Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Nipe majina yake na makadirio ya bei zake ninunue

Sent using Jamii Forums mobile app
- Kuna Qsat model Q15, Q23, Q26 nk. Hizi bei zake zinaanzia 150,000/- kupanda juu kulingana na model. Hizi ni FTA (HD) lkn Uzuri wake ni kwamba ina unscramble channels zote zilizofungwa kwa PowerVU na BISS key. Hawa hawana decoder feki sokoni.
- Kuna Mediacom 940+, hii nayo ni FTA (HD) na ni nzuri pia, ingawa haina uwezo wa kufungua channels zilizofungwa kwa kwa BISS na PowerVU. Bei zake zinaanzia 95,000/- .
- Kuna Strong SRT 49 series (HD). Hizi ndio baba lao, na ni wakongwe sokoni kuliko hao hapo juu. Bei zao zmeshiba, na zinaanzia 250,000/- ingawa zipo feki nyingi sana. Hizi hufungua channels za FTA na zile zilizofungwa kwa BISS na PowerVu.
- Kuna Azsky G6 (HD), hii nayo inafungua FTA na zilizofungwa kwa BISS. Ni chache sana sokoni, ila bei inaanzia 200,000/-
- Kuna Astrovox (HD), nazo zipo sokoni ingawa sio pupular. Bei zake zinaanzia 80,000/-
- Kuna Starsat 2000 (HD) extreme, bei yake inaanzia 230,000/-.
- OnSat receiver inafungua FTA na canal 22w kwa account. Inauzwa kuanzia 190,000/-.
- Freesat v7 (HD) nayo inafungua FTA. Bei zake zinaanzia 100,000/-.
- OpenBox (HD) hii na yenyewe ina PowerVu,bisskeys, RF na be yake inaanzia 90,000/-.
- Digisat 9800 yenye rf, bisskey nk na bei yake inaanzia 85,000/-.

Nadhani kwa kuanzia unaweza kucheki hizo. Bei zinatofautiana kati ya duka na duka na namna unavyojipeleka.
 
- Kuna Qsat model Q15, Q23, Q26 nk. Hizi bei zake zinaanzia 150,000/- kupanda juu kulingana na model. Hizi ni FTA (HD) lkn Uzuri wake ni kwamba ina unscramble channels zote zilizofungwa kwa PowerVU na BISS key. Hawa hawana decoder feki sokoni.

- Kuna Mediacom 940+, hii nayo ni FTA (HD) na ni nzuri pia, ingawa haina uwezo wa kufungua channels zilizofungwa kwa kwa BISS na PowerVU. Bei zake zinaanzia 95,000/- .

- Kuna Strong SRT 49 series (HD). Hizi ndio baba lao, na ni wakongwe sokoni kuliko hao hapo juu. Bei zao zmeshiba, na zinaanzia 250,000/- ingawa zipo feki nyingi sana. Hizi hufungua channels za FTA na zile zilizofungwa kwa BISS na PowerVu.

- Kuna Azsky G6 (HD), hii nayo inafungua FTA na zilizofungwa kwa BISS. Ni chache sana sokoni, ila bei inaanzia 200,000/-
- Kuna Astrovox (HD), nazo zipo sokoni ingawa sio pupular. Bei zake zinaanzia 80,000/-
- Kuna Starsat 2000 (HD) extreme, bei yake inaanzia 230,000/-.
- OnSat receiver inafungua FTA na canal 22w kwa account. Inauzwa kuanzia 190,000/-.
- Freesat v7 (HD) nayo inafungua FTA. Bei zake zinaanzia 100,000/-.
- OpenBox (HD) hii na yenyewe ina PowerVu,bisskeys, RF na be yake inaanzia 90,000/-.
- Digisat 9800 yenye rf, bisskey nk na bei yake inaanzia 85,000/-.

Nadhani kwa kuanzia unaweza kucheki hizo. Bei zinatofautiana kati ya duka na duka na namna unavyojipeleka.
Nashukuru sana mdau,Mimi nataka local za bongo tuu nyingine hapana,hivi wakibadir masafa hizi zinabadiri au mpaka ubadirishe mwenyewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru sana mdau,Mimi nataka local za bongo tuu nyingine hapana,hivi wakibadir masafa hizi zinabadiri au mpaka ubadirishe mwenyewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
Local za bongo unazipata bila shida kaka.

Kuhusu swali lako, wenye satellite wakibadili masafa inabidi na wewe ubadilishe uelekeo wa dish lako ama size ya dish, kutegemea mabadiliko husika. Mfano, Continental walikuwa wanarusha 75E, nasikia wamehamia 46E. Inabidi kubadilisha dish kutoka uelekeo wa 75 kuja uelekeo wa 46E.
 
