Ulimjuaje marehemu jasson kaishozi-wakili kesi ya zombe?

Kashaijabutege

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
2,696
740
Jasson Kaishozi nilimjua hivi:

Shule ya Sekondari (O-Level)------------Ihungo 1982-1985
Shule ya Sekondari (A-Level)------------Umbwe 1986-1985
UDSM BA Ed ---------------------------------1988-1992 (Alifukuzwa na Mzee Mwinyi)
UDSM LLB--------------------------------------1997-2000

Jasson Kishozi alikuwa Rais wa DARUSO (Overall-Mlimani na Muhimbili) kwa kipindi cha siku tatu 6-9 Februari 1992. Alifukuzwa Chuo Kikuu na wenzake 9 ambao walisimama kidete kupinga mfumo mbovu wa uchangiaji wa gharama za elimu ya juu na kutetea uanzishwaji wa vyama vingi. Wanafunzi hao 10 walifukuzwa tarehe 10 Februari 1992.

Waliofukuzwa tarehe hiyo ni hawa:

1. Mh. James Mbatia (Electrical Engineering-4th year)-Mwenyekiti NCCR-Mageuzi
2. Dr. Harun Kimaro (MD 5th year)-Marehemu (Alikuwa mshauri wa MDC Zimbabwe)
3. Fabian Lutalemwa (Pharmarcy 4th year)
4. Rwekamwa Rweikiza (B.com Marketing-2nd year)-Alikuwa Rais wa Daruso Mlimani siku 3.
5. Idrissa Alnoor Ruta (Engineering Civil 4th year)-Mrehemu
6. Ludovick Kashaju Bazigiza (BA Ed 4th year)-Marehemu
7. Mosena Nyambabe (Engineering-Civil)
8. Dr. Kelivin Mmari (Electrical Engineering-2nd yr)-Ni lecturer wa IT Oregon University, USA
9. Jasson Kaishozi (BA Ed-2nd yr)-Marehemu
10.......Kimweri (BA Economics 3rd year)-Marehemu

Baada ya kukuzwa alikaa mtaani na baada ya miaka mitano alirudi kusoma sheria. Alipomaliza alipata kazi kwa mwanasheria mkuu wa serikali, kama wakili wa serikali.

Kesi iliyompa umaarufu ni ile ya ZOMBE, ambapo yeye ndiye alikuwa mkuu wa jopo upande wa mashitaka (serikali).

Wengine mlimjuaje?
 
R.I.P Mr. Kaishozi, tutakumbuka kama mpiganaji mahili na mwanaharakati aliyependa kusimamia haki. Kuna wakati kisukari kilimsumbua lakini hatukutegemea kama ingefikia kiwango cha kutoa uhai wake.

Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi.
 
Jasson Kaishozi nilimjua hivi:

Shule ya Sekondari (O-Level)------------Ihungo 1982-1985
Shule ya Sekondari (A-Level)------------Umbwe 1986-1985
UDSM BA Ed ---------------------------------1988-1992 (Alifukuzwa na Mzee Mwinyi)
UDSM LLB--------------------------------------1997-2000

Jasson Kishozi alikuwa Rais wa DARUSO (Overall-Mlimani na Muhimbili) kwa kipindi cha siku tatu 6-9 Februari 1992. Alifukuzwa Chuo Kikuu na wenzake 9 ambao walisimama kidete kupinga mfumo mbovu wa uchangiaji wa gharama za elimu ya juu na kutetea uanzishwaji wa vyama vingi. Wanafunzi hao 10 walifukuzwa tarehe 10 Februari 1992.

Waliofukuzwa tarehe hiyo ni hawa:

1. Mh. James Mbatia (Electrical Engineering-4th year)-Mwenyekiti NCCR-Mageuzi
2. Dr. Harun Kimaro (MD 5th year)-Marehemu (Alikuwa mshauri wa MDC Zimbabwe)
3. Fabian Lutalemwa (Pharmarcy 4th year)
4. Rwekamwa Rweikiza (B.com Marketing-2nd year)-Alikuwa Rais wa Daruso Mlimani siku 3.
5. Idrissa Alnoor Ruta (Engineering Civil 4th year)-Mrehemu
6. Ludovick Kashaju Bazigiza (BA Ed 4th year)-Marehemu
7. Mosena Nyambabe (Engineering-Civil)
8. Dr. Kelivin Mmari (Electrical Engineering-2nd yr)-Ni lecturer wa IT Oregon University, USA
9. Jasson Kaishozi (BA Ed-2nd yr)-Marehemu
10.......Kimweri (BA Economics 3rd year)-Marehemu

Baada ya kukuzwa alikaa mtaani na baada ya miaka mitano alirudi kusoma sheria. Alipomaliza alipata kazi kwa mwanasheria mkuu wa serikali, kama wakili wa serikali.

