Ulimwengu: Ministers refuse to resign, PM is embarrased, Kikwete twiddles his thumbs!


Jenerali Ulimwengu ni talented analyst lakini kuhusu hii anaonekana kama ni hypocrite tu. Pale Habari Corporation yeye mwenyewe alishindwa kuwachukulia hatua viongozi wa chini yake -- Salva Rweyemamu na Dr Shoo walikouwa wakiitafuna kampuni ile mbaya hadi mwisho ikawa muflis na kubidi kumuuzia Rostam, ambaye naye ameamua kuitoijali kampuni kabisa na kuwafanya wafanyakazi pale kuwa wanaishi kama omba omba.

Jenerali alikuwa anaona sana jinsi kampuni ilivyokuwa ikitafunwa, lakini alinyamazia tu -- sijui kwa nini!

Mkuu unaka kutuambia kufilisika kwa kampuni yake basi yeye Ulimwengu hapaswi kutoa mawazo au maoni yake binafsi kwa jamii akiona kitu au nchi inakwenda mrama ?Vigezo vipi umevitumia vya kumyamazisha mtu huru anayeweka mambo wazi kwa manufa ya umma ?
 
Mawaziri walio wengi........hawalitakii mema Taifa letu.....wanafikir position walizopewa they meant for them and not kuwatumikia Wananchi............Mawaziri inabidi wamsaidie Rais........na kumsaidia Rais si kumshauri tu.....Waziri ukiomba kujiuzulu unakuwa umemsaidia Rais kupata nafasi ya kuchunguza na kujua ukweli.........hata ikafahamika baadaye kuwa Waziri husika was ABSOLUTELY not the cause/ not involved in the fiasco..........Rais ana uwezo wa kumrudisha kwenye nafasi ya kutumikia Wananchi........

Akina Nundu hata ukimsikiliza yeye anazungumzia maslahi yake kutokana na nafasi alizowashi shika.......then angalia sasa ni Waziri...msikie anavyosema.......ni kichekesho kweli kweli..........
 
Mr. Sun Wu has remarked that Ulimwengu seems to be hypocrite from his views just because he failed to act accordingly somewhere sometime ago.
In my views, that isn't an issue since what he has said is true. truth is truth and it doesn't matter who is giving it or where it comes from.
By large, Kikwete has a big chance to save this nation if he is willing to do so. He already knows in and out of everything if he does not do what he deserves to do history will judge him and the coming generation will curse him. KIKWETE ONDOA UOZO KATIKA NCHI HII TUNAKUUNGA MKONO KUWA SHUJAA
 
Very hard English you need to have Oxford dictionary to understand some paragraph if not the whole article.
(Once again, the Tanzanian public is being treated to the ugly spectacle of political illiteracy, administrative incompetence and ethical bankruptcy within governing circles.)
Haya maneno JK AKIYAPATA KAMA YALIVYO UJUMBE UTAKUWA UMEFIKA

 
Mara nyingi Ulimwengu yuko sahihi lakini hii article imekaa kimadharu dharau sana. Kwa mfano kwanini atumie maneno 'political illiteracy' (illeteracy?).

Na kama political analyst nilitegemea atueleze ni kwanini hao ministers wamegoma ku-resign? Tofauti na miaka mingine imekuwaje mwaka huu report ya CAG ipelekwe bungeni kwa mjadala? Mbona miaka mingine report kama hizo huwekwa kabatini?
 
Jenerali, uko sahihi kabisa. Lakini unategemea nini kwa wateule wake kama akina Mustafa Mkulo ambao not once ...every moment anasikika akijisifu kuwa ameahidiwa kuwa ni LAZIMA WAMALIZE WOTE!!

Kwahiyo, akitoa maelekezo kwa CHC Plot No. 10 iuzwe kwa maslahi yake, he doesn't care.

Akitoa maelekezo kwa Katibu Mkuu wake amlipe Saddiq Super Service Station (SSSS) (Murrad Saddiq) Sh. milioni 964 without good cause in year 2010, ili wazitumie kwa uchaguzi, he doen't care.

Akishiriki kula mamilioni kama si mabilioni ya DECI, he doen't care.

Akidaiwa alipe madeni mamilioni ya shilingi aliyokopa na kuyaacha NSSF alikokuwa Mkuu wa Mfuko huo, he doesn't care.

Then utegemee Waziri kama huyu Mkulo aandike barua ku-resign eti amnusuru Mzee Pinda, NO WAY!

WHY, because ahadi ya KUMALIZA WOTE is still intact, watch out!!
 

Jenerali Ulimwengu ni talented analyst lakini kuhusu hii anaonekana kama ni hypocrite tu. Pale Habari Corporation yeye mwenyewe alishindwa kuwachukulia hatua viongozi wa chini yake -- Salva Rweyemamu na Dr Shoo walikouwa wakiitafuna kampuni ile mbaya hadi mwisho ikawa muflis na kubidi kumuuzia Rostam, ambaye naye ameamua kuitoijali kampuni kabisa na kuwafanya wafanyakazi pale kuwa wanaishi kama omba omba.

Jenerali alikuwa anaona sana jinsi kampuni ilivyokuwa ikitafunwa, lakini alinyamazia tu -- sijui kwa nini!

mmhh:shut-mouth::shut-mouth:
 

Jenerali Ulimwengu ni talented analyst lakini kuhusu hii anaonekana kama ni hypocrite tu. Pale Habari Corporation yeye mwenyewe alishindwa kuwachukulia hatua viongozi wa chini yake -- Salva Rweyemamu na Dr Shoo walikouwa wakiitafuna kampuni ile mbaya hadi mwisho ikawa muflis na kubidi kumuuzia Rostam, ambaye naye ameamua kuitoijali kampuni kabisa na kuwafanya wafanyakazi pale kuwa wanaishi kama omba omba.

Jenerali alikuwa anaona sana jinsi kampuni ilivyokuwa ikitafunwa, lakini alinyamazia tu -- sijui kwa nini!

Kwa sababu ile ni Company na sio Limited...
Na hakunyamazia kama wewe unavyojaribu kukurupuka na kuleta porojo mgando hapa.

Jenerali Twaha na wenzake woote waliishi salama na hakukuwa na kashfa ya kutafunwa ubani wowote.

Na kusambaratika mpaka kufikia kuuziwa hisa zoote ilitokana na Salva kuuza hisa zake kwani yeye alipewa shavu la Ikulu na mkulu.

je unamjuwa aliyenunua hisa za Salva?
je angeweza kufanya kazi na Jenerali?
 
Back
Top Bottom