ya kupigwa teke kali sana kwa nyuma ilitakiwa nidondokee uso lakini nilikuwa mwepesi kuliko hata wepesi wenyewe nilijibetua mara tatu kwa sarakasi kisha nikakaa sawa.

sasa walikuwa wote watatu walio baki, walikuja wote ilinipa shida sana kuwakwepa nilikuja kupata ahueni baada ya kuwachonganisha wawili kama naenda kati kati yao wakajikuta wamepigana wenyewe kwa ngumi kali sana za vichwani wote wakaanguka chini wakiugulia maumivu yasiyo elezeka kiasi kwamba ingewachukua dakika si chini ya kumi na tano mpaka waje kukaa sawa, nilitabasamu kwani zile ngumi zingenipata inawezekana wangenikamata kwa urahisi sana kitu ambacho lingekuwa kosa la jinai kwangu, huyu mmja alie baki nilimpiga teke la kichwa lakini wakati anadondoka alitoa bastora na kunipiga risasi tano mwilini mwangu, ilikuwa ni ghafla sana sikuweza kuzikwepa, nilidondoka chini huku nayeye akiwa yuko hoi hawezi hata kusimama, basi nilisimama kwa shida sana nikiwa nachechemea na damu nyingi sana zinanitoka huku nagugumia kwa maumivu makali sana na nina imani angekuwa binadamu wa kawaida asiyekuwa na mazoezi kama mimi angekufa pale pale.

Kwa maumivu niliyokuwa nayo ilifika sehemu nilikata tamaa kabisa ya kuishi, nilisogea kwenye mto na kuanza kunywa maji kwa shida sana, sikuwa na nguvu za kutosha kuweza kusimama wima japo kwa sekunde tano tu hivyo nilidumbukia kwenye maji na nikasombwa mbali na pale.

sikuelewa tena kilicho endelea na ndiyo siku ambayo niliokotwa kwenye huu mto na mzee Haruto Hinata Haru akiwa kwenye moja ya mazoezi yake ya siri sana nyakati za usiku kwa maelezo niliyo kuja kuyapata baadae.

**************************

Nilikuja kuzinduka wiki moja baadae nikiwa nimetolewa risasi tayari na kwa muda huo sikuwa na uwezo wa kunyanyua ulimi hata kwa nusu sentimita tu ili niweze kuongea, iliniuma sana komando kama mimi kuwa kwenye hali ya kutisha namna ile nashindwa japo kunyanyua kidole kimoja ila ndiyo siku ambayo nilipata funzo kubwa sana kwenye maisha yangu ya kuweza kuithamini kila sekunde ambayo MUNGU atakujaalia uweze kuivuta pumzi ya dunia hii, nimeua watu wengi sana lakini linapokuja suala la kufa huwa naliogopa kupita kiasi, najua tutakufa lakini wapaswa kulinena kwa heshima sana neno KIFO kwa sababu ni rahisi sana kulitaja neno hili ila lina siri kubwa sana ipo siku utayakumbuka haya maneno pale utakapokuwa hauna namna nyingine zaidi ya kumlilia MUNGU aurudishe muda nyuma ili uweze kuyaishi maisha kwa usahihi, hii huwa ni hatari sana na ndiyo muda wa hatari zaidi kwenye maisha ya mwanadamu pale anapokuwa anakaribia kukata roho au anapopatwa na tatizo kubwa la kuhatarisha maisha yake kwa zaidi ya asilimia tisini.

ulipita kama mwezi ndipo hali yangu ilianza kuwa sawa na, nilipata nafasi ya kukutana na mzee huyu, nilimsimulia kila kitu, alinionea huruma sana, huo ndio muda alio fanya maamuzi ya kuishi namimi mpaka leo kwa mapenzi kama mwanae wa kumzaa, yeye ndiye kila kitu kwangu, namheshimu hata zaidi ya baba yangu mzazi.

Niliamua kutorudi tena marekani kwa sababu mtu nilie kuwaga na kisasi nae alikuja kufa kwa ajali ya gari na wale makomando baada ya kuzinduka siku ile kwa zile risasi walizo nipiga walienda kutangaza kwamba nimekufa kwahiyo serikali ya Marekani na mashirika ya kijasusi wanajua mimi nilishakufa na kwa yule mchina sijui kama alipona”

ilikuwa ni historia ndefu sana yenye kusikitisha sana ya maisha ya Akio jasusi huyu wa kimarekani. Calvin alimuonea huruma sana mtu huyu kumbe sio yeye pekee anae pitia magumu ila kuna watu huwa wanaamua tu kukaa nayo moyoni huku wakiyaficha magumu yao yote kwa tabasamu murua sana usoni mwao.
Alishusha pumzi ndefu kwanza alishangaa namna mwanaume huyu aliekuwa mbele yake jinsi alivyo weza kupona mbele ya risasi tano, hiyo ilimpa jibu kwamba amesimama na moja ya watu ambao ni hatari zaidi kwenye uso wa dunia. Hiyo iliweza kumwaminisha kwamba kweli jamaa ni shujaa wa kweli sana na ni mtu hatari ambaye hafai hata kuigwa tofauti na yeye alivyokuwa anamfikiria.

“Muda umeeenda sana na ni lazima tukamilishe kilicho tuleta hapa, huko unako enda kulipa kisasi kuna hatari kubwa sana kwa sababu kuna sehemu itakubidi uishi kwenye hali za hatari sana na uweze kuvumilia kwa muda mrefu sana, kwa hii miezi kadhaa niliyo kufundisha umeweza kuonyesha uwezo mkubwa sana na inawezekana mpaka unamalizana namimi hatutapata muda kama leo tena wa kukaa na kuzungumza pamoja.

Pumzi ndicho kitu cha mhimu sana katika kuujenga mwili wenye afya, ukikosa kuwa na pumzi ya kutosha basi utakuwa na mwili dhaifu sana ambao utakabiliwa na magonjwa mengi mno kiasi cha kukuhatarishia hata maisha yako, kwahiyo nataka utumie zaidi ya dakika kumi na tano ndani ya maji bila kutoka ukiweza hilo utakuwa umeanza kukamilika, kwa mara ya kwanza inaweza kuwa ngumu ila lazima uweze kumbuka kilichopo mbele yako na ufanye kwa moyo wako wote. yalikuwa ni maneno kutoka kwa Akio yasiyokuwa na dalili yoyote ya masihara hata kidogo, kwa Wakati huu alikuwa siriasi sana mtu huyu.

Mwanaume alikuwa ameshaanza kukomaa sasa, alivuta pumzi ndefu sana na kwa sasa alikuwa fiti sana aliivuta pumzi kwa kasi ya ajabu kisha akaiachia kwa nguvu sana halafu akazama kwenye maji. Ulipita muda mrefu. Sekunde ya tano dakika ya kumi na sita wakati inaisha ndio muda ambao mwanaume aliibuka lakini hali yake ilikuwa mbaya sana, Akio alimbeba na kumuweka bagani kwenda kumpatia matibabu.

LIKE NA KUCOMMENT KWENYE PAGE YANGU YA Bux the story teller

“Hali ya nchi kwa sasa unaionaje Shabani?”

“saivi naona mambo yako safi sana tangu serikali iwakamate wale wauzaji wa dawa za kulevya na kuweka misingi imara ya sheria kali za kupambana na uuzwaji wa dawa za kulevya nchini, wameokoa hiki kizazi kuangamia hata kizazi kijacho pia kwani madawa ya kulevya yanaharibu maisha ya vijana wengi kuanzia kiakili, kiafya na hata kiuchumi pia. Kwa hili nampongeza sana mheshimiwa raisi nafkiri ningekuwa nina uwezo wa kuonana nae ningempa zawadi”

“Hahahahahah peter huwa una masiara sana yani mtu kama wewe uishie hapa keko unawezaje kuonana na raisi hahhahha”

“usinicheke sasa mwanangu wewe huoni hiki ni kitu kikubwa sana kwa taifa letu kwa ajili ya kizazi kijacho?”

“Ila kweli mzee mwenzangu hapo umenena sana lakini shida inapokuja haya mambo unakuta vigogo wenyewe ndo wanahusika kwahiyo inakuwa ni ngumu sana kulimaliza hili tatizo na watu wasivyokuwa na akili lawama zote wanambebesha mheshimiwa raisi tu”

“Daaah kaka huko kwa vigogo tumefika mbali sana yasije yakatutokea puani acha tuishie hapa ndo kwanza nimeoa wiki iliyo pita sijaifaidi hata raha ya ndoa yangu”

“Sema nawewe umezidi mno uoga bhana”

“Mhhhhhhh kuna usemi huwa unasema kunguru mwoga huwa anaishi miaka mingi sana, kumbuka ni mwezi tu hapa mtaani tumempoteza Athumani kwa sababu tu naskia alianza kufatilia baadhi ya mambo ya wakubwa, acha niende rafiki yangu giza lishaanza kuingia mitaa yenyewe hii kila siku kesi mpya nisije nikakabwa bure mie mama yeyo akabaki mjane”

“hahaha umenichekesha japo umeongea ukweli tunapaswa kuwa makini sana”

Yalikuwa ni maongezi ya marafiki wawili katika mitaa ya keko ndani ya jiji la Dar es salaam wakizungumzia hali ya nchi na mwenendo mzima wa uongozi hasa hasa wakiongelea sana hali ya utulivu iliyo letwa kwa mafanikio makubwa na mheshimiwa raisi wa nchi ya Tanzania baada ya kuzuia uuzwaji wa madawa ya kulevya nchini kwa asilimia kubwa sana pamoja na kuundwa kwa sheria mpya kali kwa yeyote atakae kamatwa na biashara hiyo haramu.

Wakati huo huo ndani ya casino moja kubwa inayopatikana maeneo ya posta jijini Dar es salaam anaonekana mr Decco akiwa kwenye mkutano na vijana wake kadhaa wa kazi kwenye moja ya vyumba vya Siri sana.............Je unadhani Calvin ataweza kupona Kwenye hali mbaya Sana iliyo mpata? na je unahisi Mr Decco ana mpango gani kwenye kikao hicho?.... ukurasa wa tisa unafika tamati ungana nami Katika kurasa zijazo. Hii ni ULIMWENGU WA WATU WABAYA Mimi ni Bux the story teller... Chao
FB_IMG_1655582921330.jpg


Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
HADITHI: ULIMWENGU WA WATU WABAYA
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
MTUNZI : Bux the story teller
WHATSAPP : 0621567672
AGE: 18+
UKURASA WA TISA

SEHEMU ILIYOPITA TULIPO ISHIA.............

Sikutaka maelezo mengi kwani nilijua hakuna kingine zaidi ya kuniua kwa hiyo nikicheza ovyo nakufa, alikuja mchina mmja kwa mbwembwe nafkiri ni kwa sababu alikuwa hanifahamu vizuri, sura yangu ilimdanganya akajua mimi ni mlaini sana, yule komando mmja kutoka jeshi la marekani alikuwa ananijua vizuri sana kwenye mapigano kwahiyo alimpaazia sauti yule mchina “whatch out he is a monster ” lakini alikuwa amechelewa sana nilidunda chini mpaka yeye mwenyewe alibaki ameduwaa nikatua nyuma ake wakati anataka kugeuka kwa teke lake nilimpiga ngumi moja mbaya sehemu ya uti wa mgongo na nilijua kama akibahatika kupona basi itamchukua si chini ya miaka miwili kuja kutembea tena. Walikuja wawili walirusha ngumi zao nilizipangua lakini moja ilinipata kwenye mbavu, sio siri ilikuwa ni ngumi nzito sana na nilipata maumivu makali sana.

ENDELEA................

Hapo sasa niliamua kuwa siriasi sana, sikutaka kuwaua kwa sababu wale wawili wa Marekani walikuwa kama ndugu kwangu na walikuwa wanafanya haya yote kama maagizo tu kutoka ngazi za juu hawakuelewa chochote kinacho endelea, kwahiyo niliamua niwazimishe tu, na hilo ndilo lilikuwa kosa la pili na kosa kubwa zaidi kuwahi kulifanya kwenye maisha yangu bora ningewaua wote tu.

Mmoja nilimtisha kama nampiga alivyokwepa hakuwa na bahati hata kidogo nilirusha ngumi nzito alimpata shingoni na kuzimia hapo hapo, sikuwa na muda nae tena, nilibaki natazamana na huyu mmja, alikuja nikamkwepa akapitiliza ile anageuka aliogopa sana baada ya kuona nishafika namtazama, nilimpiga goti la mbavu alipiga kelele za maumivu kwa hisia sana kisha akazimia, nilishtuka baada ya kupigwa teke kali sana kwa nyuma ilitakiwa nidondokee uso lakini nilikuwa mwepesi kuliko hata wepesi wenyewe nilijibetua mara tatu kwa sarakasi kisha nikakaa sawa.

sasa walikuwa wote watatu walio baki, walikuja wote ilinipa shida sana kuwakwepa nilikuja kupata ahueni baada ya kuwachonganisha wawili kama naenda kati kati yao wakajikuta wamepigana wenyewe kwa ngumi kali sana za vichwani wote wakaanguka chini wakiugulia maumivu yasiyo elezeka kiasi kwamba ingewachukua dakika si chini ya kumi na tano mpaka waje kukaa sawa, nilitabasamu kwani zile ngumi zingenipata inawezekana wangenikamata kwa urahisi sana kitu ambacho lingekuwa kosa la jinai kwangu, huyu mmja alie baki nilimpiga teke la kichwa lakini wakati anadondoka alitoa bastora na kunipiga risasi tano mwilini mwangu, ilikuwa ni ghafla sana sikuweza kuzikwepa, nilidondoka chini huku nayeye akiwa yuko hoi hawezi hata kusimama, basi nilisimama kwa shida sana nikiwa nachechemea na damu nyingi sana zinanitoka huku nagugumia kwa maumivu makali sana na nina imani angekuwa binadamu wa kawaida asiyekuwa na mazoezi kama mimi angekufa pale pale.