Kesi iliyompa umaarufu ni ile ya ZOMBE, ambapo yeye ndiye alikuwa mkuu wa jopo upande wa mashitaka (serikali).

Wengine mlimjuaje?


Mbona kwenye hiyo list, marehemu ni wengi???
 
I remember those good old days when we were fighting for DARUSO

R.I.P Jason Kaishozi
 
Jasson Kaishozi nilimjua hivi:

Shule ya Sekondari (O-Level)------------Ihungo 1982-1985
Shule ya Sekondari (A-Level)------------Umbwe 1986-1985
UDSM BA Ed ---------------------------------1988-1992 (Alifukuzwa na Mzee Mwinyi)
UDSM LLB--------------------------------------1997-2000

Jasson Kishozi alikuwa Rais wa DARUSO (Overall-Mlimani na Muhimbili) kwa kipindi cha siku tatu 6-9 Februari 1992. Alifukuzwa Chuo Kikuu na wenzake 9 ambao walisimama kidete kupinga mfumo mbovu wa uchangiaji wa gharama za elimu ya juu na kutetea uanzishwaji wa vyama vingi. Wanafunzi hao 10 walifukuzwa tarehe 10 Februari 1992.

Waliofukuzwa tarehe hiyo ni hawa:

1. Mh. James Mbatia (Electrical Engineering-4th year)-Mwenyekiti NCCR-Mageuzi
2. Dr. Harun Kimaro (MD 5th year)-Marehemu (Alikuwa mshauri wa MDC Zimbabwe)
3. Fabian Lutalemwa (Pharmarcy 4th year)
4. Rwekamwa Rweikiza (B.com Marketing-2nd year)-Alikuwa Rais wa Daruso Mlimani siku 3.
5. Idrissa Alnoor Ruta (Engineering Civil 4th year)-Mrehemu
6. Ludovick Kashaju Bazigiza (BA Ed 4th year)-Marehemu
7. Mosena Nyambabe (Engineering-Civil)
8. Dr. Kelivin Mmari (Electrical Engineering-2nd yr)-Ni lecturer wa IT Oregon University, USA
9. Jasson Kaishozi (BA Ed-2nd yr)-Marehemu
10.......Kimweri (BA Economics 3rd year)-Marehemu

Baada ya kukuzwa alikaa mtaani na baada ya miaka mitano alirudi kusoma sheria. Alipomaliza alipata kazi kwa mwanasheria mkuu wa serikali, kama wakili wa serikali.

Kesi iliyompa umaarufu ni ile ya ZOMBE, ambapo yeye ndiye alikuwa mkuu wa jopo upande wa mashitaka (serikali).

Wengine mlimjuaje?

Waitu kibao....why?...hata mtoa post waitu?
 
Jasson Kaishozi nilimjua hivi:

Shule ya Sekondari (O-Level)------------Ihungo 1982-1985
Shule ya Sekondari (A-Level)------------Umbwe 1986-1985
UDSM BA Ed ---------------------------------1988-1992 (Alifukuzwa na Mzee Mwinyi)
UDSM LLB--------------------------------------1997-2000

Jasson Kishozi alikuwa Rais wa DARUSO (Overall-Mlimani na Muhimbili) kwa kipindi cha siku tatu 6-9 Februari 1992. Alifukuzwa Chuo Kikuu na wenzake 9 ambao walisimama kidete kupinga mfumo mbovu wa uchangiaji wa gharama za elimu ya juu na kutetea uanzishwaji wa vyama vingi. Wanafunzi hao 10 walifukuzwa tarehe 10 Februari 1992.

Waliofukuzwa tarehe hiyo ni hawa:

1. Mh. James Mbatia (Electrical Engineering-4th year)-Mwenyekiti NCCR-Mageuzi
2. Dr. Harun Kimaro (MD 5th year)-Marehemu (Alikuwa mshauri wa MDC Zimbabwe)
3. Fabian Lutalemwa (Pharmarcy 4th year)
4. Rwekamwa Rweikiza (B.com Marketing-2nd year)-Alikuwa Rais wa Daruso Mlimani siku 3.
5. Idrissa Alnoor Ruta (Engineering Civil 4th year)-Mrehemu
6. Ludovick Kashaju Bazigiza (BA Ed 4th year)-Marehemu
7. Mosena Nyambabe (Engineering-Civil)
8. Dr. Kelivin Mmari (Electrical Engineering-2nd yr)-Ni lecturer wa IT Oregon University, USA
9. Jasson Kaishozi (BA Ed-2nd yr)-Marehemu
10.......Kimweri (BA Economics 3rd year)-Marehemu

Baada ya kukuzwa alikaa mtaani na baada ya miaka mitano alirudi kusoma sheria. Alipomaliza alipata kazi kwa mwanasheria mkuu wa serikali, kama wakili wa serikali.

