Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Nakumbuka ilikuwa siku ya jumanne niko kidato cha pili majira ya saa 4:30 tuko darasani na mwl wa Archtectural drawing ,ilikuwa ni mlinzi wa shule ndio alikuwa anazunguka kwenye corridor za madarasa na kusema nyerere ameaga duniani huku yuko na redio ikipiga wimbo wa taifa then akaja mkapa kulìhutubia taifa. Wewe ulikuwa wapi wakati huo ?