Kwa maumivu niliyokuwa nayo ilifika sehemu nilikata tamaa kabisa ya kuishi, nilisogea kwenye mto na kuanza kunywa maji kwa shida sana, sikuwa na nguvu za kutosha kuweza kusimama wima japo kwa sekunde tano tu hivyo nilidumbukia kwenye maji na nikasombwa mbali na pale.

sikuelewa tena kilicho endelea na ndiyo siku ambayo niliokotwa kwenye huu mto na mzee Haruto Hinata Haru akiwa kwenye moja ya mazoezi yake ya siri sana nyakati za usiku kwa maelezo niliyo kuja kuyapata baadae.

**************************

Nilikuja kuzinduka wiki moja baadae nikiwa nimetolewa risasi tayari na kwa muda huo sikuwa na uwezo wa kunyanyua ulimi hata kwa nusu sentimita tu ili niweze kuongea, iliniuma sana komando kama mimi kuwa kwenye hali ya kutisha namna ile nashindwa japo kunyanyua kidole kimoja ila ndiyo siku ambayo nilipata funzo kubwa sana kwenye maisha yangu ya kuweza kuithamini kila sekunde ambayo MUNGU atakujaalia uweze kuivuta pumzi ya dunia hii, nimeua watu wengi sana lakini linapokuja suala la kufa huwa naliogopa kupita kiasi, najua tutakufa lakini wapaswa kulinena kwa heshima sana neno KIFO kwa sababu ni rahisi sana kulitaja neno hili ila lina siri kubwa sana ipo siku utayakumbuka haya maneno pale utakapokuwa hauna namna nyingine zaidi ya kumlilia MUNGU aurudishe muda nyuma ili uweze kuyaishi maisha kwa usahihi, hii huwa ni hatari sana na ndiyo muda wa hatari zaidi kwenye maisha ya mwanadamu pale anapokuwa anakaribia kukata roho au anapopatwa na tatizo kubwa la kuhatarisha maisha yake kwa zaidi ya asilimia tisini.

ulipita kama mwezi ndipo hali yangu ilianza kuwa sawa na, nilipata nafasi ya kukutana na mzee huyu, nilimsimulia kila kitu, alinionea huruma sana, huo ndio muda alio fanya maamuzi ya kuishi namimi mpaka leo kwa mapenzi kama mwanae wa kumzaa, yeye ndiye kila kitu kwangu, namheshimu hata zaidi ya baba yangu mzazi.

Niliamua kutorudi tena marekani kwa sababu mtu nilie kuwaga na kisasi nae alikuja kufa kwa ajali ya gari na wale makomando baada ya kuzinduka siku ile kwa zile risasi walizo nipiga walienda kutangaza kwamba nimekufa kwahiyo serikali ya Marekani na mashirika ya kijasusi wanajua mimi nilishakufa na kwa yule mchina sijui kama alipona”

ilikuwa ni historia ndefu sana yenye kusikitisha sana ya maisha ya Akio jasusi huyu wa kimarekani. Calvin alimuonea huruma sana mtu huyu kumbe sio yeye pekee anae pitia magumu ila kuna watu huwa wanaamua tu kukaa nayo moyoni huku wakiyaficha magumu yao yote kwa tabasamu murua sana usoni mwao.
Alishusha pumzi ndefu kwanza alishangaa namna mwanaume huyu aliekuwa mbele yake jinsi alivyo weza kupona mbele ya risasi tano, hiyo ilimpa jibu kwamba amesimama na moja ya watu ambao ni hatari zaidi kwenye uso wa dunia. Hiyo iliweza kumwaminisha kwamba kweli jamaa ni shujaa wa kweli sana na ni mtu hatari ambaye hafai hata kuigwa tofauti na yeye alivyokuwa anamfikiria.

“Muda umeeenda sana na ni lazima tukamilishe kilicho tuleta hapa, huko unako enda kulipa kisasi kuna hatari kubwa sana kwa sababu kuna sehemu itakubidi uishi kwenye hali za hatari sana na uweze kuvumilia kwa muda mrefu sana, kwa hii miezi kadhaa niliyo kufundisha umeweza kuonyesha uwezo mkubwa sana na inawezekana mpaka unamalizana namimi hatutapata muda kama leo tena wa kukaa na kuzungumza pamoja.

Pumzi ndicho kitu cha mhimu sana katika kuujenga mwili wenye afya, ukikosa kuwa na pumzi ya kutosha basi utakuwa na mwili dhaifu sana ambao utakabiliwa na magonjwa mengi mno kiasi cha kukuhatarishia hata maisha yako, kwahiyo nataka utumie zaidi ya dakika kumi na tano ndani ya maji bila kutoka ukiweza hilo utakuwa umeanza kukamilika, kwa mara ya kwanza inaweza kuwa ngumu ila lazima uweze kumbuka kilichopo mbele yako na ufanye kwa moyo wako wote. yalikuwa ni maneno kutoka kwa Akio yasiyokuwa na dalili yoyote ya masihara hata kidogo, kwa Wakati huu alikuwa siriasi sana mtu huyu.

Mwanaume alikuwa ameshaanza kukomaa sasa, alivuta pumzi ndefu sana na kwa sasa alikuwa fiti sana aliivuta pumzi kwa kasi ya ajabu kisha akaiachia kwa nguvu sana halafu akazama kwenye maji. Ulipita muda mrefu. Sekunde ya tano dakika ya kumi na sita wakati inaisha ndio muda ambao mwanaume aliibuka lakini hali yake ilikuwa mbaya sana, Akio alimbeba na kumuweka bagani kwenda kumpatia matibabu.

LIKE NA KUCOMMENT KWENYE PAGE YANGU YA Bux the story teller

“Hali ya nchi kwa sasa unaionaje Shabani?”

“saivi naona mambo yako safi sana tangu serikali iwakamate wale wauzaji wa dawa za kulevya na kuweka misingi imara ya sheria kali za kupambana na uuzwaji wa dawa za kulevya nchini, wameokoa hiki kizazi kuangamia hata kizazi kijacho pia kwani madawa ya kulevya yanaharibu maisha ya vijana wengi kuanzia kiakili, kiafya na hata kiuchumi pia. Kwa hili nampongeza sana mheshimiwa raisi nafkiri ningekuwa nina uwezo wa kuonana nae ningempa zawadi”

“Hahahahahah peter huwa una masiara sana yani mtu kama wewe uishie hapa keko unawezaje kuonana na raisi hahhahha”

“usinicheke sasa mwanangu wewe huoni hiki ni kitu kikubwa sana kwa taifa letu kwa ajili ya kizazi kijacho?”

“Ila kweli mzee mwenzangu hapo umenena sana lakini shida inapokuja haya mambo unakuta vigogo wenyewe ndo wanahusika kwahiyo inakuwa ni ngumu sana kulimaliza hili tatizo na watu wasivyokuwa na akili lawama zote wanambebesha mheshimiwa raisi tu”

“Daaah kaka huko kwa vigogo tumefika mbali sana yasije yakatutokea puani acha tuishie hapa ndo kwanza nimeoa wiki iliyo pita sijaifaidi hata raha ya ndoa yangu”

“Sema nawewe umezidi mno uoga bhana”

“Mhhhhhhh kuna usemi huwa unasema kunguru mwoga huwa anaishi miaka mingi sana, kumbuka ni mwezi tu hapa mtaani tumempoteza Athumani kwa sababu tu naskia alianza kufatilia baadhi ya mambo ya wakubwa, acha niende rafiki yangu giza lishaanza kuingia mitaa yenyewe hii kila siku kesi mpya nisije nikakabwa bure mie mama yeyo akabaki mjane”

“hahaha umenichekesha japo umeongea ukweli tunapaswa kuwa makini sana”

Yalikuwa ni maongezi ya marafiki wawili katika mitaa ya keko ndani ya jiji la Dar es salaam wakizungumzia hali ya nchi na mwenendo mzima wa uongozi hasa hasa wakiongelea sana hali ya utulivu iliyo letwa kwa mafanikio makubwa na mheshimiwa raisi wa nchi ya Tanzania baada ya kuzuia uuzwaji wa madawa ya kulevya nchini kwa asilimia kubwa sana pamoja na kuundwa kwa sheria mpya kali kwa yeyote atakae kamatwa na biashara hiyo haramu.

Wakati huo huo ndani ya casino moja kubwa inayopatikana maeneo ya posta jijini Dar es salaam anaonekana mr Decco akiwa kwenye mkutano na vijana wake kadhaa wa kazi kwenye moja ya vyumba vya Siri sana.............Je unadhani Calvin ataweza kupona Kwenye hali mbaya Sana iliyo mpata? na je unahisi Mr Decco ana mpango gani kwenye kikao hicho?.... ukurasa wa tisa unafika tamati ungana nami Katika kurasa zijazo. Hii ni ULIMWENGU WA WATU WABAYA Mimi ni Bux the story teller... Chao View attachment 2265743

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
Safii
 
HADITHI: ULIMWENGU WA WATU WABAYA
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
MTUNZI : Bux the story teller
WHATSAPP : 0621567672
AGE: 18+
UKURASA WA TISA

SEHEMU ILIYOPITA TULIPO ISHIA.............

Sikutaka maelezo mengi kwani nilijua hakuna kingine zaidi ya kuniua kwa hiyo nikicheza ovyo nakufa, alikuja mchina mmja kwa mbwembwe nafkiri ni kwa sababu alikuwa hanifahamu vizuri, sura yangu ilimdanganya akajua mimi ni mlaini sana, yule komando mmja kutoka jeshi la marekani alikuwa ananijua vizuri sana kwenye mapigano kwahiyo alimpaazia sauti yule mchina “whatch out he is a monster ” lakini alikuwa amechelewa sana nilidunda chini mpaka yeye mwenyewe alibaki ameduwaa nikatua nyuma ake wakati anataka kugeuka kwa teke lake nilimpiga ngumi moja mbaya sehemu ya uti wa mgongo na nilijua kama akibahatika kupona basi itamchukua si chini ya miaka miwili kuja kutembea tena. Walikuja wawili walirusha ngumi zao nilizipangua lakini moja ilinipata kwenye mbavu, sio siri ilikuwa ni ngumi nzito sana na nilipata maumivu makali sana.

ENDELEA................

Hapo sasa niliamua kuwa siriasi sana, sikutaka kuwaua kwa sababu wale wawili wa Marekani walikuwa kama ndugu kwangu na walikuwa wanafanya haya yote kama maagizo tu kutoka ngazi za juu hawakuelewa chochote kinacho endelea, kwahiyo niliamua niwazimishe tu, na hilo ndilo lilikuwa kosa la pili na kosa kubwa zaidi kuwahi kulifanya kwenye maisha yangu bora ningewaua wote tu.

Mmoja nilimtisha kama nampiga alivyokwepa hakuwa na bahati hata kidogo nilirusha ngumi nzito alimpata shingoni na kuzimia hapo hapo, sikuwa na muda nae tena, nilibaki natazamana na huyu mmja, alikuja nikamkwepa akapitiliza ile anageuka aliogopa sana baada ya kuona nishafika namtazama, nilimpiga goti la mbavu alipiga kelele za maumivu kwa hisia sana kisha akazimia, nilishtuka baada ya kupigwa teke kali sana kwa nyuma ilitakiwa nidondokee uso lakini nilikuwa mwepesi kuliko hata wepesi wenyewe nilijibetua mara tatu kwa sarakasi kisha nikakaa sawa.

sasa walikuwa wote watatu walio baki, walikuja wote ilinipa shida sana kuwakwepa nilikuja kupata ahueni baada ya kuwachonganisha wawili kama naenda kati kati yao wakajikuta wamepigana wenyewe kwa ngumi kali sana za vichwani wote wakaanguka chini wakiugulia maumivu yasiyo elezeka kiasi kwamba ingewachukua dakika si chini ya kumi na tano mpaka waje kukaa sawa, nilitabasamu kwani zile ngumi zingenipata inawezekana wangenikamata kwa urahisi sana kitu ambacho lingekuwa kosa la jinai kwangu, huyu mmja alie baki nilimpiga teke la kichwa lakini wakati anadondoka alitoa bastora na kunipiga risasi tano mwilini mwangu, ilikuwa ni ghafla sana sikuweza kuzikwepa, nilidondoka chini huku nayeye akiwa yuko hoi hawezi hata kusimama, basi nilisimama kwa shida sana nikiwa nachechemea na damu nyingi sana zinanitoka huku nagugumia kwa maumivu makali sana na nina imani angekuwa binadamu wa kawaida asiyekuwa na mazoezi kama mimi angekufa pale pale.

Kwa maumivu niliyokuwa nayo ilifika sehemu nilikata tamaa kabisa ya kuishi, nilisogea kwenye mto na kuanza kunywa maji kwa shida sana, sikuwa na nguvu za kutosha kuweza kusimama wima japo kwa sekunde tano tu hivyo nilidumbukia kwenye maji na nikasombwa mbali na pale.

sikuelewa tena kilicho endelea na ndiyo siku ambayo niliokotwa kwenye huu mto na mzee Haruto Hinata Haru akiwa kwenye moja ya mazoezi yake ya siri sana nyakati za usiku kwa maelezo niliyo kuja kuyapata baadae.

