Nimeipata vizuri tu ila signal sio kubwa kama ilivyokuwa kwenye sat ya zamani.Pia mfumo haujabadilika hata wenye Mediacom wanaweza kuzipata.Mkuu nimejaribu pia kwa dish la ft8 hmna kitu ukifanikiwa naomba ni pm boss
Nimeipata vizuri tu ila signal sio kubwa kama ilivyokuwa kwenye sat ya zamani.Pia mfumo haujabadilika hata wenye Mediacom wanaweza kuzipata.Mkuu nimejaribu pia kwa dish la ft8 hmna kitu ukifanikiwa naomba ni pm boss
Mkuu umepata na channel gani za ziada tofauti na ITV, Chan 5 na Capital tv?Nimeipata vizuri tu ila signal sio kubwa kama ilivyokuwa kwenye sat ya zamani.Pia mfumo haujabadilika hata wenye Mediacom wanaweza kuzipata.
Baadhi ya channel za Kenya.Mkuu umepata na channel gani za ziada tofauti na ITV, Chan 5 na Capital tv?
Asnte mkuu.Baadhi ya channel za Kenya.
Mkuu naomba ni saidie Frequency ulizo tumia kuwindia hizi channelNimeipata vizuri tu ila signal sio kubwa kama ilivyokuwa kwenye sat ya zamani.Pia mfumo haujabadilika hata wenye Mediacom wanaweza kuzipata.
3784H4000Mkuu naomba ni saidie Frequency ulizo tumia kuwindia hizi channel
Natumia hiyo Receiver ya Mediacom naona ITV, EATV na CAPITAL wamebadilisha satellite na frequency zao, naomba maelekezo ya kuingiza hayo mabadiliko kwenye receiver.Nimeipata vizuri tu ila signal sio kubwa kama ilivyokuwa kwenye sat ya zamani.Pia mfumo haujabadilika hata wenye Mediacom wanaweza kuzipata.
3784H4000
TupoNahitaji mtaalamu wa haya mambo aje anifungie
Hii hapahizi tp sio za akina itv
Nataka kununua Receiver ya Alpha box
Je hizo nazo Nina UBORA?
Please naomba ushauri wako kuhusu hii fta decoder!- Kuna Qsat model Q15, Q23, Q26 nk. Hizi bei zake zinaanzia 150,000/- kupanda juu kulingana na model. Hizi ni FTA (HD) lkn Uzuri wake ni kwamba ina unscramble channels zote zilizofungwa kwa PowerVU na BISS key. Hawa hawana decoder feki sokoni.
- Kuna Mediacom 940+, hii nayo ni FTA (HD) na ni nzuri pia, ingawa haina uwezo wa kufungua channels zilizofungwa kwa kwa BISS na PowerVU. Bei zake zinaanzia 95,000/- .
- Kuna Strong SRT 49 series (HD). Hizi ndio baba lao, na ni wakongwe sokoni kuliko hao hapo juu. Bei zao zmeshiba, na zinaanzia 250,000/- ingawa zipo feki nyingi sana. Hizi hufungua channels za FTA na zile zilizofungwa kwa BISS na PowerVu.
- Kuna Azsky G6 (HD), hii nayo inafungua FTA na zilizofungwa kwa BISS. Ni chache sana sokoni, ila bei inaanzia 200,000/-
- Kuna Astrovox (HD), nazo zipo sokoni ingawa sio pupular. Bei zake zinaanzia 80,000/-
- Kuna Starsat 2000 (HD) extreme, bei yake inaanzia 230,000/-.
- OnSat receiver inafungua FTA na canal 22w kwa account. Inauzwa kuanzia 190,000/-.
- Freesat v7 (HD) nayo inafungua FTA. Bei zake zinaanzia 100,000/-.
- OpenBox (HD) hii na yenyewe ina PowerVu,bisskeys, RF na be yake inaanzia 90,000/-.
- Digisat 9800 yenye rf, bisskey nk na bei yake inaanzia 85,000/-.
Nadhani kwa kuanzia unaweza kucheki hizo. Bei zinatofautiana kati ya duka na duka na namna unavyojipeleka.
Hii inunue mkuu, itakufaa. Ina features zote muhimu nilizozitaja hapo juuPlease naomba ushauri wako kuhusu hii fta decoder!
Shukran.