Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Mkuu acha uwizi,kama unataka kusaidia wadau kwa ulimwengu wa FTA mwambie hali halisi
Freesat v7 HD bei haiwezi kuzidi 150000 hata uwe kijiji
V7 combo nayo haifiki 170000 hata kama upo kjjni

Wizi unakujaje kaka hapo mi sio duka nami nlinunua sasa siitumii kutoka na na mazingira sijatulia sehemu moja mteja akipatikana tuna negotiate sasa Mali yangu bado uniite mwizi dah samahan kaka kama nimekosea kuweka humu atakaetaka mtafutie
 
upload_2018-3-14_19-44-36.png
price: 200000 Tsh
 
wakuu anaejua kutumia internet kwenye king'amuzi cha FTA Tiger T245+pro inayo sehemu ya kuingiza flash nimejaribu kuweka modem haizomi
 
Umeulizwa model ya modem yako mkuu..maana huenda shida ni model ya modem unayotumia na sio laini.

Jaribu Huawei E303 uone.
 
Wataalamu hebu niwekeni sawa kuhusu hili; king'amuz changu cha Azam kimepata shot na kupoteza signal, so nilichofanya nmepachika receiver ya Mediacom ya Dvb-mpeg2 katka dish la azam na kuedit sat ya Amos 7e na kisha nikaingiza freq. 12015V29950 Kisha nikascan nakupata channelz 43, congo tv, crt, rt, france24, cctv na wenzake. Ila hakuna ya kibongo hata moja au kenya, so naomba kujua kama kuna ujuz wa kupata za kibongo/kenya. Nb. Sas nmepata maujanja ya namna ya kuangalia zuku bila kulipia, na unapata channelz karibu 150 free. N pm ntakujuza
Unielekeze na mm jinsi ya kuangalia channel za zuku bila malipo
 
Back
Top Bottom