**************************

Nilikuja kuzinduka wiki moja baadae nikiwa nimetolewa risasi tayari na kwa muda huo sikuwa na uwezo wa kunyanyua ulimi hata kwa nusu sentimita tu ili niweze kuongea, iliniuma sana komando kama mimi kuwa kwenye hali ya kutisha namna ile nashindwa japo kunyanyua kidole kimoja ila ndiyo siku ambayo nilipata funzo kubwa sana kwenye maisha yangu ya kuweza kuithamini kila sekunde ambayo MUNGU atakujaalia uweze kuivuta pumzi ya dunia hii, nimeua watu wengi sana lakini linapokuja suala la kufa huwa naliogopa kupita kiasi, najua tutakufa lakini wapaswa kulinena kwa heshima sana neno KIFO kwa sababu ni rahisi sana kulitaja neno hili ila lina siri kubwa sana ipo siku utayakumbuka haya maneno pale utakapokuwa hauna namna nyingine zaidi ya kumlilia MUNGU aurudishe muda nyuma ili uweze kuyaishi maisha kwa usahihi, hii huwa ni hatari sana na ndiyo muda wa hatari zaidi kwenye maisha ya mwanadamu pale anapokuwa anakaribia kukata roho au anapopatwa na tatizo kubwa la kuhatarisha maisha yake kwa zaidi ya asilimia tisini.

ulipita kama mwezi ndipo hali yangu ilianza kuwa sawa na, nilipata nafasi ya kukutana na mzee huyu, nilimsimulia kila kitu, alinionea huruma sana, huo ndio muda alio fanya maamuzi ya kuishi namimi mpaka leo kwa mapenzi kama mwanae wa kumzaa, yeye ndiye kila kitu kwangu, namheshimu hata zaidi ya baba yangu mzazi.

Niliamua kutorudi tena marekani kwa sababu mtu nilie kuwaga na kisasi nae alikuja kufa kwa ajali ya gari na wale makomando baada ya kuzinduka siku ile kwa zile risasi walizo nipiga walienda kutangaza kwamba nimekufa kwahiyo serikali ya Marekani na mashirika ya kijasusi wanajua mimi nilishakufa na kwa yule mchina sijui kama alipona”

ilikuwa ni historia ndefu sana yenye kusikitisha sana ya maisha ya Akio jasusi huyu wa kimarekani. Calvin alimuonea huruma sana mtu huyu kumbe sio yeye pekee anae pitia magumu ila kuna watu huwa wanaamua tu kukaa nayo moyoni huku wakiyaficha magumu yao yote kwa tabasamu murua sana usoni mwao.
Alishusha pumzi ndefu kwanza alishangaa namna mwanaume huyu aliekuwa mbele yake jinsi alivyo weza kupona mbele ya risasi tano, hiyo ilimpa jibu kwamba amesimama na moja ya watu ambao ni hatari zaidi kwenye uso wa dunia. Hiyo iliweza kumwaminisha kwamba kweli jamaa ni shujaa wa kweli sana na ni mtu hatari ambaye hafai hata kuigwa tofauti na yeye alivyokuwa anamfikiria.

“Muda umeeenda sana na ni lazima tukamilishe kilicho tuleta hapa, huko unako enda kulipa kisasi kuna hatari kubwa sana kwa sababu kuna sehemu itakubidi uishi kwenye hali za hatari sana na uweze kuvumilia kwa muda mrefu sana, kwa hii miezi kadhaa niliyo kufundisha umeweza kuonyesha uwezo mkubwa sana na inawezekana mpaka unamalizana namimi hatutapata muda kama leo tena wa kukaa na kuzungumza pamoja.

Pumzi ndicho kitu cha mhimu sana katika kuujenga mwili wenye afya, ukikosa kuwa na pumzi ya kutosha basi utakuwa na mwili dhaifu sana ambao utakabiliwa na magonjwa mengi mno kiasi cha kukuhatarishia hata maisha yako, kwahiyo nataka utumie zaidi ya dakika kumi na tano ndani ya maji bila kutoka ukiweza hilo utakuwa umeanza kukamilika, kwa mara ya kwanza inaweza kuwa ngumu ila lazima uweze kumbuka kilichopo mbele yako na ufanye kwa moyo wako wote. yalikuwa ni maneno kutoka kwa Akio yasiyokuwa na dalili yoyote ya masihara hata kidogo, kwa Wakati huu alikuwa siriasi sana mtu huyu.

Mwanaume alikuwa ameshaanza kukomaa sasa, alivuta pumzi ndefu sana na kwa sasa alikuwa fiti sana aliivuta pumzi kwa kasi ya ajabu kisha akaiachia kwa nguvu sana halafu akazama kwenye maji. Ulipita muda mrefu. Sekunde ya tano dakika ya kumi na sita wakati inaisha ndio muda ambao mwanaume aliibuka lakini hali yake ilikuwa mbaya sana, Akio alimbeba na kumuweka bagani kwenda kumpatia matibabu.

LIKE NA KUCOMMENT KWENYE PAGE YANGU YA Bux the story teller

“Hali ya nchi kwa sasa unaionaje Shabani?”

“saivi naona mambo yako safi sana tangu serikali iwakamate wale wauzaji wa dawa za kulevya na kuweka misingi imara ya sheria kali za kupambana na uuzwaji wa dawa za kulevya nchini, wameokoa hiki kizazi kuangamia hata kizazi kijacho pia kwani madawa ya kulevya yanaharibu maisha ya vijana wengi kuanzia kiakili, kiafya na hata kiuchumi pia. Kwa hili nampongeza sana mheshimiwa raisi nafkiri ningekuwa nina uwezo wa kuonana nae ningempa zawadi”

“Hahahahahah peter huwa una masiara sana yani mtu kama wewe uishie hapa keko unawezaje kuonana na raisi hahhahha”

“usinicheke sasa mwanangu wewe huoni hiki ni kitu kikubwa sana kwa taifa letu kwa ajili ya kizazi kijacho?”

“Ila kweli mzee mwenzangu hapo umenena sana lakini shida inapokuja haya mambo unakuta vigogo wenyewe ndo wanahusika kwahiyo inakuwa ni ngumu sana kulimaliza hili tatizo na watu wasivyokuwa na akili lawama zote wanambebesha mheshimiwa raisi tu”

“Daaah kaka huko kwa vigogo tumefika mbali sana yasije yakatutokea puani acha tuishie hapa ndo kwanza nimeoa wiki iliyo pita sijaifaidi hata raha ya ndoa yangu”

“Sema nawewe umezidi mno uoga bhana”

“Mhhhhhhh kuna usemi huwa unasema kunguru mwoga huwa anaishi miaka mingi sana, kumbuka ni mwezi tu hapa mtaani tumempoteza Athumani kwa sababu tu naskia alianza kufatilia baadhi ya mambo ya wakubwa, acha niende rafiki yangu giza lishaanza kuingia mitaa yenyewe hii kila siku kesi mpya nisije nikakabwa bure mie mama yeyo akabaki mjane”

“hahaha umenichekesha japo umeongea ukweli tunapaswa kuwa makini sana”

Yalikuwa ni maongezi ya marafiki wawili katika mitaa ya keko ndani ya jiji la Dar es salaam wakizungumzia hali ya nchi na mwenendo mzima wa uongozi hasa hasa wakiongelea sana hali ya utulivu iliyo letwa kwa mafanikio makubwa na mheshimiwa raisi wa nchi ya Tanzania baada ya kuzuia uuzwaji wa madawa ya kulevya nchini kwa asilimia kubwa sana pamoja na kuundwa kwa sheria mpya kali kwa yeyote atakae kamatwa na biashara hiyo haramu.

Wakati huo huo ndani ya casino moja kubwa inayopatikana maeneo ya posta jijini Dar es salaam anaonekana mr Decco akiwa kwenye mkutano na vijana wake kadhaa wa kazi kwenye moja ya vyumba vya Siri sana.............Je unadhani Calvin ataweza kupona Kwenye hali mbaya Sana iliyo mpata? na je unahisi Mr Decco ana mpango gani kwenye kikao hicho?.... ukurasa wa tisa unafika tamati ungana nami Katika kurasa zijazo. Hii ni ULIMWENGU WA WATU WABAYA Mimi ni Bux the story teller... Chao View attachment 2265743

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
HADITHI: ULIMWENGU WA WATU WABAYA
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
MTUNZI : Bux the story teller
WHATSAPP : 0621567672
AGE: 18+
UKURASA WA 10

UKURASA ULIOPITA TULIPO ISHIA.............

“Mhhhhhhh kuna usemi huwa unasema kunguru mwoga huwa anaishi miaka mingi sana, kumbuka ni mwezi tu hapa mtaani tumempoteza Athumani kwa sababu tu naskia alianza kufatilia baadhi ya mambo ya wakubwa, acha niende rafiki yangu giza lishaanza kuingia mitaa yenyewe hii kila siku kesi mpya nisije nikakabwa bure mie mama yeyo akabaki mjane”

“hahaha umenichekesha japo umeongea ukweli tunapaswa kuwa makini sana”

Yalikuwa ni maongezi ya marafiki wawili katika mitaa ya keko ndani ya jiji la Dar es salaam wakizungumzia hali ya nchi na mwenendo mzima wa uongozi hasa hasa wakiongelea sana hali ya utulivu iliyo letwa kwa mafanikio makubwa na mheshimiwa raisi wa nchi ya Tanzania baada ya kuzuia uuzwaji wa madawa ya kulevya nchini kwa asilimia kubwa sana pamoja na kuundwa kwa sheria mpya kali kwa yeyote atakae kamatwa na biashara hiyo haramu.

Wakati huo huo ndani ya casino moja kubwa inayopatikana maeneo ya posta anaonekana mr Decco akiwa kwenye mkutano na vijana wake kadhaa wa kazi kwenye moja ya vyumba vya siri sana.

ENDELEA..........

“Kwanza kabisa kuhusu zile mali za bwanamdogo Calvin mpaka sasa hajapatikana na hatujui yuko wapi tangu alipo ondoka japo juhudi za kumtafuta zinaendelea lakini hazijazaa matunda yoyote yale, kuna mali baadhi ambazo nazifahamu na nasubiria ipite miaka miwili Kama bado sijamtia mkononi mwangu nijitokeze hadharani kwamba mimi ndiye mmiliki halali kwa sababu wale walikuwa kama familia yangu na hilo pia litasaidia sana kumuibua Calvin popote alipo ajitokeze kwani hajui lolote kuhusu mimi, akitokea tu ndipo hapo tutamuua na kuchukua hati miliki za mali zote ambazo nina uhakika ni mali nyingi sana na nina hisi yeye ndiye alikuwa mtu tajiri zaidi ndani ya nchi hii japo hakutaka kujulikana” Hakuwa mwingine ni Mr Fabian Decco

“Bosi hiyo njia unayo taka kuitumia naona kama ni hatari sana”

“msiogope nishaandaa kila kitu, nilicho waitia hapa leo sio kuhitaji ushauri wenu, ni kwamba kesho asubuhi nawahi Thailand kuna mzigo mkubwa sana wa madawa ya kulevya unatakiwa uingizwe hapa nchini kwa sababu ni muda mrefu sana tangu serikali imeweka sheria kali na vikwazo vikubwa hatujafanya biashara, kwahiyo naenda kufatilia mzigo na utaingia hapa baada ya wiki mbili.

Akio atawapa maelekezo yote namna ya kuupokea kama kuna taarifa yoyote mhimu nipigiwe simu haraka sana na niwe mtu wa kwanza kuipata hiyo taarifa, na kama itatokea kuna mtu analeta usaliti muueni haraka sana hata kama ni mwenzenu, kwa sheria zetu ni kosa mtu kutoa siri nje, nawalipa pesa nyingi sana kuhakikisha muda wowote mnanilinda kwa chochote kile sasa ikitokea mtu kaenda kinyume lazima yeye na familia yake wote wafe, mmeelewa?”

“ndio bosi”

************************

Hayo yalikuwa maeongezi ya Mr Decco na watu wake wa siri sana ambao huwa anawatumia kufanya biashara zake za madawa ya kulevya kwa siri sana hapa nchini, na alikuwa amepumzika kwa muda kwa sababu serikali ilikuwa inafanya msako mkali kwa wafanya biashara wote wa madawa, sasa ameona hali imetulia ameamua kuendelea na biashara zake kama kawaida za uuzaji wa madawa ya kulevya ambazo ndizo zinamwingizia pesa nyingi sana.

Rasmi ilitimia miezi nane ya mafunzo ya mapigano na mbinu hatari sana za kijasusi kwa Calvin akiwa kasimamiwa na jasusi mmoja hatari sana aitwae Akio.

“Bwanamdogo nimewafundisha watu wengi sana lakini wewe ni hatari sana hapo ulipo saivi unaweza kupigana na kiumbe chochote kile na sijui ikiisha hiyo miaka miwili itakuaje, unaweza kuja kuwa mtu hatari zaidi duniani na uangalie sana usije ukaanza kutumia uwezo wako kuwa fimbo ya kuwachapia wanyonge, sina la ziada sana zaidi ya kukuhimiza uendelee kufanya mazoezi kwa bidi sana na ukihitaji msaada wangu najua unaelewa namna ya kunipata” Calvin aliitikia kwa kichwa kisha wakakumbatiana kwa hisia sana kwani Calvin alikuwa anamchukulia Akio kama kaka yake kwa namna alivyokuwa anaishi nae vizuri, baada ya hapo kila mtu akashika njia yake.

Kulikucha asubuhi na mapema sana Calvin alishtushwa na mtu aliyekuwa anagonga mlango kwa nguvu na fujo sana, alisonya kwa nguvu akajisogeza mpaka mlangoni akakutana na mtu mmja wa kichina akiwa kavaa zake suti na miwani ya bei kali, wote waliishia kutazamana tu lakini mwisho yule ,mchina alimrushia nguo nyeusi na kuamuru amfuate, Calvin hakuuliza chochote akajua ni muda wa mazoezi.