Local za bongo unazipata bila shida kaka.
Kuhusu swali lako, wenye satellite wakibadili masafa inabidi na wewe ubadilishe uelekeo wa dish lako ama size ya dish, kutegemea mabadiliko husika. Mfano, Continental walikuwa wanarusha 75E, nasikia wamehamia 46E. Inabidi kubadilisha dish kutoka uelekeo wa 75 kuja uelekeo wa 46E.
Inabidi ili nipate kwa ubora nifunge cband au ku? Nipe ubora wa kila technology hapo Ku na cband ili nijue msaada kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inabidi ili nipate kwa ubora nifunge cband au ku? Nipe ubora wa kila technology hapo Ku na cband ili nijue msaada kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ubora hautegemei KU wala Cband. Zote KU na Cband zinarusha channels za HD na SD. Kikubwa ni mawimbi husika, iwapo yapo katika Ku an C band. Kama utadaka mawimbi ya Intelsat 906 @64.2E (dish kubwa la kuanzia futi 6), ambako ndio ziko local channels, mawimbi yake yapo ktk C band, kama utadaka Continental, @ 46E, mawimbi yapo katika Ku band (dish dogo la futi 3). Ni maamuzi yako sasa
 
Hivi hii satellite ipo mwelekeo ule wa Dstv ama East kama kawaida?
Ubora hautegemei KU wala Cband. Zote KU na Cband zinarusha channels za HD na SD. Kikubwa ni mawimbi husika, iwapo yapo katika Ku an C band. Kama utadaka mawimbi ya Intelsat 906 @64.2E (dish kubwa la kuanzia futi 6), ambako ndio ziko local channels, mawimbi yake yapo ktk C band, kama utadaka Continental, @ 46E, mawimbi yapo katika Ku band (dish dogo la futi 3). Ni maamuzi yako sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubora hautegemei KU wala Cband. Zote KU na Cband zinarusha channels za HD na SD. Kikubwa ni mawimbi husika, iwapo yapo katika Ku an C band. Kama utadaka mawimbi ya Intelsat 906 @64.2E (dish kubwa la kuanzia futi 6), ambako ndio ziko local channels, mawimbi yake yapo ktk C band, kama utadaka Continental, @ 46E, mawimbi yapo katika Ku band (dish dogo la futi 3). Ni maamuzi yako sasa
Naaam fundi,je kuna local kwa bongo haipatikani kwa cband? Mimi nina dish kubwa fut 6 Kuband nyakati za mvua nasikia mzinguo broo leta utaalamu huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naaam fundi,je kuna local kwa bongo haipatikani kwa cband? Mimi nina dish kubwa fut 6 Kuband nyakati za mvua nasikia mzinguo broo leta utaalamu huo

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati wa mvua kubwa madish yote hayaoneshi channel kwa sababu mawimbi yanakuwa distorted. Local channels ziko katika KU na C band kwa satellite mbalimbali. Kuzipata zote uwe na madish matatu mpaka manne. Hebu pitia HAPA ujue naongelea nini, uzione na ufanye maamuzi sahihi ya channels unazotaka.
 
Wakati wa mvua kubwa madish yote hayaoneshi channel kwa sababu mawimbi yanakuwa distorted. Local channels ziko katika KU na C band kwa satellite mbalimbali. Kuzipata zote uwe na madish matatu mpaka manne. Hebu pitia HAPA ujue naongelea nini, uzione na ufanye maamuzi sahihi ya channels unazotaka.
Habari mtaalamu. Naomba nieleweshe hivi mfano mtu anataka kupata satelite fulani. Labda dish ilikuwa imesetiwa katika position ya kupatikana Intelsat 906 ila unataka kupata channel fulani iliyopo position ya BULGARIAsat 1.9E - 12380 H 30000 Tandberg. Je unatakiwa kugeuza dish au unatakiwa kuongeza vile vinavyodaka mawimbi ya satelite? Sijui vinaitwaje C band au Lnb au nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari mtaalamu. Naomba nieleweshe hivi mfano mtu anataka kupata satelite fulani. Labda dish ilikuwa imesetiwa katika position ya kupatikana Intelsat 906 ila unataka kupata channel fulani iliyopo position ya BULGARIAsat 1.9E - 12380 H 30000 Tandberg. Je unatakiwa kugeuza dish au unatakiwa kuongeza vile vinavyodaka mawimbi ya satelite? Sijui vinaitwaje C band au Lnb au nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kuwa direction ya hizi satellite mbili ni tofauti, unageuza dish kabisa kufuata uelekeo huo wa 1.9E
 
Kwa kuwa direction ya hizi satellite mbili ni tofauti, unageuza dish kabisa kufuata uelekeo huo wa 1.9E
Sawa Asante, kwahiyo unaweza ukapata satellite yoyote ile kwa kutumia LNB hiyo hiyo moja uliyokuwa nayo kikubwa ni kubadilisha uelekeo kulingana na satellite unayoitaka ili kuipata channel husika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mii nauliza upatikanaji wa satellite za mbali inategemea na ukubwa wa dish
 
Kwa mfano watu waliopo tz wanaweza kupata sat za Europe kama astra na eutusalat
 
Back
Top Bottom