Jilanga
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 255
- 40
Singida ni miongoni mwa mikoa maskini kabisa nchini Tanzania! Muda mwingi utawakuta watu wake wamevaa mavazi ya CCM si kwamba ni wafuasi la hasha! ni ugumu wa maisha kiasi cha kushindwa kununua nguo!
Jana niliumia sana kutokana na Mkutano wa hadhara wa WanaCCM Kutumia kilemba cha Waislam!
Hivyo wanachotaka ni nini? Kukuza udini?
Kuficha maovu ya Mwislam Mwezao? Watanzania makafiri hawastahili haki zao? Maandiko matakatifu yaonya "unapoona ovu kemea kwa nguvu zote na ndo wanachofanya Kafiri kupitia maandamano!
Naomba yeyote Mwenye akili anisaidie kutathini mchango wa makafiri na Waislam ktk Kujenga taifa letu!
1. Tuanza na serikali ya uongozi wa kwanza chini ya Hayati Baba wa taifa {Kafir} na maendeleo yaliyopatika enzi zake!
2. Awamu ya pili China Mh Ali Hassan Mwinyi {Ustadhi} na mchango wake ktk Taifa letu!
3. Awamu ya tatu chini ya Ben Mkapa {Kafir} na mchango wake ktkt juhudi za kujenga nchi yetu!
4. Awamu ya nne chin ya Dr Mkwere {ustadhi} hapa no comment!!
Mkutano wajana umenifanya ni hoji ni wapi tulikovurunda na kuwa na vilaza zaidi 1&3 or 2&4 nikimaanisha Nyakati za Makafiri au Maustadhi? Waislam wangejua hili jana wasingeongea chochote kwenye mkutano wao wa hadhara jana Singida!
Naomba mnisamehe kama nimewakera! Mungu akupeni hekima itokayo juu mbinguni!
Jana niliumia sana kutokana na Mkutano wa hadhara wa WanaCCM Kutumia kilemba cha Waislam!
Hivyo wanachotaka ni nini? Kukuza udini?
Kuficha maovu ya Mwislam Mwezao? Watanzania makafiri hawastahili haki zao? Maandiko matakatifu yaonya "unapoona ovu kemea kwa nguvu zote na ndo wanachofanya Kafiri kupitia maandamano!
Naomba yeyote Mwenye akili anisaidie kutathini mchango wa makafiri na Waislam ktk Kujenga taifa letu!
1. Tuanza na serikali ya uongozi wa kwanza chini ya Hayati Baba wa taifa {Kafir} na maendeleo yaliyopatika enzi zake!
2. Awamu ya pili China Mh Ali Hassan Mwinyi {Ustadhi} na mchango wake ktk Taifa letu!
3. Awamu ya tatu chini ya Ben Mkapa {Kafir} na mchango wake ktkt juhudi za kujenga nchi yetu!
4. Awamu ya nne chin ya Dr Mkwere {ustadhi} hapa no comment!!
Mkutano wajana umenifanya ni hoji ni wapi tulikovurunda na kuwa na vilaza zaidi 1&3 or 2&4 nikimaanisha Nyakati za Makafiri au Maustadhi? Waislam wangejua hili jana wasingeongea chochote kwenye mkutano wao wa hadhara jana Singida!
Naomba mnisamehe kama nimewakera! Mungu akupeni hekima itokayo juu mbinguni!