Mchina huyu aitwaye Yuang Feng alikuwa pale kwa kazi kubwa mbili, yakwanza ni kumfundisha Calvin mapigano kutoka china aina ya Kungfu pamoja na teknolojia ya taarifa za kimtandao yaani mambo ya komputa kama kudukua taarifa mbali mbali. Ilitumika miezi sita pekee kuhakikisha anaivishwa kwenye kila kitu.

Baada ya kumalizana na mchina alishtuka sana baada ya kumuona mzee Haruto mbele yake bila kutarajia wala kupewa taarifa yoyote ile ilikuwa ni ghafla sana na hakulitegemea hilo, ndipo alipo yakumbuka maneno ya Akio aliye mwambia kwamba huyu mzee utamwona baada ya mwaka kuisha, sasa ulikuwa umepita mwaka na miezi yake miwili anabahatika kumwona mzee huyu akiwa ana tabasamu tele kwa mara ya pili tangu aingie kwenye gnome hii.

COMENT NA KULIKE KWENYE PAGE YANGU KISHA TWENDE SAWA "ULIMWENGU WA WATU WABAYA"

Mzee una……….. Calvin alitaka kuongea lakini alikatishwa na Mr Haru
“kijana wangu najua utakuwa una maswali mengi sana ila huu sio muda wake kuuliza, nimefurahi tu kuona unaendelea vizuri na naona umeanza kuimarika hata mwili wako unasadiki hilo".

Nakupa nafasi ya upendeleo niulize swali moja tu ndilo nitakalo lijibu kisha ukaendelee na mazoezi yako”.

Calvin alihema kwa nguvu kisha taratibu akaufungua mdomo wake

“kwanini nafundishwa na watu wengi sana kiasi hiki mpaka inanitisha kwa sababu nilitegeme kufundishwa na mtu mmoja Pekee, hii ina maana gani?” ndilo swali ambalo Calvin aliona linamfaa kwa nafasi moja ya pekee aliyopewa.
master Haru alitabasamu sana

“nifate” alitamka neno moja tu mzee huyu, waliingia kwenye korido moja kubwa sana kisha taa zikazima ghafla, kulikuwa na baridi kali sana na kiza kinene mno kiasi kwamba Calvin hakuwa na uwezo wa kuona hata kitu kilichopo umbali wa sentimita thelathini kutoka alipo simama(hapa nazungumzia urefu wa rura moja) , haukupita muda mrefu sana kilikuja kitu kama lifti mbele yao, wakapanda japo Calvin hakuelewa wanaenda wapi ila jinsi ile lifti ilivyokuwa inatembea alihisi wanashuka chini ardhini.

Walifika na kushuka, ajabu ile lifti haikuonekana tena, Calvin aliogopa sana japo aliamua kuwa mvumilivu tu na sehemu hiyo ilikuwa na mwanga wa kutosha tofauti na waliko toka kwenye kiza kinene, kwani hali hiyo ilimshangaza sana, kuuliza tu swali moja ndiyo aletwe huku aliishia tu kutetemeka kwa baridi kali sana la mle ndani, haikupita hata dakika moja uliwaka mwanga mkali sana wa rangi ya blue mbele likaonekana jokofu moja kubwa sana ambamo ndani yake kulikuwa na mwili wa mtu alie kufa.
Hii hali ilizidi kumtetemesha Calvin hakuelewa sababu ya yeye kuja kuonyeshwa huo mwili, mzee Haruto kwa sauti kavu kabisa akafungua mdomo wake...............Je unadhani ule mwili kwenye jokofu ni wa nani? Na Calvin anahusika vipi na huo mwili? Kuuliza swali moja tu la kwanini anafundishwa na watu wengi ndio ipelekee kuletwa huku? Kuna Siri gani ipo nyuma ya hili jambo?. Ukurasa wa kumi unafika tamati tukutane Katika kurasa zinazofuata. Hii ni ULIMWENGU WA WATU WABAYA Mimi ni Bux the story teller......Chao
FB_IMG_1656131395589.jpg
 
HADITHI: ULIMWENGU WA WATU WABAYA
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
MTUNZI : Bux the story teller
WHATSAPP : 0621567672
AGE: 18+
UKURASA WA 10

UKURASA ULIOPITA TULIPO ISHIA.............

“Mhhhhhhh kuna usemi huwa unasema kunguru mwoga huwa anaishi miaka mingi sana, kumbuka ni mwezi tu hapa mtaani tumempoteza Athumani kwa sababu tu naskia alianza kufatilia baadhi ya mambo ya wakubwa, acha niende rafiki yangu giza lishaanza kuingia mitaa yenyewe hii kila siku kesi mpya nisije nikakabwa bure mie mama yeyo akabaki mjane”

“hahaha umenichekesha japo umeongea ukweli tunapaswa kuwa makini sana”

Yalikuwa ni maongezi ya marafiki wawili katika mitaa ya keko ndani ya jiji la Dar es salaam wakizungumzia hali ya nchi na mwenendo mzima wa uongozi hasa hasa wakiongelea sana hali ya utulivu iliyo letwa kwa mafanikio makubwa na mheshimiwa raisi wa nchi ya Tanzania baada ya kuzuia uuzwaji wa madawa ya kulevya nchini kwa asilimia kubwa sana pamoja na kuundwa kwa sheria mpya kali kwa yeyote atakae kamatwa na biashara hiyo haramu.

Wakati huo huo ndani ya casino moja kubwa inayopatikana maeneo ya posta anaonekana mr Decco akiwa kwenye mkutano na vijana wake kadhaa wa kazi kwenye moja ya vyumba vya siri sana.

ENDELEA..........

“Kwanza kabisa kuhusu zile mali za bwanamdogo Calvin mpaka sasa hajapatikana na hatujui yuko wapi tangu alipo ondoka japo juhudi za kumtafuta zinaendelea lakini hazijazaa matunda yoyote yale, kuna mali baadhi ambazo nazifahamu na nasubiria ipite miaka miwili Kama bado sijamtia mkononi mwangu nijitokeze hadharani kwamba mimi ndiye mmiliki halali kwa sababu wale walikuwa kama familia yangu na hilo pia litasaidia sana kumuibua Calvin popote alipo ajitokeze kwani hajui lolote kuhusu mimi, akitokea tu ndipo hapo tutamuua na kuchukua hati miliki za mali zote ambazo nina uhakika ni mali nyingi sana na nina hisi yeye ndiye alikuwa mtu tajiri zaidi ndani ya nchi hii japo hakutaka kujulikana” Hakuwa mwingine ni Mr Fabian Decco

“Bosi hiyo njia unayo taka kuitumia naona kama ni hatari sana”

“msiogope nishaandaa kila kitu, nilicho waitia hapa leo sio kuhitaji ushauri wenu, ni kwamba kesho asubuhi nawahi Thailand kuna mzigo mkubwa sana wa madawa ya kulevya unatakiwa uingizwe hapa nchini kwa sababu ni muda mrefu sana tangu serikali imeweka sheria kali na vikwazo vikubwa hatujafanya biashara, kwahiyo naenda kufatilia mzigo na utaingia hapa baada ya wiki mbili.

Akio atawapa maelekezo yote namna ya kuupokea kama kuna taarifa yoyote mhimu nipigiwe simu haraka sana na niwe mtu wa kwanza kuipata hiyo taarifa, na kama itatokea kuna mtu analeta usaliti muueni haraka sana hata kama ni mwenzenu, kwa sheria zetu ni kosa mtu kutoa siri nje, nawalipa pesa nyingi sana kuhakikisha muda wowote mnanilinda kwa chochote kile sasa ikitokea mtu kaenda kinyume lazima yeye na familia yake wote wafe, mmeelewa?”

“ndio bosi”

************************

Hayo yalikuwa maeongezi ya Mr Decco na watu wake wa siri sana ambao huwa anawatumia kufanya biashara zake za madawa ya kulevya kwa siri sana hapa nchini, na alikuwa amepumzika kwa muda kwa sababu serikali ilikuwa inafanya msako mkali kwa wafanya biashara wote wa madawa, sasa ameona hali imetulia ameamua kuendelea na biashara zake kama kawaida za uuzaji wa madawa ya kulevya ambazo ndizo zinamwingizia pesa nyingi sana.

Rasmi ilitimia miezi nane ya mafunzo ya mapigano na mbinu hatari sana za kijasusi kwa Calvin akiwa kasimamiwa na jasusi mmoja hatari sana aitwae Akio.

“Bwanamdogo nimewafundisha watu wengi sana lakini wewe ni hatari sana hapo ulipo saivi unaweza kupigana na kiumbe chochote kile na sijui ikiisha hiyo miaka miwili itakuaje, unaweza kuja kuwa mtu hatari zaidi duniani na uangalie sana usije ukaanza kutumia uwezo wako kuwa fimbo ya kuwachapia wanyonge, sina la ziada sana zaidi ya kukuhimiza uendelee kufanya mazoezi kwa bidi sana na ukihitaji msaada wangu najua unaelewa namna ya kunipata” Calvin aliitikia kwa kichwa kisha wakakumbatiana kwa hisia sana kwani Calvin alikuwa anamchukulia Akio kama kaka yake kwa namna alivyokuwa anaishi nae vizuri, baada ya hapo kila mtu akashika njia yake.

Kulikucha asubuhi na mapema sana Calvin alishtushwa na mtu aliyekuwa anagonga mlango kwa nguvu na fujo sana, alisonya kwa nguvu akajisogeza mpaka mlangoni akakutana na mtu mmja wa kichina akiwa kavaa zake suti na miwani ya bei kali, wote waliishia kutazamana tu lakini mwisho yule ,mchina alimrushia nguo nyeusi na kuamuru amfuate, Calvin hakuuliza chochote akajua ni muda wa mazoezi.

Mchina huyu aitwaye Yuang Feng alikuwa pale kwa kazi kubwa mbili, yakwanza ni kumfundisha Calvin mapigano kutoka china aina ya Kungfu pamoja na teknolojia ya taarifa za kimtandao yaani mambo ya komputa kama kudukua taarifa mbali mbali. Ilitumika miezi sita pekee kuhakikisha anaivishwa kwenye kila kitu.

Baada ya kumalizana na mchina alishtuka sana baada ya kumuona mzee Haruto mbele yake bila kutarajia wala kupewa taarifa yoyote ile ilikuwa ni ghafla sana na hakulitegemea hilo, ndipo alipo yakumbuka maneno ya Akio aliye mwambia kwamba huyu mzee utamwona baada ya mwaka kuisha, sasa ulikuwa umepita mwaka na miezi yake miwili anabahatika kumwona mzee huyu akiwa ana tabasamu tele kwa mara ya pili tangu aingie kwenye gnome hii.

COMENT NA KULIKE KWENYE PAGE YANGU KISHA TWENDE SAWA "ULIMWENGU WA WATU WABAYA"

Mzee una……….. Calvin alitaka kuongea lakini alikatishwa na Mr Haru
“kijana wangu najua utakuwa una maswali mengi sana ila huu sio muda wake kuuliza, nimefurahi tu kuona unaendelea vizuri na naona umeanza kuimarika hata mwili wako unasadiki hilo".

Nakupa nafasi ya upendeleo niulize swali moja tu ndilo nitakalo lijibu kisha ukaendelee na mazoezi yako”.

Calvin alihema kwa nguvu kisha taratibu akaufungua mdomo wake

“kwanini nafundishwa na watu wengi sana kiasi hiki mpaka inanitisha kwa sababu nilitegeme kufundishwa na mtu mmoja Pekee, hii ina maana gani?” ndilo swali ambalo Calvin aliona linamfaa kwa nafasi moja ya pekee aliyopewa.
master Haru alitabasamu sana

“nifate” alitamka neno moja tu mzee huyu, waliingia kwenye korido moja kubwa sana kisha taa zikazima ghafla, kulikuwa na baridi kali sana na kiza kinene mno kiasi kwamba Calvin hakuwa na uwezo wa kuona hata kitu kilichopo umbali wa sentimita thelathini kutoka alipo simama(hapa nazungumzia urefu wa rura moja) , haukupita muda mrefu sana kilikuja kitu kama lifti mbele yao, wakapanda japo Calvin hakuelewa wanaenda wapi ila jinsi ile lifti ilivyokuwa inatembea alihisi wanashuka chini ardhini.

Walifika na kushuka, ajabu ile lifti haikuonekana tena, Calvin aliogopa sana japo aliamua kuwa mvumilivu tu na sehemu hiyo ilikuwa na mwanga wa kutosha tofauti na waliko toka kwenye kiza kinene, kwani hali hiyo ilimshangaza sana, kuuliza tu swali moja ndiyo aletwe huku aliishia tu kutetemeka kwa baridi kali sana la mle ndani, haikupita hata dakika moja uliwaka mwanga mkali sana wa rangi ya blue mbele likaonekana jokofu moja kubwa sana ambamo ndani yake kulikuwa na mwili wa mtu alie kufa.
Hii hali ilizidi kumtetemesha Calvin hakuelewa sababu ya yeye kuja kuonyeshwa huo mwili, mzee Haruto kwa sauti kavu kabisa akafungua mdomo wake...............Je unadhani ule mwili kwenye jokofu ni wa nani? Na Calvin anahusika vipi na huo mwili? Kuuliza swali moja tu la kwanini anafundishwa na watu wengi ndio ipelekee kuletwa huku? Kuna Siri gani ipo nyuma ya hili jambo?. Ukurasa wa kumi unafika tamati tukutane Katika kurasa zinazofuata. Hii ni ULIMWENGU WA WATU WABAYA Mimi ni Bux the story teller......Chao View attachment 2271229
HADITHI: ULIMWENGU WA WATU WABAYA
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
MTUNZI : Bux the story teller
WHATSAPP : 0621567672
AGE: 18+
UKURASA WA 11

UKURASA ULIOPITA TULIPO ISHIA...........

