Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Natumia Continental decoder baada ya satellite ya amos 5 kupotea nimeshindwa kuona chochote, nauliza je naweza kuangalia tv za nyumbani kupitia satellite nyingine? Shida yangu tu ni taarifa ya habari ya saa 2 usiku na bbc dira ya dunia saa 3 usiku.

NB: Hiki king'amzi kwenye listi ya satellite zipo nyingi zaidi ya kumi zimeorodhesha pale. Naombeni msaada wenu tafadhali.

Intelsat 906 au nunua king'amuzi kingine sababu yaonekana itachukuwa muda kulekebisha hiyo shida
 
Natumia Continental decoder baada ya satellite ya amos 5 kupotea nimeshindwa kuona chochote, nauliza je naweza kuangalia tv za nyumbani kupitia satellite nyingine? Shida yangu tu ni taarifa ya habari ya saa 2 usiku na bbc dira ya dunia saa 3 usiku.

NB: Hiki king'amzi kwenye listi ya satellite zipo nyingi zaidi ya kumi zimeorodhesha pale. Naombeni msaada wenu tafadhali.

Kwa ku sidhani labda c band, channel 10 walikuwepo 70.4e fta lakini sasa hivi inaonesha black screen tu
 
Wanaotaka epl na wenye MPEG 4 receiver wanicheki 0712038088 na kama upo Dar basi jmos nakuwa free tunaweza fanya kazi
 
Msaada tafadhar.... Nina king'amuzi cha startimes lakin natumia dish za zaman decoder ya strong, je naweza unganisha king'amuz cha startimes kwa kutumia hili dishi?
 
Jamani wana jf mimi natumia king'amuzi cha q-sat 11nilikuwa naomba msaada wa jinsi yakutumia iptv
 
Nasikia continental imerudi hewani kwenye ABS 3 @3W please confirm mi nimesafiri kidogo na vipi kuhusu sauti na picha ku freeze bado lipo?
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom