habari zenu!
Yapo matukio kadhaa ambayo hukera na kuudhi sana kiasi kwamba hadi watu hutengeneza uhasama maisha yao yote;
Uhasama huo unaweza ukawa we we na ndugu,mke,Mme, jilani, mfanyakazi mwenzio au mwanasiasa!
Ni jambo gani baya ulilowahi fanyiwa hadi ukatamani adui yako afe au umroge awe taahira?
Je, nikusalitiwa au nini? Tushirikishane hapa!!!!!
Maana kuna baadhi ya watu huombea hata wake/waume zao wafe!!!!!!!
Yapo matukio kadhaa ambayo hukera na kuudhi sana kiasi kwamba hadi watu hutengeneza uhasama maisha yao yote;
Uhasama huo unaweza ukawa we we na ndugu,mke,Mme, jilani, mfanyakazi mwenzio au mwanasiasa!
Ni jambo gani baya ulilowahi fanyiwa hadi ukatamani adui yako afe au umroge awe taahira?
Je, nikusalitiwa au nini? Tushirikishane hapa!!!!!
Maana kuna baadhi ya watu huombea hata wake/waume zao wafe!!!!!!!