Walifika na kushuka, ajabu ile lifti haikuonekana tena, Calvin aliogopa sana japo aliamua kuwa mvumilivu tu na sehemu hiyo ilikuwa na mwanga wa kutosha tofauti na waliko toka kwenye kiza kinene, kwani hali hiyo ilimshangaza sana, kuuliza tu swali moja ndiyo aletwe huku aliishia tu kutetemeka kwa baridi kali sana la mle ndani, haikupita hata dakika moja uliwaka mwanga mkali sana wa rangi ya blue mbele likaonekana jokofu moja kubwa sana ambamo ndani yake kulikuwa na mwili wa mtu alie kufa.
Hii hali ilizidi kumtetemesha Calvin hakuelewa sababu ya yeye kuja kuonyeshwa huo mwili, mzee Haruto kwa sauti kavu kabisa akafungua mdomo wake.

ENDELEA...................
“huyo alie lala hapo alikufa kwa uzembe wangu mimi, ni mwanangu wa kumzaa na ndiye mtoto pekee ambaye nilibahatika kuwa nae kwenye haya maisha, ni miaka minne iliyopita niliamua kumpa mafunzo ya mapigano pamoja na ujasusi, nilimfundisha lakini sikumtengeneza ipasavyo nikimaanisha kuna vitu hakukamilisha, hali hiyo ndiyo iliyo mpelekea yeye kuwa hapo.

Kwa sababu ya hizi kazi zangu zilinitengenezea maadui wengi sana. Siku moja usiku wakati narudi nyumbani nilipigiwa simu na namba ngeni ikinihitaji niende Bangkok Thailand kama namhitaji mwanangu akiwa hai, kwanza nilishangaa sana imekuaje mpaka mwanangu atekwe kiurahisi sana kiasi hicho kwahiyo sikumtilia maanani sana yule mtu nikajua ni matapeli tu wanao penda pesa za njia rahisi bila kutoa jasho nikaamua kumkatia simu.

Baada ya dakika tatu nilishtushwa na video iliyo tumwa kwenye simu yangu, naikumbuka ilikuwa na sekunde thelathini tu pekee, kama mzazi niliumia sana kuona mwanangu ambae ndilo lilikuwa jicho langu anavunjwa mguu kikatili kama vile mtu anavunja kuni, niliapa kama nikimpata huyu mtu basi atakufa kifo kibaya sana, ilipita dakika moja tu tena simu ikapigwa, niliipokea nikiwa natetemeka kwa hasira, nilisikia kicheko cha dharau sana upande wa pili kitu anbacho kiliniuma sana

“Hinata Haru jasusi la kijapan ambae umejificha kwnye maisha ya kawaida hahahahahahhahahah”

“wewe ni nani na unahitaji nini na huyo bwana mdogo uliye mteka anahusikaje na haya?”

“kwenye maisha ili umuweze binadamu yeyote yule kwanza unapaswa uujue udhaifu wake vyema, hapo unaweza kumuamuru akafanya lolote lile na hicho ndicho nilicho amua kukitumia kwako kwa sababu ningekufuata wewe moja kwa moja nisingekuweza kwa lolote. Mbele ya mtoto wako najua utafuata mashariti yangu kama utahitaji awe salama, nisikilize vizuri tena kwa umakini mkubwa huenda huelewi kwanini ninakuhitaji sana.

COMMENT NA KULIKE KWENYE PAGE YANGU

kama unakumbuka miaka miwili iliyopita kuna kazi ulienda kuifanya nchini Pakstan ambayo uliipa jina la DD{deadline day} OPERATION ya kwenda kurudisha pesa nyingi sana zilizokuwa zimeibiwa ndani ya Bank kuu ya Japan, ulilifanikisha vizuri sana suala hilo na ukapewa sifa nyingi mno kwenye ngazi za juu sana za usalama wa taifa lako na unaishi kwa siri sana kiasi kwamba ni watu wachache mno wanao kufahamu hata hivyo hili halinihusu sana, lakini kuna kosa moja kubwa sana ulilifanya, yule mtu alie husika na ule wizi ni kaka yangu wa damu, tulizaliwa wawili tu na ulimuua kikatili sana, ni kweli aliiba lakini hukupaswa kumuua, kwa hili siwezi kukusamehe, utaamua wewe kama uje ndani ya masaa ishirini na manne au nimuue mtoto wako wote tubaki na vidonda moyoni japo mimi nakuhitaji sana wewe hapo maana mtoto wako hahusiki na wala hajui lolote ila ukicheza hovyo huyu dogo unampoteza” aliongea kwa jeuri sana yule kijana.

“unaonekana umejipanga sana na sijajua umewezaje kujua siri zangu na kufanikiwa kumchukua bwana mdogo kirahisi sana hivyo?”

“hahahhhhhahha mzee najua wewe ni jasusi hatari sana kwahiyo ilikuwa ni lazima mwanao awe vizuri sana lakini ajabu ametekwa na watu wawili tu pekee tena hotelini Hiyori Hotel Osaka Namba Station akipata chakula, nadhani sasa umeelewa, sitaki nyimbo nyingi nakuhitaji haraka sana mzee”

“sawa nakuja asubuhi”

kisha nikakata simu japo niliona ni dharau kubwa sana mwanangu kutekwa na watu wawili tu pekee ilinibidi haraka sana niende kwenye hiyo hoteli nilifika nje nikajua kabisa kwa mazingira yalivyo lazima wamemchukulia nje kwani ndani isingewezekana ile ilikuwa ni miongoni mwa hoteli zenye ulinzi mkubwa Sana, basi haraka haraka nikaanza kuangaza huku na huku kama nitaona kamera za usalama, haikuwa kazi kubwa kwangu niliipata moja na kuondoka nayo.

Niliweza kushuhudia vijana wawili tu ndio walio weza kumzimisha na kuondoka nae, iliniuma na nilijilaumu sana kiasi kwamba kama ningekuwa nimempa mafunzo ya kutosha wasingefanikiwa kumkamata, sikuwa na namna ilinibidi nipande ndege haraka sana mpaka Thailand kwenye mji maarufu sana wa Bangkok, ilikuwa ni pembezoni kabisa mwa mji ndipo nilipohitajika kufika.

Ilikuwa ni ngome moja ndogo tu nilishangaa sana wanajiamini vipi kumteka mtoto wa mtu hatari sana kama mimi ingali hata ulinzi wa kutosha hawana, nilikuja kugundua yule kijana hakuwahi kunifahamu nilikuwa mtu wa aina gani na ni miongoni mwa vijana ambao walikuwa wamejikatia tiketi ya kuishi maisha mafupi kwani kwa kosa alilokuwa amelifanya hakukuwa na namna yamimi kumsamehe tena.

Nilishtushwa na sauti ya kishindo cha mfuko ambao ulirushwa mbele yangu ukivuja damu, niliufungua taratibu ila nilishtuka sana baada ya kukuta mwanangu ameuawa kikatili sana kwa kuvunjwa vunjwa vibaya mno, kuna ambao baadhi yao walianza kuogopa baada ya kuniona nipo kawaida tu na natabasamu kwani haikuwa kawaida kwa mwanadamu asiye na moyo wa ziada kuuliwa mwanae wa pekee na bado akawa na bashasha usoni mwake, kwa aina ya mtu kama mimi inatokea mara chache sana nikakuonyesha udhaifu wangu moja kwa moja mpaka unigundue kwamba nalia, lakini ukweli moyoni nilikuwa naumia sana kumpoteza huyu mtoto ambae nilimpenda sana.

“mbona umevunja makubaliano yetu kijana?” nilimuuliza kwa sauti ya utaratibu sana

“hahhhhaha hivi kwa akili zako ulijua kweli nitamuacha hai? mimi nawaua wote” alijibu akiufurahia uwepo wangu pale

“kijana wangu kwenye maisha kuna kauli huwa wanasema ahadi ni deni, hii kauli huwa inaamana ya kwamba ukiahidi kitu hakikisha unakitimiza na ukishindwa linakuwa ni deni ambalo itakulazimu ulilipe kwa nguvu, umefanya kosa kubwa sana kwenye maisha yako ambalo linakupelekea ufe kifo kibaya sana”

Sikumruhusu anipe jibu tena nilinyanyuka pale kama mshale, kilicho fuata pale niliwachinja vibaya sana na yule kijana nilikata kichwa chake na kwenda kuwapatia mbwa, lakini sikutaka kumzika mwanangu niliamua kumkausha na kumhifadhi huku ili angalau nikimmisi sana niwe namuona.

Nafkiri nimekujibu swali lako, lengo langu niliamua ufundishwe na watu wengi ili uwe imara na usije kufa kipumbavu kama mwenzako, kwa sasa wewe ndiye ninae kuangalia kama mwanangu wa pekee uliye baki. Haya nenda mbele hatua tano alafu potea hapa sitaki kukuona tena mbele yangu ondoka haraka sana”

Master Haru aliongea kwa hasira sana na wakati huo Calvin alikuwa anatiririkwa na jasho kama maji kwa hadithi anazo zidi kupewa za watu hawa zilikuwa zinamtisha mno. Alitokea sehemu waliyo ingilia akiwa anahema sana akaamua akalale tu chumbani kwake hakuwa na hamu hata ya kula wala hakukumbuka kuoga tena.

Ilikuwa imepita miezi mingine mitano tangu aje mtaalamu wa saikolojia kutoka nchini Israeli kumfundisha Calvin kuhusu haiba ya binadamu ilivyo, alihakikisha anawaelewa wanadamu mawazo yao kuanzia mtu anavyo amka na vitu anavyo viwaza mpaka anavyo kwenda kulala na anacho kiwaza, kukipenda na kukichukia kwa ujumla.

Ni majira ya jioni sana akiwa ameketi katikati ya uwanja ambao mara nyingi sana alikuwa akiitumia kwa ajili ya kufanyia mazoezi makali, alitamka neno moja tu mapenzi kisha akatabasamu sana kwa bashasha kubwa lakini haukupita muda sana tabasamu lilipotea kiasi cha uso kupoteza nuru yake.

****************************

Aliwaza maisha ya nyuma kidogo kipindi yupo chuo alikuwaga na mwanamke mmja aliempenda sana, alikuwa ni mlimbwende mmja kutoka nchi ya marekani, walikutana chuoni wakati mrembo huyo alipokuwa anachukua masomo ya IT (information technology).

Walipendana sana kiasi cha kuahidiana kuja kuoana wakimaliza masomo yao , ni watu walio kuwa wamejaa furaha kila wakati kwenye penzi lao na hata wanafunzi wengine chuoni hapo waliyatumia mapenzi yao kama mfano wa kuigwa lakini penzi hili lilikuja kupata pigo moja zito sana na simanzi isiyo elezeka baada ya mrembo wa Calvin ambae alizoea kumwita nyonga mkalia ini wake, habibi anukiae marashi ya Zanzibari na Pemba, huyu ndiye alie mfanya akatamani amtume njiwa apeleke barua ya upendo iliyo jaa maneno yenye huba huku barua ikipambwa na ushairi mzuuri sana ulio sadifu uzuri wa mrembo huyu kutoka nchi za mbali sana, lakini haya yote yalikatishwa na kutoweka kwa ghafla kwa mrembo huyu bila taarifa yoyote kama yupo salama huko aliko au tatizo gani limemkumba kwa maana alikuwa ni ghafla sana.

Calvin alijaribu kupiga kila namba lakini jibu alilolipata lilimkatisha tamaa na kumwaminisha kwamba inawezekana mwanamke huyo hakuwa fungu lake licha ya kumpa upendo ambao hata Romeo hakuweza kumpatia miongoni mwa mabinti maarufu na warembo kuwahi kutokea kwenye majarida, mashairi pamoja na historia za mapenzi maarufu sana duniani, mrembo Juliett kutokea familia ya Capulate huko nchini Italy. Calvin hakukoma akaamua kuwatafuta mpaka rafiki zake na mrimbwende huyo lakini jibu lilikuwa ni lile lile, aliumia sana kiwango cha kukata tamaa na kuamua kutokupenda tena mwanamke yeyote yule mpaka pale moyo wake utakapo pata pumziko la kutosha.

Alitoka kwenye mawazo mazito kisha akatamka jina moja tu Jackline, akatabasamu baada ya kuikumbuka vyema sura ya mwanadada huyo na kuondoka mahali pale kwenda chumbani kwake.

Ni kipi unadhani anaenda kufanya bwana mdogo Calvin ili kuirudisha furaha yake? Huyu Jackline ni nani hasa na yuko wapi? Ukurasa wa kumi na moja unafika tamati ungana nami mpaka mwisho wa kigongo hiki.

Bux the story teller

ULIMWENGU WA WATU WABAYA
Chao..........................
JamiiForums-1487847264.jpg
 
Pamoja sanaaaa
HADITHI: ULIMWENGU WA WATU WABAYA
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
MTUNZI : Bux the story teller
WHATSAPP : 0621567672
AGE: 18+
UKURASA WA 12

UKURASA ULIOPITA TULIPO ISHIA.........

Calvin alijaribu kupiga kila namba lakini jibu alilolipata lilimkatisha tamaa na kumwaminisha kwamba inawezekana mwanamke huyo hakuwa fungu lake licha ya kumpa upendo ambao hata Romeo hakuweza kumpatia miongoni mwa mabinti maarufu na warembo kuwahi kutokea kwenye majarida, mashairi pamoja na historia za mapenzi maarufu sana duniani, mrembo Juliett kutokea familia ya Capulate huko nchini Italy. Calvin hakukoma akaamua kuwatafuta mpaka rafiki zake na mrimbwende huyo lakini jibu lilikuwa ni lile lile, aliumia sana kiwango cha kukata tamaa na kuamua kutokupenda tena mwanamke yeyote yule mpaka pale moyo wake utakapo pata pumziko la kutosha.

