Ulimbukeni wa wakenya wa kupanga Budget kubwa wakati hela hawana.

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613
Bajeti ya Kenya ya mwaka huu wa fedha 2019/2020 ni Kshs 3.1Trl, wakati nakisi ya bajeti(Deficit) ni 607.8B. Hii ni kusema kwamba 20% ya matumizi wanayopanga wakenya wanategemea kutembeza bakuli, kuomba wahisani.

Hii tabia ya wakenya kupanga kutumia pesa nyingi kuliko uwezo wao, imekua ikijitokeza kila mwaka, huku nakisi ya bajeti nayo ikiendelea kuwa kubwa mwaka hadi mwaka.

Jambo la kushangaza ni kuona wakenya wakishabikia nchi yao kupanga matumizi makubwa nje ya uwezo wao, matokeo yake nchi inaendelea kuzama kati Lindi la mafeni , na wananchi wakizidi lukamuliwa kodi na kusababisha hali ya maisha ya mkenya wa kawaida kuzidi kuwa mbaya.

Swali ninalotaka kuwauliza wakenya, hivi kweli ni busara kupanga bajeti kubwa zaidi ya uwezo wenu na kuendelea kuitumbukiza nchi katika madeni, au ni bora kupanga bajeti inayoendana na kipato chenu?
 
Bajeti ya Kenya ya mwaka huu wa fedha 2019/2020 ni Kshs 3.1Trl, wakati nakisi ya bajeti(Deficit) ni 607.8B. Hii ni kusema kwamba 20% ya matumizi wanayopanga wakenya wanategemea kutembeza bakuli, kuomba wahisani.
Hii tabia ya wakenya kupanga kutumia pesa nyingi kuliko uwezo wao, imekua ikijitokeza kila mwaka, huku nakisi ya bajeti nayo ikiendelea kuwa kubwa mwaka hadi mwaka.
Jambo la kushangaza ni kuona wakenya wakishabikia nchi yao kupanga matumizi makubwa nje ya uwezo wao, matokeo yake nchi inaendelea kuzama kati Lindi la mafeni , na wananchi wakizidi lukamuliwa kodi na kusababisha hali ya maisha ya mkenya wa kawaida kuzidi kuwa mbaya.
Swali ninalotaka kuwauliza wakenya, hivi kweli ni busara kupanga bajeti kubwa zaidi ya uwezo wenu na kuendelea kuitumbukiza nchi katika madeni, au ni bora kupanga bajeti inayoendana na kipato chenu
Isn't that the difference btwn a kenyan and a tanzanian, using tomorrow's money to produce today and sell tomorrow where else you is contented in toiling with jembes and wheelbarrows to produce today sell tommorrow. Tell you what, LOANS are real motivators, can really push you beyond your limits.
 
Isn't that the difference btwn a Kenyan and a tanzanian? Using tomorrow's money to produce today and sell tomorrow where as you are contented in toiling with what you have( jembes and wheelbarrows)to produce and meet us in the market tommorrow
 
Bajeti ya Kenya ya mwaka huu wa fedha 2019/2020 ni Kshs 3.1Trl, wakati nakisi ya bajeti(Deficit) ni 607.8B. Hii ni kusema kwamba 20% ya matumizi wanayopanga wakenya wanategemea kutembeza bakuli, kuomba wahisani.

Hii tabia ya wakenya kupanga kutumia pesa nyingi kuliko uwezo wao, imekua ikijitokeza kila mwaka, huku nakisi ya bajeti nayo ikiendelea kuwa kubwa mwaka hadi mwaka.

Jambo la kushangaza ni kuona wakenya wakishabikia nchi yao kupanga matumizi makubwa nje ya uwezo wao, matokeo yake nchi inaendelea kuzama kati Lindi la mafeni , na wananchi wakizidi lukamuliwa kodi na kusababisha hali ya maisha ya mkenya wa kawaida kuzidi kuwa mbaya.

Swali ninalotaka kuwauliza wakenya, hivi kweli ni busara kupanga bajeti kubwa zaidi ya uwezo wenu na kuendelea kuitumbukiza nchi katika madeni, au ni bora kupanga bajeti inayoendana na kipato chenu?

Teh teh teh,
A Window Dressing Budget.
The Kenya's politicians know how good to play this because the blind voters like Depay et al are pleased with the face value or appearance of the budget. No one is questioning the implementation of this. lwiva and others are just clapping for the empty figures.
 
Teh teh teh,
A Window Dressing Budget.
The Kenya's politicians know how good to play this because the blind voters like Depay et al are pleased with the face value or appearance of the budget. No one is questioning the implementation of this. Kanya and others are just clapping for the empty figures.
Yet tanzania can't even finance 50 percent of it's budget...This is what we call verbal diarrhoea.
 
KRA will be expected to collect 1.9 trillion (19B dollar) while our budget is 30 billion
 
Tanzanian budget is funded by Grants because you are LDC...KRA collects 2 trillion ..TRA collects 600 billion Kes
TRA collets 600 billion in the whole country while Nairobi county alone collects 120 billion kes...then they are wondering why they are classified as LDC
 
While Nairobi county alone collects 120 billion kes
"Corruption-ni Kama mbwa kubwa na nono. Anakuja Kwa Boma lako kila siku, anaingia ndani ya ghala lako na kukula chakula chako. Unampapasa kisha anaenda kwa boma nyingine. Na wananchi wanashangaa kwa nini wako na njaa. Lakini kama Thievery, mbwa huyo angekuwa Mg’ondi, mngemfukuza!” by Kyle US ambassador in Kenya.

Hahaha ila mmetupita kwa vingi majirani. Nasikia pia hapo Nairobi kuna mapacha wamepatikana kutoka mama tofauti.
 
Serikali ya Kenya wanachofanya ni simple calculations, wanachukua budget ya Tz+Rw+Brnd+1= Kenyan annual budget. Wanajua wananchi wao wanapenda sifa za kijinga wataingia mitandaoni kama mazuzu kufurahia kuongoza EAC kwa budget kubwa bila kuangalia details. Siku zinaenda Uhuruto wanapiga pesa, ikifika 2022 sera ni kila kanda kutetea mtu wao.
 
Uchumi wa karatasi unaopumulia mashine tena inashindwa na Uganda, Rwanda and Burundi combined. What do these assholes do with their heaven's door selves.
 
Back
Top Bottom