mbweta
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 600
- 81
Yan nimekutana na majina mazuri na mabaya hapa Jf, mengine yanafurahisha ukilisoma tu waanza mjengea picha alivo. Mie binafsi wakati nipo O-level kulikuwa na mdada anamasaburi balaa tukawa tunaita Mbweta tang hapo jina likawa lipo kichwana nlivokuja jiunga JF nkaona nilitumie. We je ni kipi kilikusukuma kuachagua ilo jina?