Alitoka kwenye mawazo mazito kisha akatamka jina moja tu Jackline, akatabasamu baada ya kuikumbuka vyema sura ya mwanadada huyo na kuondoka mahali pale na kwenda chumbani kwake.

ENDELEA............

Haikuwa kawaida, leo tangu amalizane na jasusi wa Kiisraeli aliekuwa akimfundisha saikolojia ya mwanadamu, ilifika mpaka majira ya mchana bila kumwona mtu yeyote wala kupewa taarifa yoyote alishangaa sana bwana mdogo ambae kwa sasa umri ulikuwa umesogea kidogo na ndevu zilikuwa za kutosha kidevuni kwake, ilibaki miezi kadhaa tu kutimiza miaka miwili ndani ya kambii hii.
Mida ya jioni sana aliona kuna mtu akiwa anamevaa zake nguo nyeupe za kidaktari na miwani yake mweupe safi kabisa akijongea ule upande wake kwa mikogo huku akipiga mluzi ulio jaa furaha ndani yake. Alikuwa ni Doctor Sanjey Prakash kutoka katika taifa la INDIA.

Huyu hakuwa tu daktari kama wengi walivyo kuwa wakidhani bali alikuwa ni mtu wa usalama wa taifa la India ambae alikuwa anafa nya kazi zake kwa mgongo wa kujifanya ni daktari, aliletwa ili kumfundisha Calvin mwili wa binadamu ulivyo, sehemu dhaifu zaidi kwenye mwili wa mwanadamu, sehemu ambazo ni imara sana na ambazo ni mbaya zaidi endapo mtu akizishambulia pamoja na kumfunza dawa mbali mbali pamoja na sumu za hatari sana ambazo zina uwezo wa kuchukua maisha ya mwanadamu kwa dakika tatu pekee endapo mtu akichomwa na sumu hizo. Kijana alikuwa anapikwa haswa na akimaliza haya mafunzo anaonekana hatakuwa mwanadamu wa kawaida tena bali kitakuwa kiumbe kingine kabisa cha kutisha sana.

“haaaaaa ndio wewe kumbe, nilijua nitakutana na jitu kubwa sana kumbe bwana mdogo kabisa”

Calvin alitabasamu sana baada ya kugundua daktari huyo alikuwa ni mtu mwenye utani mwingi sana.

somo lilianza rasmi ambapo kwa siku ilikuwa inawachukua masaa kumi na manane kulisoma somo hilo kwa umakini mkubwa sana ili kama itatokea akapatwa na matatizo yoyote huko aendako ajue namna ya kwenda kujisaidia au kuyatumia mafunzo hayo kumrahisishia kazi yake. Calvin alikuwa anapata muda mchache sana wa kupumzika kwani ilimlazimu atumie zaidi ya masaa ishirini na mawili kufanya mazoezi ikiwa ni masaa manne ya mazoezi ya kila siku kila anapo toka kwa mr Sanjey Prakash, kwahiyo kila siku alikuwa analala kwa masaa mawili pekee kijana huyu mdogo.

DAR ES SALAAM TANZANIA........

Ndani ya nchi ya watu wapenda amani zaidi duniani katika airpot kubwa na bora zaidi nchini ya JNIA (Julius Nyerere International Airport) katika mlango wa ndege kubwa sana aina ya Emirates flights inayofanya safari zake kutoka Tanzania kwenda japan na Japan kuja Tanzania, anaonekana mwanaume mmja mtanashati isivyo kawaida na mwenye sura ya kuvutia huku mwili wake ukipendezeshwa zaidi na misuli iliyo jigawa vyema kila mahali na kumfanya aonekane maridadi sana.

Alitumia zaidi ya sekunde arobaini akiwa analitazama anga la nchi hii mashuhuri zaidi barani Africa, alitabasamu sana kisha akatamka
“Been a while but im back again(ni muda mrefu kidogo lakini nimerudi tena)” alisisitiza tena kwa Kiswahili “NIMERUDI”.

UNGANA NAMI MPAKA MWISHO WA KIGONGO HIKI langu jina naitwa FEBIANI THOMASI BABUYA, kurasa zangu napatikana kwa jina la Bux the story teller.

Alikuwa ni mwanaume na tajiri huyu mtoto Calvin Jackson Aron Mavunde , rasmi sasa alikuwa kwenye nchi yake aliyo zaliwa si nyingine ni ndani ya nchi nzuri ya Tanzania, aliondoka akiwa mtu mwenye simanzi kubwa sana lakini amerudi akiwa na uso wenye bashasha sana. Hakuwa na muda wa kupoteza sana alitoka nje moja kwa moja na kuifuata tax moja maeneo ya nje ya uwanja

******************************************

“nipeleke RAMADA hotel”

“sawa bosi” dereva tax aliitikia kwa heshima kidogo kwa namna tu alivyo muona mtu yule hakuwa mnyonge mavazi yake tu yalithibitisha hilo.

Baada ya kufika hotelini maeneo ya mbezi beach Calvin alimlipa dereva ujira wake na kisha akaelekea ndani na kuchukua chumba. Akiwa chumbani kwake kwenye miongoni mwa vyumba bora sana vya hoteli hiyo kubwa na bora sana hapa nchini, aliwaza sana ni wapi aanzie rasmi kazi yake ingali hamjui mtu yeyote mwenye kuhusika na hilo jambo, wakati anaendelea kuwaza alikumbuka kitu, akalikimbilia begi lake haraka sana kisha akatoa waleti yake, aliitoa picha moja, kisha aliitazama kwa umakini sana, haikuwa nyingine bali ya mtaalamu Scot, mafia huyu ambae ni mtu wa kuaminika sana kwa Mr Decco.

“wewe ndiye utakae nipa mwanga juu ya hili na utanieleza vyema picha yako ilifikaje mahali pale karibu na mwili wa mama yangu na ole wako uwe unahusika katika hili nakuhakikishia kwa majina ya wazazi wangu utakufa kifo kibaya sana ambacho ni wanadamu wachache sana walishawahi kukipitia” mwanaume aliongea kwa uchungu akiwa anaiangalia kwa umakini sana picha ya scot ambayo aliidondosha kwa bahati mbaya sana siku aliyofanya mauaji kwenye familia ya Jackson Aron na wakati huo alikuwa ameuma meno kwa hasira tabasamu lote lilikuwa limepotea kwenye uso wake, aliamua kujilaza huku akiwa na mawazo mengi, ila alipanga kesho yake akatembelee kwenye nyumba yao ili apate kuyaona makaburi ya wazazi wake ambayo ilikuwa imepita zaidi ya miaka miwili na miezi yake sasa tangu aweze kufika mahali hapo.

Ni asubuhi na mapema sana ndani ya MASAKI katika jumba moja kubwa sana la kifahari lakini linaonekana kupauka kwa mbali kutokana na kuonekana kukosa wakaaji kwa zaidi ya miaka miwili sasa, pembeni kabisa mwa jumba hilo anaonekana kijana mmja akiwa ndani ya vazi la suti iliyoshonwa vyema sana huku usoni akiwa amejazia ndevu nzuri zilizotunzwa kwe weledi mkubwa na uso wake ukipambwa kwa miwani ya bei kali mno, leo alikuwa amekaa ndani ya gari yake ya kifahari sana Mercedez Benz iliyokuwa zawadi kutoka kwa marehemu baba yake baada ya kumaliza masomo yake ya chuo kikuu.

Alishuka taratibu na kuivua miwani yake akaenda getini na kuingiza nywila kisha geti likafunguka, alizama ndani na kwa mazingira aliyo yakuta pale ilimdhihirishia kwamba ni muda sana hakuna mtu alieweza kufika mahali hapo, aliuangalia mlango ambao ulikuwa umejifunga japo mtu alikuwa ana uwezo wa kuufungua kiurahisi tu kwani siku ya mwisho ulipigwa risasi wakati watu wale wanakuja kumtafuta.
Akiwa hapo yalianza kumjia matukio ya siku ile usiku alipo shuhudia miili ya wazazi wake ikiwa imelala juu ya sakafu haina uwezo wa kuendelea kuhimili kuivuta pumzi ya ulimwengu, ni matukio yaliyo mfanya akatoa chozi kwa mara nyingine tena. Hakutaka kuendelea kukumbuka maana yalikuwa yanamuumiza, akazunguka nyuma upande wa bustani mahali walipo pumzishwa wazazi wake wawili, akaketi mbele ya kidogo ya makaburi hayo ambayo yalijengwa kisasa sana.

LIKE NA KUCOMMENT KWENYE HII PAGE YANGU

“Baba na mama mtoto wenu wa pekee nimerudi leo, mwanenu nimekua sasa na nimejifunza dunia ilivyo, baba ulinambia nikikua nitayaona lakini sikutegemea kama ilikuwa ni kushuhudia nyie mkienda mbali namimi milele, Mlikuwa kila kitu kwangu.

nakumbuka vyema mama kila siku asubuhi ulikuwa ukinifunga tai vizuri ukisisitiza nisichelewe sana kukupatia wajukuu maana umechoka kuwa mpweke pekeako, tena ulikuwa ukinikumbusha kuwa kijana mwema sana mbele ya uso wa dunia mama na nilikuahidi hilo lakini naomba unisamehe na uniruhusu katika hili naenda kuwa binadamu mkatili sana kwa hawa wote ambao wamehusika na huu unyama kwenu, nakupenda sana mama na unajua hilo, nimemisi kumbatio lako,nimemisi chakula chako na jinsi ulivyo nidekeza kama mtoto mdogo, aaaaaagh u.u.u.u uko wapi mama, MUNGU akulaze mahali pema my love”. Ni maneno ya uchungu sana ambayo yalimfanya Calvin atokwe na machozi kama mtoto mdogo akimaliza kwa kigugumizi kikali sana mbele ya kaburi la miongoni mwa wanawake bora na muhimu zaidi kwenye ulimwengu wake aliokuwa ameuishi tangu akiwa mtoto mdogo, alikuwa ni mama yake mzazi Bibi Alice Jackson.

Alinyanyuka kwa uvivu huku akifuta machozi yake mpaka alipohakikisha amekauka vyema uso wake akahamia kwenye kaburi la baba yake,

“Baba Calvin wako saivi amekuwa ni mwanaume haswa lakini kwa bahati mbaya huwezi hata kumsifia tena wala kumkumbatia, huwa kila nikilala nakumbuka usemi wako kwamba haipaswi mwanaume shupavu atoe machozi kwenye uso wake kwani ataonyesha udhaifu mkubwa sana mbele ya wale wanao mtegemea ikiwemo familia yake ambayo inamuangalia yeye kama kioo kwao na hilo nakuahidi kwamba huu uso wangu hautatoa machozi tena juu ya hilo jambo.

Nashukuru sana ulinipeleka kwa mtu sahihi sana kwenye maisha yangu, master Haru, kwangu yule ni zaidi ya mwalimu na kwangu ntamheshimu kama nilivyokuwa nakuheshimu wewe, atakuwa ni familia yangu kwa sasa.
Baba nakuahidi mbele ya uso wa dunia hii hautabaki hata mfupa ulio hai kwa yeyote aliye husika katika hili, kila mtu malipo yake yataendana na alicho kifanya, ila itabidi wafanyiwe kitu ambacho hata wenzao wakiona hawatakaa wakarudia kuichukua haki ya mtu mnyonge tena hapa duniani.

Mwanao naondoka leo na nitarudi tena kuwasalimia siku nikimaliza kazi hii nzito sana ambayo ipo mbele yangu, sayonora chichi to haha”. aliyaongea maneno hayo ya kijapani akimaanisha kwaheri baba na mama kisha akatoka mahali hapo bila kuangalia nyuma, akapanda gari lake na kupotea kwa kasi ya ajabu.

Kalamu ya professor leo inafika tamati.....sijajua ni kipi kinaenda kutokea kwenye nchi hii ya amani kwani mwanaume amebadilika sana, basi sina mengi kwa leo tukutane wakati ujao........ Chao
JamiiForums1903976070.jpg
 
HADITHI: ULIMWENGU WA WATU WABAYA
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
MTUNZI : Bux the story teller
WHATSAPP : 0621567672
AGE: 18+
UKURASA WA 12

UKURASA ULIOPITA TULIPO ISHIA.........

Calvin alijaribu kupiga kila namba lakini jibu alilolipata lilimkatisha tamaa na kumwaminisha kwamba inawezekana mwanamke huyo hakuwa fungu lake licha ya kumpa upendo ambao hata Romeo hakuweza kumpatia miongoni mwa mabinti maarufu na warembo kuwahi kutokea kwenye majarida, mashairi pamoja na historia za mapenzi maarufu sana duniani, mrembo Juliett kutokea familia ya Capulate huko nchini Italy. Calvin hakukoma akaamua kuwatafuta mpaka rafiki zake na mrimbwende huyo lakini jibu lilikuwa ni lile lile, aliumia sana kiwango cha kukata tamaa na kuamua kutokupenda tena mwanamke yeyote yule mpaka pale moyo wake utakapo pata pumziko la kutosha.

Alitoka kwenye mawazo mazito kisha akatamka jina moja tu Jackline, akatabasamu baada ya kuikumbuka vyema sura ya mwanadada huyo na kuondoka mahali pale na kwenda chumbani kwake.

ENDELEA............

Haikuwa kawaida, leo tangu amalizane na jasusi wa Kiisraeli aliekuwa akimfundisha saikolojia ya mwanadamu, ilifika mpaka majira ya mchana bila kumwona mtu yeyote wala kupewa taarifa yoyote alishangaa sana bwana mdogo ambae kwa sasa umri ulikuwa umesogea kidogo na ndevu zilikuwa za kutosha kidevuni kwake, ilibaki miezi kadhaa tu kutimiza miaka miwili ndani ya kambii hii.
Mida ya jioni sana aliona kuna mtu akiwa anamevaa zake nguo nyeupe za kidaktari na miwani yake mweupe safi kabisa akijongea ule upande wake kwa mikogo huku akipiga mluzi ulio jaa furaha ndani yake. Alikuwa ni Doctor Sanjey Prakash kutoka katika taifa la INDIA.

