Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,759
Mchina Nampa Hongera sana sana kwa kuangalia nini kinachotufaa sisi Watanzania. Naangalia bei ya hizi Howo, Faw , schacman naoni bei zao ziko reasonable price ukilinganisha na haya mascania ambayo mabei yake yanaumiza sana sana, Wazungu wahuni sana wanatupiga bei sana, Asante mchina , mascania yatakuja kuozea huko kwenye yard zao Uingereza.
Nawapongeza matajiri waliohamia kwenye gari za Kichina wameenda na Alama za nyakati.
Nawapongeza matajiri waliohamia kwenye gari za Kichina wameenda na Alama za nyakati.