Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Jasson Kaishozi nilimjua hivi:
Shule ya Sekondari (O-Level)------------Ihungo 1982-1985
Shule ya Sekondari (A-Level)------------Umbwe 1986-1985
UDSM BA Ed ---------------------------------1988-1992 (Alifukuzwa na Mzee Mwinyi)
UDSM LLB--------------------------------------1997-2000
Jasson Kishozi alikuwa Rais wa DARUSO (Overall-Mlimani na Muhimbili) kwa kipindi cha siku tatu 6-9 Februari 1992. Alifukuzwa Chuo Kikuu na wenzake 9 ambao walisimama kidete kupinga mfumo mbovu wa uchangiaji wa gharama za elimu ya juu na kutetea uanzishwaji wa vyama vingi. Wanafunzi hao 10 walifukuzwa tarehe 10 Februari 1992.
Waliofukuzwa tarehe hiyo ni hawa:
1. Mh. James Mbatia (Electrical Engineering-4th year)-Mwenyekiti NCCR-Mageuzi
2. Dr. Harun Kimaro (MD 5th year)-Marehemu (Alikuwa mshauri wa MDC Zimbabwe)
3. Fabian Lutalemwa (Pharmarcy 4th year)
4. Rwekamwa Rweikiza (B.com Marketing-2nd year)-Alikuwa Rais wa Daruso Mlimani siku 3.
5. Idrissa Alnoor Ruta (Engineering Civil 4th year)-Mrehemu
6. Ludovick Kashaju Bazigiza (BA Ed 4th year)-Marehemu
7. Mosena Nyambabe (Engineering-Civil)
8. Dr. Kelivin Mmari (Electrical Engineering-2nd yr)-Ni lecturer wa IT Oregon University, USA
9. Jasson Kaishozi (BA Ed-2nd yr)-Marehemu
10.......Kimweri (BA Economics 3rd year)-Marehemu
Baada ya kukuzwa alikaa mtaani na baada ya miaka mitano alirudi kusoma sheria. Alipomaliza alipata kazi kwa mwanasheria mkuu wa serikali, kama wakili wa serikali.
Kesi iliyompa umaarufu ni ile ya ZOMBE, ambapo yeye ndiye alikuwa mkuu wa jopo upande wa mashitaka (serikali).
Wengine mlimjuaje?
Shule ya Sekondari (O-Level)------------Ihungo 1982-1985
Shule ya Sekondari (A-Level)------------Umbwe 1986-1985
UDSM BA Ed ---------------------------------1988-1992 (Alifukuzwa na Mzee Mwinyi)
UDSM LLB--------------------------------------1997-2000
Jasson Kishozi alikuwa Rais wa DARUSO (Overall-Mlimani na Muhimbili) kwa kipindi cha siku tatu 6-9 Februari 1992. Alifukuzwa Chuo Kikuu na wenzake 9 ambao walisimama kidete kupinga mfumo mbovu wa uchangiaji wa gharama za elimu ya juu na kutetea uanzishwaji wa vyama vingi. Wanafunzi hao 10 walifukuzwa tarehe 10 Februari 1992.
Waliofukuzwa tarehe hiyo ni hawa:
1. Mh. James Mbatia (Electrical Engineering-4th year)-Mwenyekiti NCCR-Mageuzi
2. Dr. Harun Kimaro (MD 5th year)-Marehemu (Alikuwa mshauri wa MDC Zimbabwe)
3. Fabian Lutalemwa (Pharmarcy 4th year)
4. Rwekamwa Rweikiza (B.com Marketing-2nd year)-Alikuwa Rais wa Daruso Mlimani siku 3.
5. Idrissa Alnoor Ruta (Engineering Civil 4th year)-Mrehemu
6. Ludovick Kashaju Bazigiza (BA Ed 4th year)-Marehemu
7. Mosena Nyambabe (Engineering-Civil)
8. Dr. Kelivin Mmari (Electrical Engineering-2nd yr)-Ni lecturer wa IT Oregon University, USA
9. Jasson Kaishozi (BA Ed-2nd yr)-Marehemu
10.......Kimweri (BA Economics 3rd year)-Marehemu
Baada ya kukuzwa alikaa mtaani na baada ya miaka mitano alirudi kusoma sheria. Alipomaliza alipata kazi kwa mwanasheria mkuu wa serikali, kama wakili wa serikali.
Kesi iliyompa umaarufu ni ile ya ZOMBE, ambapo yeye ndiye alikuwa mkuu wa jopo upande wa mashitaka (serikali).
Wengine mlimjuaje?