Huyu hakuwa tu daktari kama wengi walivyo kuwa wakidhani bali alikuwa ni mtu wa usalama wa taifa la India ambae alikuwa anafa nya kazi zake kwa mgongo wa kujifanya ni daktari, aliletwa ili kumfundisha Calvin mwili wa binadamu ulivyo, sehemu dhaifu zaidi kwenye mwili wa mwanadamu, sehemu ambazo ni imara sana na ambazo ni mbaya zaidi endapo mtu akizishambulia pamoja na kumfunza dawa mbali mbali pamoja na sumu za hatari sana ambazo zina uwezo wa kuchukua maisha ya mwanadamu kwa dakika tatu pekee endapo mtu akichomwa na sumu hizo. Kijana alikuwa anapikwa haswa na akimaliza haya mafunzo anaonekana hatakuwa mwanadamu wa kawaida tena bali kitakuwa kiumbe kingine kabisa cha kutisha sana.

“haaaaaa ndio wewe kumbe, nilijua nitakutana na jitu kubwa sana kumbe bwana mdogo kabisa”

Calvin alitabasamu sana baada ya kugundua daktari huyo alikuwa ni mtu mwenye utani mwingi sana.

somo lilianza rasmi ambapo kwa siku ilikuwa inawachukua masaa kumi na manane kulisoma somo hilo kwa umakini mkubwa sana ili kama itatokea akapatwa na matatizo yoyote huko aendako ajue namna ya kwenda kujisaidia au kuyatumia mafunzo hayo kumrahisishia kazi yake. Calvin alikuwa anapata muda mchache sana wa kupumzika kwani ilimlazimu atumie zaidi ya masaa ishirini na mawili kufanya mazoezi ikiwa ni masaa manne ya mazoezi ya kila siku kila anapo toka kwa mr Sanjey Prakash, kwahiyo kila siku alikuwa analala kwa masaa mawili pekee kijana huyu mdogo.

DAR ES SALAAM TANZANIA........

Ndani ya nchi ya watu wapenda amani zaidi duniani katika airpot kubwa na bora zaidi nchini ya JNIA (Julius Nyerere International Airport) katika mlango wa ndege kubwa sana aina ya Emirates flights inayofanya safari zake kutoka Tanzania kwenda japan na Japan kuja Tanzania, anaonekana mwanaume mmja mtanashati isivyo kawaida na mwenye sura ya kuvutia huku mwili wake ukipendezeshwa zaidi na misuli iliyo jigawa vyema kila mahali na kumfanya aonekane maridadi sana.

Alitumia zaidi ya sekunde arobaini akiwa analitazama anga la nchi hii mashuhuri zaidi barani Africa, alitabasamu sana kisha akatamka
“Been a while but im back again(ni muda mrefu kidogo lakini nimerudi tena)” alisisitiza tena kwa Kiswahili “NIMERUDI”.

UNGANA NAMI MPAKA MWISHO WA KIGONGO HIKI langu jina naitwa FEBIANI THOMASI BABUYA, kurasa zangu napatikana kwa jina la Bux the story teller.

Alikuwa ni mwanaume na tajiri huyu mtoto Calvin Jackson Aron Mavunde , rasmi sasa alikuwa kwenye nchi yake aliyo zaliwa si nyingine ni ndani ya nchi nzuri ya Tanzania, aliondoka akiwa mtu mwenye simanzi kubwa sana lakini amerudi akiwa na uso wenye bashasha sana. Hakuwa na muda wa kupoteza sana alitoka nje moja kwa moja na kuifuata tax moja maeneo ya nje ya uwanja

******************************************

“nipeleke RAMADA hotel”

“sawa bosi” dereva tax aliitikia kwa heshima kidogo kwa namna tu alivyo muona mtu yule hakuwa mnyonge mavazi yake tu yalithibitisha hilo.

Baada ya kufika hotelini maeneo ya mbezi beach Calvin alimlipa dereva ujira wake na kisha akaelekea ndani na kuchukua chumba. Akiwa chumbani kwake kwenye miongoni mwa vyumba bora sana vya hoteli hiyo kubwa na bora sana hapa nchini, aliwaza sana ni wapi aanzie rasmi kazi yake ingali hamjui mtu yeyote mwenye kuhusika na hilo jambo, wakati anaendelea kuwaza alikumbuka kitu, akalikimbilia begi lake haraka sana kisha akatoa waleti yake, aliitoa picha moja, kisha aliitazama kwa umakini sana, haikuwa nyingine bali ya mtaalamu Scot, mafia huyu ambae ni mtu wa kuaminika sana kwa Mr Decco.

“wewe ndiye utakae nipa mwanga juu ya hili na utanieleza vyema picha yako ilifikaje mahali pale karibu na mwili wa mama yangu na ole wako uwe unahusika katika hili nakuhakikishia kwa majina ya wazazi wangu utakufa kifo kibaya sana ambacho ni wanadamu wachache sana walishawahi kukipitia” mwanaume aliongea kwa uchungu akiwa anaiangalia kwa umakini sana picha ya scot ambayo aliidondosha kwa bahati mbaya sana siku aliyofanya mauaji kwenye familia ya Jackson Aron na wakati huo alikuwa ameuma meno kwa hasira tabasamu lote lilikuwa limepotea kwenye uso wake, aliamua kujilaza huku akiwa na mawazo mengi, ila alipanga kesho yake akatembelee kwenye nyumba yao ili apate kuyaona makaburi ya wazazi wake ambayo ilikuwa imepita zaidi ya miaka miwili na miezi yake sasa tangu aweze kufika mahali hapo.

Ni asubuhi na mapema sana ndani ya MASAKI katika jumba moja kubwa sana la kifahari lakini linaonekana kupauka kwa mbali kutokana na kuonekana kukosa wakaaji kwa zaidi ya miaka miwili sasa, pembeni kabisa mwa jumba hilo anaonekana kijana mmja akiwa ndani ya vazi la suti iliyoshonwa vyema sana huku usoni akiwa amejazia ndevu nzuri zilizotunzwa kwe weledi mkubwa na uso wake ukipambwa kwa miwani ya bei kali mno, leo alikuwa amekaa ndani ya gari yake ya kifahari sana Mercedez Benz iliyokuwa zawadi kutoka kwa marehemu baba yake baada ya kumaliza masomo yake ya chuo kikuu.

Alishuka taratibu na kuivua miwani yake akaenda getini na kuingiza nywila kisha geti likafunguka, alizama ndani na kwa mazingira aliyo yakuta pale ilimdhihirishia kwamba ni muda sana hakuna mtu alieweza kufika mahali hapo, aliuangalia mlango ambao ulikuwa umejifunga japo mtu alikuwa ana uwezo wa kuufungua kiurahisi tu kwani siku ya mwisho ulipigwa risasi wakati watu wale wanakuja kumtafuta.
Akiwa hapo yalianza kumjia matukio ya siku ile usiku alipo shuhudia miili ya wazazi wake ikiwa imelala juu ya sakafu haina uwezo wa kuendelea kuhimili kuivuta pumzi ya ulimwengu, ni matukio yaliyo mfanya akatoa chozi kwa mara nyingine tena. Hakutaka kuendelea kukumbuka maana yalikuwa yanamuumiza, akazunguka nyuma upande wa bustani mahali walipo pumzishwa wazazi wake wawili, akaketi mbele ya kidogo ya makaburi hayo ambayo yalijengwa kisasa sana.

LIKE NA KUCOMMENT KWENYE HII PAGE YANGU

“Baba na mama mtoto wenu wa pekee nimerudi leo, mwanenu nimekua sasa na nimejifunza dunia ilivyo, baba ulinambia nikikua nitayaona lakini sikutegemea kama ilikuwa ni kushuhudia nyie mkienda mbali namimi milele, Mlikuwa kila kitu kwangu.

nakumbuka vyema mama kila siku asubuhi ulikuwa ukinifunga tai vizuri ukisisitiza nisichelewe sana kukupatia wajukuu maana umechoka kuwa mpweke pekeako, tena ulikuwa ukinikumbusha kuwa kijana mwema sana mbele ya uso wa dunia mama na nilikuahidi hilo lakini naomba unisamehe na uniruhusu katika hili naenda kuwa binadamu mkatili sana kwa hawa wote ambao wamehusika na huu unyama kwenu, nakupenda sana mama na unajua hilo, nimemisi kumbatio lako,nimemisi chakula chako na jinsi ulivyo nidekeza kama mtoto mdogo, aaaaaagh u.u.u.u uko wapi mama, MUNGU akulaze mahali pema my love”. Ni maneno ya uchungu sana ambayo yalimfanya Calvin atokwe na machozi kama mtoto mdogo akimaliza kwa kigugumizi kikali sana mbele ya kaburi la miongoni mwa wanawake bora na muhimu zaidi kwenye ulimwengu wake aliokuwa ameuishi tangu akiwa mtoto mdogo, alikuwa ni mama yake mzazi Bibi Alice Jackson.

Alinyanyuka kwa uvivu huku akifuta machozi yake mpaka alipohakikisha amekauka vyema uso wake akahamia kwenye kaburi la baba yake,

“Baba Calvin wako saivi amekuwa ni mwanaume haswa lakini kwa bahati mbaya huwezi hata kumsifia tena wala kumkumbatia, huwa kila nikilala nakumbuka usemi wako kwamba haipaswi mwanaume shupavu atoe machozi kwenye uso wake kwani ataonyesha udhaifu mkubwa sana mbele ya wale wanao mtegemea ikiwemo familia yake ambayo inamuangalia yeye kama kioo kwao na hilo nakuahidi kwamba huu uso wangu hautatoa machozi tena juu ya hilo jambo.

Nashukuru sana ulinipeleka kwa mtu sahihi sana kwenye maisha yangu, master Haru, kwangu yule ni zaidi ya mwalimu na kwangu ntamheshimu kama nilivyokuwa nakuheshimu wewe, atakuwa ni familia yangu kwa sasa.
Baba nakuahidi mbele ya uso wa dunia hii hautabaki hata mfupa ulio hai kwa yeyote aliye husika katika hili, kila mtu malipo yake yataendana na alicho kifanya, ila itabidi wafanyiwe kitu ambacho hata wenzao wakiona hawatakaa wakarudia kuichukua haki ya mtu mnyonge tena hapa duniani.

Mwanao naondoka leo na nitarudi tena kuwasalimia siku nikimaliza kazi hii nzito sana ambayo ipo mbele yangu, sayonora chichi to haha”. aliyaongea maneno hayo ya kijapani akimaanisha kwaheri baba na mama kisha akatoka mahali hapo bila kuangalia nyuma, akapanda gari lake na kupotea kwa kasi ya ajabu.

Kalamu ya professor leo inafika tamati.....sijajua ni kipi kinaenda kutokea kwenye nchi hii ya amani kwani mwanaume amebadilika sana, basi sina mengi kwa leo tukutane wakati ujao........ ChaoView attachment 2277415
HADITHI: ULIMWENGU WA WATU WABAYA
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
MTUNZI : Bux the story teller
WHATSAPP : 0621567672
AGE: 18+
UKURASA WA 13

UKURASA ULIOPITA TULIPO ISHIA.............

“Baba Calvin wako saivi amekuwa ni mwanaume haswa lakini kwa bahati mbaya huwezi hata kumsifia tena wala kumkumbatia, huwa kila nikilala nakumbuka usemi wako kwamba haipaswi mwanaume shupavu atoe machozi kwenye uso wake kwani ataonyesha udhaifu mkubwa sana mbele ya wale wanao mtegemea ikiwemo familia yake ambayo inamuangalia yeye kama kioo kwao na hilo nakuahidi kwamba huu uso wangu hautatoa machozi tena juu ya hilo jambo.

Nashukuru sana ulinipeleka kwa mtu sahihi sana kwenye maisha yangu, master Haru, kwangu yule ni zaidi ya mwalimu na kwangu ntamheshimu kama nilivyokuwa nakuheshimu wewe, atakuwa ni familia yangu kwa sasa.
Baba nakuahidi mbele ya uso wa dunia hii hautabaki hata mfupa ulio hai kwa yeyote aliye husika katika hili, kila mtu malipo yake yataendana na alicho kifanya, ila itabidi wafanyiwe kitu ambacho hata wenzao wakiona hawatakaa wakarudia kuichukua haki ya mtu mnyonge tena hapa duniani.
Mwanao naondoka leo na nitarudi tena kuwasalimia siku nikimaliza kazi hii nzito sana ambayo ipo mbele yangu, sayonora chichi to haha”. aliyaongea maneno hayo ya kijapani akimaanisha kwaheri baba na mama kisha akatoka mahali hapo bila kuangalia nyuma, akapanda gari lake na kupotea kwa kasi ya ajabu.
ENDELEA..........................

Alifika hotelini majira ya jioni kidogo na kupitiliza moja kwa moja chumbani kwake, akafika na kuwasha televisheni kabla hata hajaenda kuoga, akakutana uso kwa uso na taarifa moja ya kusisimua sana baada ya kumuona mtu ambae yeye huwa anamchukulia kama baba yake mdogo, hakuwa mwingine ni Juma wa kipindi cha nyuma leo tunamzungumzia Mr Fabian Decco akiwa anatangaza mbele ya uma kwamba mali zote za mzee Jackson Aron zipo chini yake baada ya mzee huyo kupoteza maisha na familia yake akiwa kwake Masaki.
Hiyo haikumshtua sana kwa sababu alifikiria kwamba labda itakuwa ameona ni muda mrefu sasa bila yeye kuonekana mbele yake ndiyo maana anataka kuzisimamia zile mali, kwahiyo Calvin alijua mr Decco alikuwa na maana nzuri tu ya kuendelea kuzilinda mali zao.