Kesi iliyompa umaarufu ni ile ya ZOMBE, ambapo yeye ndiye alikuwa mkuu wa jopo upande wa mashitaka (serikali).

Wengine mlimjuaje?

Pamoja na kusikitishwa na habari hizi mbaya za kifo cha Kaishozi, nimesikitishwa zaidi na habari kwamba mpiganaji Harun Kimaro naye ni marehemu kwa sasa. Huyu alikuwa mpiganaji wa kweli na ndiye aliyeongoza maandamano pamoja na Prof. Shaba kwenda Ikulu kuitaka serikali ifute mpango wake wa kuchangia elimu na kuwaachia madaktari wanafunzi kadhaa waliopakiwa kwenye basi moja na kudai walikuwa wanapelekwa makwao. Yalikuwa ni maadamano ya kwanza ya bila kibali cha serikali kufanyika na yakafanikiwa.

RIP Kimaro, RIP Kaishozi.

Tiba
 
Umenikumbusha mbali sana - wengine hapo nilikuwa nao JKT, hasa huyo James Mbatia , tulikuwa naye JKT Ruvu C-Coy , lakini yeye alikuwa "serule" na kubaki kulinda hanger.
 
RIP jasson! Amekufa lini? Nini kimemuua?

Please mtoa hoja..kwanza tupe taarifa ya msiba. Amefariki lini huyo mpiganaji?

RIP Jasson...Nilipata bahati ya kusimuliwa habari zake miaka ya 1985. It's really sad to loose him.
 
Please mtoa hoja..kwanza tupe taarifa ya msiba. Amefariki lini huyo mpiganaji?

RIP Jasson...Nilipata bahati ya kusimuliwa habari zake miaka ya 1985. It's really sad to loose him.

Kaishozi alikuwa muda mrefu akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari. Nilikutana naye kwa mara ya mwisho huko Arusha sehemu ya Mianzini ambapo alinipiga ulabu wa nguvu ingawa yeye alikunywa soda water. Akaniambia kuwa alikuwa amehamishiwa Musoma.

Tarehe 1 Novemba 2010 nikampigia simu nikifiri yuko Musoma ili anipe habari za uchaguzi Tarime na Musoma Mjini. Kaishozi akapokea simu akiongea kwa shida sana na kuniambia yafuatayo kwa kifupi: " rafiki yangu tangia nilipoti hapa Mbeya sijawahi kukaa ofisini, hali yangu ni mbaya sana, yaani sijui nikwambieje....". Nilimuaga kwa uchungu.

Jana saa mbili nikatumiwa message na advocate mmoja aliyesoma naye Ihungo na kunipa taarifa ya msiba wa Kaishozi. Leo asubuhi nimesoma kwenye gazeti la Tanzania Daima na kusikia kwenye taarifa ya habari ya Redio One. Bado nafuatilia mipango ya mazishi.
 
Kaishozi alikuwa muda mrefu akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari. Nilikutana naye kwa mara ya mwisho huko Arusha sehemu ya Mianzini ambapo alinipiga ulabu wa nguvu ingawa yeye alikunywa soda water. Akaniambia kuwa alikuwa amehamishiwa Musoma.

Tarehe 1 Novemba 2010 nikampigia simu nikifiri yuko Musoma ili anipe habari za uchaguzi Tarime na Musoma Mjini. Kaishozi akapokea simu akiongea kwa shida sana na kuniambia yafuatayo kwa kifupi: " rafiki yangu tangia nilipoti hapa Mbeya sijawahi kukaa ofisini, hali yangu ni mbaya sana, yaani sijui nikwambieje....". Nilimuaga kwa uchungu.

Jana saa mbili nikatumiwa message na advocate mmoja aliyesoma naye Ihungo na kunipa taarifa ya msiba wa Kaishozi. Leo asubuhi nimesoma kwenye gazeti la Tanzania Daima na kusikia kwenye taarifa ya habari ya Redio One. Bado nafuatilia mipango ya mazishi.

Ahsante sana mkuu,

Nashukuru sana kwa taarifa. Ningeomba uanzishe thread nyingine au urekebishe msg yako ya kwanza ili uweze kwanza kutoa hiyo taarifa ya msiba halafu tunaweza kuchangia mengine baadaye. It's shock kumpoteza mtu muhimu kama huyu na katika umri ambao kwa kweli ndo anaanza kulitumikia taifa.
 
Back
Top Bottom