Inasikitisha. Pole Kaka Kiiza. Sipendi kulaumu lakini nimejiuliza ni kwa nini kwa Tanzania mimba zimekuwa sawa na ugonjwa au niseme tu ni kufa na kupona?? Why???? Ni wapi tumezembea??? Imekuwa jambo la kawaida kwa sasa kusikia mtu amekufa kwa sababu ya uzazi mpaka imekuwa inaongeza BP kwa wajawazito wakifikiria kama watapita salama.