“mhhhhhhhh”aliguna baada ya kusikia akitangazwa mbele ya vyombo vya habari kwamba yeye amekufa, alishangaa imekuaje mpaka mzee huyo awe na ujasiri wa kumtangaza kwamba kafariki wakati hawajauona hata mwili wake, ni kama kichwani mwake kuna kitu alianza kuhisi kama hakipo sawa, akakumbuka tangu kwenye msiba wa wazazi wake kulikuwa na watu wenye suti nyeusi na miwani wakionekana kuwa walinzi wa mtu fulani, akifikiria tena alivyokuwa airport kuna watu walikuwa wanamfuatilia mpaka anafika nao Moscow katika nchi ya urusi, alifanikiwa kuwakwepa baada ya kwenda kununua sura ya bandia na kutotambulika mbele yao, hiyo ndiyo ilikuwa pona pona yake mpaka anafika airport kwa ajili ya kwenda kumtafuta mzee Haru ambae alielekezwa kumpata kwa namba maalumu nchini Japan. Akakumbuka vyema mpaka alivyoweza kuitoa ile sura bandia maeneo ya uwani pale airport na kufanikiwa kufika Japan akiwa salama kabisa.

“mbona haya mambo yananichanganya, inaonekana kuna kitu kimejificha hapa, huyu kwangu ni kama baba yangu sina imani kabisa kama anaweza kufanya kitu kibaya kwangu lakini kwa mtirirko wa haya matukio inanipa wasi wasi wa kumwamini moja kwa moja, hapa inanipasa kwanza nijue wale watu walitumwa na nani kunitafuta nadhani hapa nitakuwa nimepata sehemu nzuri sana ya kuanzia” Calvin alikuwa akiongea mwenyewe kisha akaondoka na kwenda kuoga.

IKULU DAR ES SALAAM

Ndani ya Ikulu katika moja ya ofisi kubwa na nyeti zaidi hapa naizungumzia ofisi ya mkurugenzi wa usalama wa Taifa anaonekana mzee Kasisi Chacha mkurya huyu akiwa anamsubiria kijana wake mmoja kutoka nchini Cuba aweze kufika baada ya kumaliza miaka mitano akiwa kwenye mafunzo ya kikomando ili aje kuhakikisha nchi yake inanufaika ipasavyo na uimara wake kuhakikisha amani ya kutosha.

“Ester, victor anafika sangapi airport?” mzee huyu alimwuliza secretary wake huyu ambaye alikuwa ni mzuri na alivutia sana kila ukimtazama.

“nimeongea nae sio muda sana kaniambia baada ya masaa mawili atakuwa ashafika na anakuja moja kwa moja ofisini kuripoti” alijibu kwa heshima Ester.

“fine waweza kwenda”.

Dakika ya saba tangu masaa mawili yakatike tangu mzee huyu alipo muulizia kijana wake ambaye alikuwa akimsubiri kwa hamu kubwa sana.

“bosi”
mzee huyu alijitoa mawazoni na kunyanyua uso wake baada ya kushtuliwa na sauti ya mtu akimuita, alifurahi sana baada ya kumwona huyu bwana mdogo ambae alikuwa anampenda kama mwanae wa kumzaa kwa sababu kamlea mwenyewe baada ya kumuokota siku moja akiwa katika hali mbaya sana mtaani aliko kuwa anapigwa na wenzake wakati wakigombea chakula.

Kiufupi Victor alikuwa mtoto wa mtaani lakini maisha yake yalikuja kubadilika baada ya kusaidiwa siku ile majira ya usiku na mzee huyu akiwa anatokea kwenye majukumu yake ya kazi. Mzee huyu hakubahatika kuoa baada ya mkewe kufa akiwa na ujauzito wa Watoto wawili yaani mapacha wakati anajifungua, tangu siku hiyo mzee Kasisi Marwa hakuwaza kuoa tena wala kuwa na familia ikiwa ni kama kumuenzi marehemu mkewe kwa jinsi alivyo kuwa akimpenda.

Victor aliweza kupelekwa kwenye shule bora sana kisha baadae kwenda jeshini na kuunganishwa moja kwa moja kwenye mafunzo ya kikomando baadae mbayo yalimpeleka mpaka Cuba ili kuweza kuimarika zaidi.

Masikio yake yalisikia jina hilo la bosi likiitwa na moja ya watu ambao alikuwa anawapenda sana, akatabasamu

“mwanangu umerudi huku akimkumbatia Victor”

“ndio baba nimefanya kama ulivyo niagiza”

“safi na najivunia kuwa na mtoto kama wewe”

“asante sana bosi”

“hahahahaa naona ubaba umeuweka pembeni, haya kuna kesi kesi zilikuwa zinaendelea na sikuelewa zimeishaje ila kwa sasa kapumzike nikikuhitaji nitakuita”

“Sawa mkuu” kisha Victor akatoka kwa furaha isiyo elezeka baada ya kumkuta mzee huyo akiwa na afya njema kabisa kwani hakuna binadamu ambae alikuwa ana mheshimu kama mzee huyu na ndiye alikuwa familia yake ya pekee hapa duniani. Wakati anakatiza mapokezi alipokelewa na tabasamu zuri sana la mrembo Ester ambae alikuwa ashaanza kumpenda mwanaume huyu kwa mvuto alio kuwa nao.

“Victor” alishtuka akiwa anaitwa na mrembo huyo

“oooh mrembo unaniita kumbe, japo sijakujua hata kwa jina”

“naitwa Ester”

“sawa Ester nambie”

“samahani sana, nilikuwa naomba namba yako wikiendi kama ukiwa na muda tuonane”

“haikuwa shida kwa victor kuitoa namba ambayo atakuwa anaitumia Tanzania kwani wakati akiwa nje walikuwa wanawasiliana kwa code maalumu tu”

Alitabasamu sana mrembo huyu huku akimkonyeza Victor, mwanaume akatabasamu na kuondoka mahali hapo,

Bibie Ester akatamka “lazima uwe wangu Victor nakupenda”.

UNGANA NAMI MPAKA MWISHO WA KIGONGO HIKI langu jina naitwa FEBIANI THOMASI BABUYA, kurasa zangu napatikana kwa jina la Bux the story teller.

Hotelini kwa Calvin, baada ya kutoka kuoga akaenda kwenye kioo na kujitazama namna mwili wake ulivyo gawanyika vyema ukichochezwa na mazoezi makali ya takribani miaka miwili na miezi kadhaa. Akiwa ndani ya taulo lake akalifuata begi ambalo lilikuwa na nguo, akalifungua kwa password(nywila) na kisha kutoa nguo zote kwenye hilo begi, baada ya hapo akakutana na kioo kigumu ambacho kilimdai nywila ili kulifungua begi hilo upande wa Chini, akalifungua vyema na kutoa ala (kifaa kinacho tumika kuhifadhia upanga hususani katika nchi ya Japan). Calvin aliutoa upanga ulio kuwa una’gaa sana. Akiwa ameushika upanga huo aliokuwa amepewa kama zawadi na mwalimu wake master HARU baada ya kufanya vizuri kwenye mazoezi yake, mawazo yakampeleka mbali sana. Akiwa ndani ya Japan baada ya kumalizana na Dr Sanjey Prakash rasmi sasa aliitwa tena ofisini kwa mzee Haruto Hinata Haru ikiwa ni mara ya pili kuingia ndani ya ofisi hiyo na ni kwa mara ya tatu kumuona mzee huyu tangu siku ya kwanza afike ndani ya ngome hii.

“Calvin Jackson Aron Mavunde, kwa sasa una miaka ishirini na minne na umekua sana, umetimiza miaka miwili ukiwa hapa na kwa sasa umebakisha miezi sita pekee ili niweze kukuruhusu kuondoka hapa. Nakumbuka ulishawahi kuniuliza siku moja kwamba mimi ni nani, nilijuana vipi na baba yako na kwanini ananiamini sana mimi ndiyo maana akakuelekeza uje nikupatie msaada, najua una hamu sana ya kuyajua haya ila miezi sita iliyobaki ndiyo itakayo amua kama nikujibu haya maswali au nisikujibu. Ili uweze kujibiwa kuna kazi ndogo sana unapaswa uifanye ila pia ni kazi ngumu sana kwa mwanadamu wa kawaida kuifanya na usipokuwa makini unaweza ukashindwa, ukishindwa maana yake utakuwa umefeli mtihani, hiyo ni ishara ya kwamba sitakwambia chochote na sitakuruhusu uondoke na inawezekana nisije nikakuruhusu kuondoka tena kwahiyo unapaswa kuwa makini sana na akili yako inapaswa kufanya kazi kwa zaidi ya asilimia tisini kwa hii miezi sita ambayo imebakia, ukiilaza akili yako kidogo tu basi ujue ushafeli mtihani maana hautaweza kuufanya kwa usahihi, unaweza ukawa una haraka sana ya kuhitaji kuujua mtihani huo ila utaambiwa siku unamaliza miezi sita iliyo baki”.

Aliyaeleza kwa usahihi sana maelezo yake mzee huyu kitu ambacho kilimshangaza Calvin kwani hata salamu yake haikuitikiwa kabisa lakini aliamua kutokuwa mwongeaji kwa kuuliza maswali mengi bado maneno ya Akio yalikuwa yanazunguka kichwani mwake “na nikuonye tu siku ukikutana nae chunga sana kinywa chako kwa sababu ukiongea vibaya hata neno moja tu kwake litakugharimu maisha yako yote, yule ni mtu hatari sana”. Calvin akaamua kuitikia kwa heshima

“sawa master nimekuelewa”

“kwa sasa nitapenda zaidi ukiwa unaniita baba nadhani nitafurahi zaidi”

“sawa”

“nenda kajiandae usiku sana uwe macho rasmi unaanza mazoezi namimi mwenyewe”
Yalikuwa ni maongezi mafupi kati ya Calvin na master Haru ambaye hakuwa mtu wa kuongea ongea sana.

Majira ya saa tisa na nusu usiku pembezoni mwa mto Yamato, wanaonekana wanaume wawili na si wengine ni mzee Haru na Calvin wakiwa wote wameshika mapanga lakini mzee Hinata alikuwa ameshika panga feki huku Calvin akiwa amebeba upanga mkali sana unaong’aa gizani.

******************************
Mzee Haru anaanza “kuna mazoezi mawili tu unayopaswa kufundishwa, zoezi la kwanza unapaswa ujue vyema sana namna ya kuutumia upanga na kwa spidi kubwa sana ambayo ni wanadamu wachache sana wanayo, wote tumeshika mapanga ambayo ni halisi kabisa kwahiyo unavyo pigana hesabia kwamba mimi haunijui na upo vitani kwahiyo ukicheza vibaya unakufa” sijajua kwanini mzee huyu aliamua kumtishia Calvin kwa kumwambia kwamba ana upanga halisi wakati haikuwa kweli. Basi mapambano yalianza vyema, Calvin alikuwa ameshaiva sana kwenye mapigano ya kila aina lakini kwenye upanga alikuwa kama kijana mdogo sana. Alishtuka na kuogopa baada ya upanga huo kupitishwa kwenye shingo yake akakaa chini kwa uoga akijua ndo anakufa hivyo, lakini alishangaa kutoiona alama yoyote ile ya damu alivyo mtazama mzee huyu alikuwa akicheka tu, akajua lile panga ni la mbao lakini limetengenezwa kwa namna ambayo ni ngumu sana mtu kulitambua. Basi alinyanyuka huku akiwa anajicheka kwa kufanywa mjinga, na rasmi mazoezi magumu ya kutumia upanga yakawa yameanzia hapo.

Miezi mitatu na nusu baadae majira ya saa tisa kamili usiku juu ya mti mmoja pembezoni mwa mto huo wa Yamato wanaonekana wale wale wanaume wawili wakiwa wanapigana vilivyo kwa kutumia panga ambazo zilikuwa na makali sana, haikuisha hata dakika moja walikuwa na mpambano mzito sana ambao ulipelekea matawi ya miti yote kudondoka chini.

“kuhusu kutumia upanga sasa umeiva vyema kama nilivyokuwa nahitaji na nakuomba tu usikae ukalitumia panga wala kutembea nalo sehemu nyingi unazo enda kwani siku utakayo amua kuutumia upanga wako inawezekana ukawa mtu hatari sana kitu ambacho kitapelekea kuleta taharuki kubwa miongoni mwa watu mbali mbali, kwahiyo hii italeta kukosekana kwa amani miongoni mwa watu wanao kuzunguka. Leo nakupa huu upanga kama zawadi ya pekee, huu ni upanga ambao nimekuwa nikiutumia Kwa zaidi ya miaka thelathini sasa na kuulinda sana kwa miaka yangu yote na kwa nguvu zangu zote, huu upanga ni hazina kubwa sana ndani ya nchi ya Japan kwahiyo unapaswa uutumie vyema ikiwemo na kuulinda kama unavyo yalinda macho yako.

Chamwisho huu upanga utumie pale itakapo kubidi ila tu usiutumie vibaya kwa kuwadhuru watu wasio kuwa na hatia yoyote ile hiyo itapelekea nikuue kwa mikono yangu mwenyewe kitu ambacho hakitakiwi kutokea kwa sababu mimi ndiye ninaye takiwa kukulinda kwa namna yoyote ile. Je Calvin atapewa mtihani gani na unadhani atafanikiwa Kutoka kwenye ngome hii?

Ukurasa huu unafika tamati, tukutane na Kalamu ya professor kwenye kurasa zijazo.

ULIMWENGU WA WATU WABAYA

mimi ni Bux the story teller.....Chao
FB_IMG_1656868568665.jpg
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom