Alhamisi Donald Trump kasema mbovu ma Stock market yameanguka. Dow Jones imeanguka 274 points. Nimepoteza USD $23,000 katika masaa 18. Hizo ni kama shilingi milioni 52 za kibongo.
Na wala halijaninyima amani. Kwa sababu najipanga kuzirudisha zote na zaidi katika wiki chache zijazo.
Kwa hiyo inawezekana ukaona kwako kunaungua, kumbe kwa mwenzako kunateketea.
Kuna mtu kaambiwa ana ngoma leo, lakini anaishi kwa matumaini. Nini Uchumi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.